Sunday , 5 May 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Kimataifa

Urusi yampa uraia Edward Snowden

  RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amempa uraia kachero na mhandisi wa zamani wa Marekani, Edward Snowden, ambaye tangu mwaka 2020 amekuwa mkaazi...

ElimuHabari

Serikali yaipongeza St Anne Marie kwa kutochuja wanafunzi, Yaahidi kuendelea kuongoza Dar/kitaifa

  SERIKALI imepongeza shule ambazo hazina kawaida ya kuchuja wanafunzi unapofikia muda wa mitihani ya kitaifa iiwemo St Anne Marie Academy . Mwandishi...

Kimataifa

Rais Benki ya Dunia agoma kujiuzulu

  RAIS wa Benki ya Dunia, David Malpass amesema kwamba hatajiuzulu kutokana ukosoaji dhidi ya matamshi yake aliyoyatoa kuhusiana na mabadiliko ya tabianchi....

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mkutano wa SCO ni suluhu la ubinafsi na kukidhi haja ya unganiko hilo?

  INAELEZWA kuwa kuna mzozo wa kwa nchi wanachama wa SCO unatokana na kuteteleka na kushindwa kufanya mkutano wa pamoja wa kujadili tishio...

Michezo

NMB yadhamini milioni 25 michuano ya Golf- Lugalo

BENKI ya NMB imetoa udhamini wa Sh. milioni 25 kwa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF Trophy 2022), kama...

HabariMichezo

Michezo mwezi Oktoba, Simba ni jasho na damu

  IKIWA kawa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara, imesimama kwa baadhi ya timu ili kupisha michezo ya kimataifa kwenye kalenda ya Shirikisho la...

Michezo

Umemsikia Mayele, hana wasiwasi na Al Hilal

  MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga, Fiston Kalala Mayele ameonekana kutokuwa na wasiwasi na mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya...

Afya

HKMU, WKU kushirikiana kwenye tafiti za kitaaluma

  CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeingia makubaliano na Chuo Kikuu cha Western Kentucky cha Marekani (WKU) kwa ajili ya...

Burudika

Man Mo; Mkali aliyetajwa na Hayati Magufuli mkutanoni

KILA mtu ana kipaji chake alichozaliwa nacho hapa duniani. Shida tunayokutana nayo ni namna ya kukivumbua kipaji hicho ili kiwe sehemu ya maisha...

Burudika

Netta, Mr Eazi waangusha kolabo kali ‘Playground Politica’

MSANII maarufu wa muziki wa Pop, Netta amemshirikisha staa mkubwa wa muziki wa Nigeria, Mr Eazi katika ngoma mpya ya Playground Politica ambayo...

Michezo

Majaliwa mgeni rasmi mbio za NMB Marathon 2022

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya mbio za NMB Marathon 2022 yanayotarajiwa kufanyika Oktoba mosi katika viwanja vya...

Kimataifa

Rais Xi hana mpango wa kufanya ziara Saudi Arabia

WAKATI vyombo vya habari vikiripoti kuwa nchi ya Saudi Arabia ipo kwenye maandalizi ya kumpokea Rais wa China Xi Jinping, Waziri wa Mambo...

ElimuHabariTangulizi

Waziri Mkuu kuzindua kampasi ya CBE Mbeya Oktoba 8

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mwitikio wa wadau mbalimbali kuchangia ujenzi wa mabweni ya wasichana katika kampasi yake mkoani Mbeya...

Kimataifa

Majaji 6 waliokataliwa na Uhuru waapishwa na Ruto

  HATIMAYE majaji sita ambao walikuwa wameteuliwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) nchini Kenya mwaka 2019 na majina yao kukataliwa na...

Elimu

Serikali yabanwa bungeni wanafunzi walioacha shule

  SERIKALI imeagiza maofisa elimu katika halmashauri zote nchini kusimamia na kutekeleza ipasavyo muongozo wa kuwarejesha shuleni wanafunzi walioacha au kukatishwa masomo kwa...

Afya

Watoto milioni 14.6 wapatiwa chanjo ya polio

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema jumla ya watoto 14,690,597 wametiwa huduma ya chanjo ya polio ya matone sawa na asilimia 118.6...

