Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Mo Dewji apatikana, awashukuru Watanzania
Habari MchanganyikoTangulizi

Mo Dewji apatikana, awashukuru Watanzania

Mohamed Dewji 'MO Dewji'
Spread the love

MFANYABIASHARA Bilionea nchini akiyetekwa na watu wasiojulikana Mohammed Dewji ‘Mo’ apatikana alfajiri ya leo akiwa hai. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Kupitia mtandao wa Twitter MeTL Group, Mo ameandika kuwa amerejea salama na kwamba anamshukur mwenyezi Mungu.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi Salama Nyumbani nashukuru watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao.

“Nashukuru Mamlaka zote ikiwemo Jeshi la Polisi zilizfanya kazi kuhakikisha narudi salama.”

Baba mzazi wa Mo amethibitisha kuwa Mwanawe amerejea nyumbani salama.

Mo alitekwa na watu wasiojulikana Oktoba 11

Collosium Hotel.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

Spread the loveIMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na...

error: Content is protected !!