Saturday , 18 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

MichezoTangulizi

Kocha Yanga amvaa Makambo

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera katika hali ya kushangaza ameonekana kutofurahishwa na kiwango cha mshambuliaji wake, Heritier Makambo katika mchezo wa Ligi Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Shilingi ya Tanzania shakani

KUYUMBA kwa uzalishaji na uuzaji wa zao la korosho nchini katika msimu wa korosho wa 2018/2019, kunatajwa kuweza kuporomosha thamani ya Shilingi ya...

MichezoTangulizi

Mtemi Ramadhani ajiengua Uchaguzi Mkuu Simba

MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu ya Simba, Mtemi Ramadhani amejondoa kwenye kinyang’anyiro hicho kwa sababu ya kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yamjibu Mtatiro

TAARIFA KWA UMMA Imetolewa 24/October/2018 Kuhusu ufafanuzi wa Mtatiro kufuatia Mazungumzo yake na Wanahabari yaliofanyika Kisiwa cha Unguja . CUF-Chama cha Wananchi kinayachukulia...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya JPM yawafuta machozi wajane wa Aboud Jumbe

SERIKALI ya Rais John Magufuli imewafuta machozi wajane wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaji Aboud Mwinyi Jumbe...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli, Kikwete wateta Ikulu

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete leo tarehe 23 Oktoba 2018 Ikulu...

ElimuTangulizi

Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka

WATAHINIWA 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wa mwaka 2018. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akitangaza matokeo hayo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri wa meli kutoka Dar- Z’bar wasitishwa

USAFIRI wa majini kati ya Dar es Salaam na Zanzibar umesitishwa siku ya leo hadi hapo utakapotangazwa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za Siasa

Godbless Lema aitikia wito wa polisi

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameitikia wito wa Jeshi la Polisi uliomtaka kuwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha bila kukosa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

January Makamba akamatwa, kisa kutekwa kwa MO

JESHI la Polisi nchini, jana lilimhoji kwa saa kadhaa, January Makamba, kufuatia madai kuwa alikuwa chanzo kikuu cha taarifa za kutekwa kwa mfanyabiashara...

Habari za Siasa

Lema mikononi mwa polisi Arusha

GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha ametakiwa kufika Polisi Arusha leo tarehe 21 Oktoba 2018 kabla hakujakucha. Anaripoti Mariam Seleman … (endelea). Mpaka sasa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wizara ya Kilimo yapata pigo, watumishi watano wafariki ajalini

WATUMISHI watano wa Wizara ya Kilimo na Chakula, wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Njirii, Manyoni mkoani Singida. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mo aitwa Singida, wazee wataka kufanya yao

MFANYABIASHARA maarufu Mohammed Dewji ‘Mo’ ameombwa kwenda mkoani Singida ili apozwe machungu. Anaandika Mwandishi Maalum … (endelea). Akizungumza na wanahabari kwenye viwanja vya...

Habari za Siasa

Mkurugenzi Dodoma ajitosa migogoro ya ardhi

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema  migogoro yote ambayo inatokana na kero za ardhi ndani ya jiji ni lazima itatuliwe kwa mujibu...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu kufungua maonyesho ya Azaki

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, anatarajiwa kufungua maonyesho ya wiki la Asasi za kiraia  nchini leo ambapo zaidi ya mashirika yasiyo ya kiserikali 400...

Makala & UchambuziTangulizi

Ya TANU, Afro Shirazi sio ya CCM

UBINAFSISHAJI ni sera ya Benki ya dunia, ulioanza kutekelezwa toka awamu ya pili ya utawala wetu ikiwa ni kipindi cha mpito cha kuondokana...

Habari za Siasa

Chadema, serikali wavimbiana

SERIKALI mkoani Simiyu imepiga marufuku kufanyika Mkutano wa ndani wa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (Chadema) kesho tarehe 21 Oktoba 2018, hata hivyo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mo Dewji apatikana, awashukuru Watanzania

MFANYABIASHARA Bilionea nchini akiyetekwa na watu wasiojulikana Mohammed Dewji ‘Mo’ apatikana alfajiri ya leo akiwa hai. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kupitia mtandao...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Lema, Lissu njia panda, wamvaa IGP Sirro

PICHA ya gari iliyoibuliwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro leo tarehe 19 Oktoba 2018 kwamba ndilo lililotumika kumteka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gari lililomteka MO hili hapa

MKUU wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro amesema polisi wamefanikiwa kumtambua dereva na  gari lililohusika katika tukio la kutekwa mfanyabiashara Mohammed Dewji maarufu...

Habari za SiasaTangulizi

Utetezi wa Kubenea, Komu Chadema huu hapa

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea pamoja na wa Moshi Vijijini, Anthony Komu wametoa ufafanuzi wao kuhusu sauti iliyosambaa katika mitandao ya kijamii hivi...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Komu wapewa onyo kali, wawekwa chini ya uangalizi

KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewapa onyo kali wabunge wake Saed Kubenea wa Ubungo na Anthony Komu wa Moshi...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Komu waanza kuhojiwa na Kamati Kuu Chadema

WABUNGE Saed  Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini) wameanza kuhojiwa na Kamati Kuu ya Chadema katika kikao cha kamati hiyo kinachoendelea leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Radi yaua wanafunzi sita Geita

SHULE ya Msingi Emaco Vision English Medium ya mjini Geita mkoa wa Mwanza imepata pigo baada ya kuondokewa na wanafunzi wake sita waliofariki...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yakomaa Umeya wa Jiji Dar, serikali yasalimu amri

VUTA nikuvute kwenye Uchaguzi wa Naibu Meya wa jiji la Dar es salaam jana imesababisha serikali kuahirisha uchaguzi huo. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za Siasa

Chadema wataka wachunguzi wa kimataifa sakata la MO

CHAMA cha Chadema kimeitaka serikali kuruhusu wachunguzi wa kimataifa kuchunguza tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ lililofanywa  na watu wasiojulikana tarehe...

