Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Radi yaua wanafunzi sita Geita
Habari MchanganyikoTangulizi

Radi yaua wanafunzi sita Geita

Radi
Spread the love

SHULE ya Msingi Emaco Vision English Medium ya mjini Geita mkoa wa Mwanza imepata pigo baada ya kuondokewa na wanafunzi wake sita waliofariki duniani kwa kupigwa na radi wakati wengine 25 wakijeruhiwa kwenye tukio hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tukio hilo la kusikitisha limetokea asubuhi ya leo tarehe 17 Oktoba 2018, ambapo wanafunzi hao wa darasa la pili na la tatu walipatwa na mkasa huo wakiwa darasani.

Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Ofisa Elimu Msingi wilaya ya Geita, Yese Kanyuma akieleza kuwa, radi hiyo imetokea kutokana na mvua kubwa iliyonyesha asubuhi ya leo.

Kanyuma ameeleza kuwa, majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi wampongeza Rais Samia kuimarisha vyombo vya habari, demokrasia

Spread the love  UBALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, umempongeza Rais Samia Suluhu...

error: Content is protected !!