Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais aagiza Kilombero, Ifakara kufanyiwa mabadiliko
Habari za Siasa

Rais aagiza Kilombero, Ifakara kufanyiwa mabadiliko

Suleiman Jafo, Waziri wa Tamisemi
Spread the love

RAIS John Magufuli amemuelekeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleman Jafo kufanya mabadiliko kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ifika na Kilombero mkoani Morogoro. Anaripoti Faki Sosi …(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 3 Novemba 2019, na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, kwamba Rais Magufuli amemuagiza Waziri Jafo kubadilisha jina la Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero na kuitwa Mlimba ambapo ameagiza makao makuu yawe Mgeta.

Pia amemwagiza kufanywa mabadiliko kwenye Halmashauri ya Mji Ifika kwa kuziongozea kata kutoka kwenye Halmashauri ya Mji wa Kilombero, na kwamba makao makuu yawe Ifikara Mjini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!