Tuesday , 5 December 2023
Home Habari Mchanganyiko DART yatoa tamko kuhusu hujuma za madereva wa Udart
Habari MchanganyikoTangulizi

DART yatoa tamko kuhusu hujuma za madereva wa Udart

Mabasi yaendayo kasi
Spread the love

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umesema madereva wa kampuni ya mtoa huduma, (Udart) waliohusika kufanya hujuma ya kuzuia mabasi yaliyokuwa yameegeshwa katika karakana ya Jangwani, na kusababisha adha ya usafiri siku ya Jumatano ya Oktoba 10 2018, wamechukuliwa hatua. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kupitia tamko lake iliotoa leo tarehe 12 Oktoba 2018, DART imesema madereva hao wamechukuliwa hatua za kisheria na vyombo vya usalama, huku ikitoa onyo kwa wafanyakazi wa mfumo wa DART watakaojihusisha na hujuma watachukuliwa hatua ikiwemo kuachishwa kazi.

“Serikali imetoa onyo kali kwa wafanyakazi katika mfumo wa DART watakaojihusisha na hujuma na kuwa hatua stahiki za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kuachishwa kazi,” inaeleza sehemu ya tamko hilo.

Katika hatua nyingine, DART imeomba radhi watumiaji wa mabasi yanayotoa huduma katika mfumo wa DART kwa usumbufu wlaiopata, huku ikiahidi kuhakikisha kuboresha huduma zake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

Spread the love  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Spread the loveWaathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza...

Habari Mchanganyiko

TPF-NET Arusha yaonya jamii ya wafugaji zinazoendeleza ukatili wa watoto na wanawake

Spread the love  MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Greyhorse zasaini mkataba wa bil.7.4

Spread the loveTAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10...

error: Content is protected !!