Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti
Habari za Siasa

NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti

Spread the love

TUME ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetangaza tarehe ya Uchaguzi wa Marudio katika majimbo ya Serengeti na Simanjiro utakaofanyika tarehe 2 Desemba, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Uchaguzi huo utafanyika baada ya kujiuzuru kwa wabunge wake, James Ole Millya wa Simanjiro na Marwa Chacha wa Serengeti, ikiwa pamoja na Kata 21 za Tanzania Bara ambapo pia madiwani wake wamejiuzuru. 

Mwenyekiti wa NEC,Semistocles Kaijage amesema fomu za uteuzi wa wagombea zitatolewa tarehe 28 Oktoba hadi 3 Novemba mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!