Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mo Dewji apatikana, awashukuru Watanzania
Habari MchanganyikoTangulizi

Mo Dewji apatikana, awashukuru Watanzania

Mohamed Dewji 'MO Dewji'
Spread the love

MFANYABIASHARA Bilionea nchini akiyetekwa na watu wasiojulikana Mohammed Dewji ‘Mo’ apatikana alfajiri ya leo akiwa hai. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Kupitia mtandao wa Twitter MeTL Group, Mo ameandika kuwa amerejea salama na kwamba anamshukur mwenyezi Mungu.

“Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi Salama Nyumbani nashukuru watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao.

“Nashukuru Mamlaka zote ikiwemo Jeshi la Polisi zilizfanya kazi kuhakikisha narudi salama.”

Baba mzazi wa Mo amethibitisha kuwa Mwanawe amerejea nyumbani salama.

Mo alitekwa na watu wasiojulikana Oktoba 11

Collosium Hotel.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

error: Content is protected !!