Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lema mikononi mwa polisi Arusha
Habari za Siasa

Lema mikononi mwa polisi Arusha

Spread the love

GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha ametakiwa kufika Polisi Arusha leo tarehe 21 Oktoba 2018 kabla hakujakucha. Anaripoti Mariam Seleman … (endelea).

Mpaka sasa wito wa Lema kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Arusha haujafahamika lengo lake.

Mbunge huyo ameandika kwenye ukurasa wake wa Tweeter kwamba, anaelekea Arusha kutekeleza wito huo.

“Nimepigiwa simu na Polisi kwamba natakiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Arusha leo bila kukosa, sijaelewa sababu lakini wito unaonekana kuwa wa lazima sana, lakini nafikiria kupigania haki hili ndio linaweza kuwa kosa langu kubwa. Msiogope.”

Mpaka sasa hakujawa na taarifa mpya kutokana na wito huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!