Tuesday , 3 October 2023
Home Gazeti Habari za Siasa NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti
Habari za Siasa

NEC yatangaza Uchaguzi wa Marudio Simanjiro, Serengeti

Spread the love

TUME ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetangaza tarehe ya Uchaguzi wa Marudio katika majimbo ya Serengeti na Simanjiro utakaofanyika tarehe 2 Desemba, 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Uchaguzi huo utafanyika baada ya kujiuzuru kwa wabunge wake, James Ole Millya wa Simanjiro na Marwa Chacha wa Serengeti, ikiwa pamoja na Kata 21 za Tanzania Bara ambapo pia madiwani wake wamejiuzuru. 

Mwenyekiti wa NEC,Semistocles Kaijage amesema fomu za uteuzi wa wagombea zitatolewa tarehe 28 Oktoba hadi 3 Novemba mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bilioni 6.1 kumaliza tatizo la maji Katoro-Buseresere – Geita

Spread the loveMakamu mwenyekiti wa Umoja wa wanawake CCM, (UWT), Zainab Shomari...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali kupokea ndege ya 14 ya ATCL, safari kuongezeka

Spread the love  SERIKALI ya Tanzania, kesho tarehe 3 Oktoba 2023, inatarajia...

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

error: Content is protected !!