Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Sam Misago, Charles, Rwenyagira wamfuata Zembwela Wasafi Radio
Habari Mchanganyiko

Sam Misago, Charles, Rwenyagira wamfuata Zembwela Wasafi Radio

Spread the love

KITUO cha Radio cha Wasafi kimezidi kuibomoa East Afrika Radio baada ya kuwang’oa watangazaji wengine watatu ambao wamejiunga na radio yao hivi karibuni. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Ikiwa ni wiki mbili baada ya kituo hicho kumuondoa Mtangazaji nguli wa East Afrika TV na Radio, Hilary Daudi ‘Zembwela,’ nyota wengine , Charles William, mtangazi wa kipindi cha East Africa Breakfast, David Rwenyagira wa East Africa Drive na Sam Misago wa E News na Friday Night Live (FNL).

Charles ambaye alipotea hewani ghafla katika kipindi hicho, ameliambia MwanaHALISI Online kuwa; “Nimeachana na East Africa Radio tangu 24 Oktoba, 2019 baada ya kufanya nao kazi tangu Julai, 2018. Naushukuru uongozi wa kituo hicho na wafanyakazi wote kwa ushirikiano waliompatia.”

Charles amesema kuhusu kipindi gani atakachokua akitangaza kitawekwa hadharani mara baada ya taratibu za kiofisi zitakapokamilika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Habari Mchanganyiko

Somo la dini: Waislamu waishukia Serikali, wizara yatoa kauli

Spread the loveJUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetupia lawama Serikali ikidai...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

error: Content is protected !!