Makala & Uchambuzi

Z’bar itarejea asili yake?

HIVI ninavyojadili haja ya kuiona Zanzibar inarudia asili yake ya kuwa nchi yenye wastaarabu na iliyopiga hatua kubwa ya maendeleo ya kiuchumi, kunatokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Familia ya Dewji kutoa bil 1 kwa atakayesaidia kupatikana MO

FAMILIA ya Mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ aliyetekwa tangu Alhamisi ya Oktoka 11 2018, maeneo ya Osterbay jijini Dar es Salaam, imetangaza zawadi nono...

Habari za Siasa

NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti

TUME ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetangaza tarehe ya Uchaguzi wa Marudio katika majimbo ya Serengeti na Simanjiro utakaofanyika tarehe 2 Desemba, 2018. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Familia ya Dewji kuvunja ukimya kutekwa kwa MO

FAMILIA ya mfanyabiashara, Mohammed Dewji ‘MO’ na Kampuni za Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) leo wanatarajia kuvunja ukimya juu ya kutekwa kwa bilionea...

Habari MchanganyikoTangulizi

DART yatoa tamko kuhusu hujuma za madereva wa Udart

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umesema madereva wa kampuni ya mtoa huduma, (Udart) waliohusika kufanya hujuma ya kuzuia mabasi yaliyokuwa yameegeshwa katika...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: CCM kuna wezi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally amesema kuwa, ndani ya chama chake amekuta wezi. Anaandika Faki Sosi…(endelea). Na kwamba,...

Habari za Siasa

Tukio la kutekwa kwa MO Dewji laiibua LHRC

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani tukio la kupotea kwa Mfanyabiashara, Mohammed Dewji lililotokea jana alfajiri katika hoteli ya Colosseum...

Habari za Siasa

NEC yawaita wapiga kura uchaguzi Liwale

WAPIGA kura katika jimbo la Liwale mkoani Lindi pamoja na kata nne za Tanzania Bara wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Matumizi mabaya ya fedha yawagonganisha RC Mongella, CCM

MGOGORO umeibuka Mwanza kati ya serikali ya mkoa na viongozi wa Chama cha Mapinduzi mkoa (CCM) kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni kushindwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Chadema ajibu mashambulizi ya Mwita  

CECIL Mwambe, Mbunge Jimbo la Ndanda (Chadema) anayetajwa kwenye orodha ya wabunge wanaotaka kukimbilia CCM amesema, hajashindwa kazi. Anaandika Faki Sosi … (endelea)....

Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Mwenyekiti mpya wa TANROADS

RAIS John Magufuli amemteua Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Lucas Nyaoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa...

Habari za Siasa

Wabunge wafunguka kutekwa kwa MO Dewji

BAADHI ya Wabunge hapa nchini wametoa neno kuhusu tukio la kupotea kwa Mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’, huku wakitoa wito kwa serikali kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Ukerewe, naye aikimbia Chadema

ALIYEKUWA mbunge wa Chadema katika jimbo la Ukerewe, mkoani Mwanza, Joseph Mkundi, hatimaye amemwaga manyanga. Anaripoti Mwandishi Wetu …. (endelea). Katika barua yake...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli atuma salamu za pole kwa Rais Kenyatta vifo vya watu 50

RAIS John Magufuli ametuma salamu za pole kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta kufuatia vifo vya watu 50 vilivyosababishwa na ajali ya basi...

Makala & Uchambuzi

Rangi ya CCM ni ile ile

WAKATI wa Rais Jakaya Kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005, alianza kwa makeke yaliyomsisimua kila Mtanzania.Anaandika Mhode Mkasimongwa … (endelea). Moja ya makeke hayo...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo wa vyama siasa wajifungia Dar kujadili Demokrasia

BAADHI ya viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hapa nchini leo tarehe 10 Oktoba 2018 wamekutana katika mkutano maalum unaoendelea kwenye hoteli ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Raia wa kigeni wanaswa wakitorosha dola 70,000

RAIA wawili wa kigeni, Nada Zaelnoon Ahamed (38) na Mohamed Belal (31), wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukutwa na kiasi cha...

KimataifaTangulizi

Marekani, China washusha uchumi wa Dunia

MIVUTANO ya kibiashara ya kidunia imetajwa kuwa miongoni mwa sababu za kushuka kwa uchumi  wa dunia katika kipindi cha mwaka 2018/2019 huku vita...

Habari za Siasa

Benki ya Dunia yampa ‘saluti’ JPM

BENKI ya Dunia (WB) imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayofadhili hapa nchini, unaofanmywa na serikali ya Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za Siasa

Kabudi, Kigwangala wateta na balozi wa Uingereza

WAZIRI wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangala wamekutana na Balozi wa Uingereza Nchini,...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba alalamika rafu Uchaguzi Liwale

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, anadai kuna uwepo wa rafu katika uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Skendo za kuhamia CCM, Kubenea afura, ashambulia Mwananchi

Taarifa kwa umma NIMEONA picha yangu kwenye gazeti la leo Jumanne la MWANANCHI likinihusisha mimi na kutaka kuhama chama changu na kujiunga na...

error: Content is protected !!