Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Baada ya Zahera, Yanga wavunja Kamati ya Mashindano
Michezo

Baada ya Zahera, Yanga wavunja Kamati ya Mashindano

Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Yanga
Spread the love

KAMATI ya Utendaji ya Klabu ya Yanga, imeivunja Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 7 Novemba 2019, na Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Klabu ya Yanga, kamati hiyo ilivunjwa rasmi tarehe 2 Novemba,  mwaka huu.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, uamuzi wa kamati hiyo kuvunjuwa, ulifikiwa kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji  kilichoketi katika makao makuu ya klabu ya Yanga Jangwani, jijini Dar es Salaam, chini ya Dk. Mshindo Msolla, Mwenyekiti wa klabu hiyo.

“Uamuzi wa kuivunja kamati ya mashindano, ulifikiwa katika kikao cha kamati ya utendaji kilichoketi Novemba 2, 2019 makao makuu ya klabu, “ inaeleza taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imesema kamati mpya ya mashindano itatangazwa baadae na uongozi wa klabu hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!