Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kubenea, Komu waanza kuhojiwa na Kamati Kuu Chadema
Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Komu waanza kuhojiwa na Kamati Kuu Chadema

Anthony Komu Mbunge wa Moshi Vijijini na Saed Kubenea wa Ubungo
Spread the love

WABUNGE Saed  Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini) wameanza kuhojiwa na Kamati Kuu ya Chadema katika kikao cha kamati hiyo kinachoendelea leo Jumatano Oktoba 17, 2018 katika ukumbi wa Ledger Plaza katika Hoteli ya Bahari Beach. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kikao hicho pamoja na ajenda nyingine lakini pia kimekutana kuwajadili wabunge hao wawili baada ya kudaiwa kupanga mpango hasi dhidi ya Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kupitia kile kinachodaiwa sauti iliyotengeneza ya mpango huo.

Kubenea na Komu katika siku za hivi karibuni wamezua mjadala ndani na nje ya chama hicho baada ya kuvuja kwa sauti hiyo ambayo inadaiwa ni mazungumzo kati ya wabunge hao.

Wabunge hao waliwasili ukumbi hao majira ya saa 8:01 mchana ambapo baada ya kupewa maelezo, Komu ndiyo alikuwa wa kwanza kuingia kuhojiwa mbele ya kamati hiyo huku Kubenea akisubiri muda wake kuitwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!