Afya

Dk. Mpango ataka udhibiti dawa za kuhifadhi samaki

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amezitaka mamlaka za udhibiti kukomesha matumizi ya dawa zisizofaa katika...

KimataifaTangulizi

Rais Ruto aanza na bandari Mombasa, mbolea, majaji

  SAA chache baada ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameonekana kuanza kazi kwa kasi ya ajabu, baada...

Michezo

Sakata la idadi ya wachezaji wa kigeni laibuka bungeni

  SERIKALI imesema licha ya kuwepo kwa idadi kubwa wa wachezaji wa kigeni katika Ligi Kuu Bara, itaendelea kulishauri Shirikisho la Mpira wa...

KimataifaTangulizi

Mfalme Charles III ahutubia bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza

Mfalme wa Uingereza Charles amelihutubia bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza kama kiongozi wa ufalme. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Alitoa hotuba...

KimataifaTangulizi

Ruto, Kenyatta wakutana mara ya kwanza baada ya uchaguzi

RAIS mteule William Ruto leo Jumatatu tarehe 12 Septemba, 2022, amekutana na rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Rais Jijini Nairobi....

ElimuHabari

Serikali yampongeza Dk. Rweikiza kuwekeza kwenye elimu

  SERIKALI imempongeza Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikiza kwa kuwekeza kwenye elimu na kusaidia jitihada za serikali kuboresha sekta hiyo...

Kimataifa

Sangoma aliyetabiri kifo cha Malkia Elizabeth aibua mjadala

  WAKATI dunia ikiomboleza kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, watumiaji wa mtandao wa Twitter wameibua Tweet ya mganga mmoja matata aliyebashiri...

MichezoTangulizi

Yanga, Simba wang’ara kimataifa

WATANI wa jadi Simba na Yanga wameanza vema kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa baada ya kuibuka na ushindi mnono ugenini katika raundi ya...

Kimataifa

harles III athibitishwa kuwa mfalme Uingereza

  BARAZA la Kukabidhi Mamlaka la Uingereza, limetangaza rasmi mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth II, Charles Philip Arthur George, kuwa mfalme wa...

Michezo

Geita Gold FC. matumaini kibao wakiwavaa Wasudan

MATAJIRI wa madini, Klabu ya Geita Gold kesho wanatarajia kurusha karata yao ya kwanza katika michuano ya kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Barani...

KimataifaTangulizi

Jinsi mrithi wa Malkia Elizabeth anavyotawazwa kushika wadhifa huo

  MARA tu baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II, kiti cha ufalme kinapitishwa mara moja bila sherehe yoyote kwa mrithi wake ambaye...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia atuma salamu za rambirambi kifo cha Malkia Elizabeth II

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa kiongozi wa kimila nchini Uingereza, Malkia Elizabeth II....

Kimataifa

Waandamana kupinga mawakili wanaowatetea watuhumiwa wa kufuru Pakistani

MAKUNDI ya wafuasi wa Dini ya Kiislam na wafanyabiashara nchini Pakistani wameandamana kupinga watuhumiwa wa makosa ya kumdhihaki Mtume Muhammad (S.A.W) ‘kufuru’ jijini...

KimataifaTangulizi

Malkia Elizabeth II afariki dunia

MALKIA Elizabeth II aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi nchini Uingereza, amefariki dunia leo Alhamis nyumbani kwake Balmoral akiwa na umri wa miaka 96...

HabariMichezoTangulizi

Mgunda kuiongoza Simba Ligi ya Mabingwa Afrika.

  Klabu ya Soka ya Simba imemtangaza Juma Mgunda kuwa kocha wa muda wa klabu hiyo atakayesaidiana na Seleman Matola, kuelekea mchezo wa...

Kimataifa

Rais Burundi amtimua Waziri Mkuu madai kutaka kumpindua

RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye leo Jumatano amemfuta kazi waziri wake mkuu Alain Guillaume Bunyoni baada ya kuonya kwamba kulikuwa na mpango wa...

KimataifaTangulizi

Ruto azungumza na Rais Kenyatta

HATIMAYE Rais mteule wa Kenya, Dk. William Ruto leo Jumatano amezungumza na Rais Uhuru Kenyatta wa taifa hilo anayemaliza muda wake madarani. Wawili...

