Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Radi yaua wanafunzi sita Geita
Habari MchanganyikoTangulizi

Radi yaua wanafunzi sita Geita

Radi
Spread the love

SHULE ya Msingi Emaco Vision English Medium ya mjini Geita mkoa wa Mwanza imepata pigo baada ya kuondokewa na wanafunzi wake sita waliofariki duniani kwa kupigwa na radi wakati wengine 25 wakijeruhiwa kwenye tukio hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tukio hilo la kusikitisha limetokea asubuhi ya leo tarehe 17 Oktoba 2018, ambapo wanafunzi hao wa darasa la pili na la tatu walipatwa na mkasa huo wakiwa darasani.

Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Ofisa Elimu Msingi wilaya ya Geita, Yese Kanyuma akieleza kuwa, radi hiyo imetokea kutokana na mvua kubwa iliyonyesha asubuhi ya leo.

Kanyuma ameeleza kuwa, majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!