Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais aagiza Kilombero, Ifakara kufanyiwa mabadiliko
Habari za Siasa

Rais aagiza Kilombero, Ifakara kufanyiwa mabadiliko

Suleiman Jafo, Waziri wa Tamisemi
Spread the love

RAIS John Magufuli amemuelekeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleman Jafo kufanya mabadiliko kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ifika na Kilombero mkoani Morogoro. Anaripoti Faki Sosi …(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 3 Novemba 2019, na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, kwamba Rais Magufuli amemuagiza Waziri Jafo kubadilisha jina la Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero na kuitwa Mlimba ambapo ameagiza makao makuu yawe Mgeta.

Pia amemwagiza kufanywa mabadiliko kwenye Halmashauri ya Mji Ifika kwa kuziongozea kata kutoka kwenye Halmashauri ya Mji wa Kilombero, na kwamba makao makuu yawe Ifikara Mjini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

error: Content is protected !!