Kimataifa

Liz kukabidhiwa mikoba ya uwaziri mkuu leo

LIZ Truss anatarajiwa kuchukua nafasi ya Boris Johnson kama Waziri Mkuu wa Uingereza leo tarehe 6 Septemba, 2022 atakapokwenda kumuona Malkia Elizabeth huko...

MichezoTangulizi

Simba SC. wamtimua kocha mkuu Zoran Maki

KLABU ya Soka ya Simba SC. imemtimua Kocha Mkuu wa kikosi cha timu hiyo, Zoran Maki baada ya kufikia makubaliano ya pande zote...

Michezo

Azam FC yapata kocha mpya, apewa mwaka 1

MATAJIRI wa jiji la Dar es Salaam kutoka  Chamazi – Timu ya soka ya Azam FC baada ya kuanza msimu mpya wa Ligi...

KimataifaTangulizi

Hotuba ya Kenyatta yaibua maswali kutomtaja Ruto

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amevunja ukimya kwa kishindo cha aina yake tangu kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu wa 2022 baada ya jana tarehe...

KimataifaTangulizi

Rais mteule William Ruto kuapishwa Jumanne ijayo

RAIS mteule wa Kenya, William Ruto anatarajiwa kuapishwa Jumanne, tarehe 13 Septemba, 2022. Hii ni baada ya Mahakama ya Juu Milimani kutupilia mbali...

Kimataifa

Odinga: Tunaheshimu uamuzi wa mahakama lakini hatukubaliani nao

ALIYEKUWA mgombea kiti cha Urais wa Kenya, Raila Odinga, pamoja na mgombea mwenza wake, Martha Karua, wamesema wanaheshimu maoni ya Mahakama ya Juu...

KimataifaTangulizi

Huu hapa uamuzi wa Mahakama juu ya masuala tisa ya kupinga ushindi wa Ruto

  MAJAJI saba wa Mahakama ya Juu nchini Kenya wametoa uamuzi wa pamoja wa kutupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Rais Mteule...

Kimataifa

Nini kitafuata baada ya Mahakama kuamua hatima matokeo uchaguzi mkuu Kenya?

  LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa...

KimataifaTangulizi

Nini kitafuata baada ya Mahakama kuamua hatima matokeo uchaguzi Urais Kenya?

LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa kuanzia...

MichezoTangulizi

Wanywa bia Kombe la Dunia wapewa masharti

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA)  limesema uuzaji wa bia hautaruhusiwa ndani ya uwanja wakati mechi ikiwa inaendelea isipokuwa kwa masharti maalumu...

HabariMichezo

Simba Queen wapewa basi kwa Safari za ndani

  Timu ya Soka ya wanawake ya Simba (Simba Queens) leo  Septemba 2 2022 imepewa basi na kampuni ya  uuzaji wa magari ya...

Elimu

UDSM yafadhili walimu 16 kufundisha masomo ya sayansi

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kupitia Ndaki ya Sayansi Tumizi na Sayansi Asili (CoNAS), kimewezesha wanafunzi 16 waliohitimu masomo ya ualimu...

Kimataifa

Ubalozi wa Marekani nchini Kenya watoa tahadhari kwa raia wake

  UBALOZI wa Marekani nchini Kenya umewataka raia wake kuchukua tahadhari kubwa nchini humo wakati huu ambapo , mahakama ya juu inatarajiwa kutoa...

KimataifaTangulizi

Haya hapa maswali magumu ya Majaji kwa mawakili wa Ruto na IEBC

  KESI ya kupinga uchaguzi wa rais mteule William Ruto katika mahakama ya Juu nchini Kenya leo Ijumaa tarehe 2 Septemba, 2022, imeingia...

Afya

Waziri Ummy aagiza wakuu wa mikoa, wilaya kusimamia chanjo polio

  WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kusimamia kikamilifu utekelezaji wa kampeni ya chanjo ya...

HabariMichezo

Kisinda, Ntibazonkiza wafunga dirisha la usajili Tanzania

  WACHEZAJI wa kimataifa Tuisila Kisinda pamoja na nyota kutoka Burundi Saido Ntibanzokiza wameng’ara dakika za mwisho wakati wa kufungwa kwa dirisha la...

Kimataifa

Mahakama yaiamuru IEBC imruhusu Odinga kuona matokeo ya uchaguzi

MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022, imeamuru Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumpa mgombea urais wa Muungano...

error: Content is protected !!