Saturday , 18 May 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Tangulizi

Rais Samia: Kaya zote hazitofikiwa siku ya sensa

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wananchi ambao hawatafikiwa kesho tarehe 23 Agosti, 2022 na makarani wa sensa kuhakikisha wanatunza kumbukumbu...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kosa la jinai karani kutoa taarifa za kaya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema taarifa zitakazokusanywa na makarani wa sensa nchi nzima ni taarifa za siri kwa mujibu wa sheria ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee Mrema kuzikwa Alhamisi

  MWILI wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Agustino Lyatonga Mrema unatarajiwa kuzikwa Alhamisi tarehe 25 Agosti, 2022 nyumbani kwake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Profesa Moshi ampa darasa la uchumi Dk. Mwigulu

MHADHIRI wa uchumi kutoka Chuo kikuu caha Dar Es Salaam, Profesa Humphrey Moshi, amemtaka waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba pamoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia, Mbatia wamlilia Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Mrema kilichotokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mrema afariki dunia

MWENYEKITI wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki duninia leo tarehe 21 Agosti, 2022, saa 12.15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa...

HabariTangulizi

Kubenea ambwaga Makonda kesi ya ‘mchongo’

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imefuta hukumu iliyomtia hatiani aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo (2015-2020), Saed Kubenea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Siku ya sensa ni mapumziko

HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia tarehe 23 Agosti, 2022 iwe siku ya mapumziko ili Watanzania wawepo majumbani na waweze kuwapokea makarani wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

TANESCO yaghairi matengenezo mfumo wa LUKU

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeahirisha zoezi la matengenezo kinga ya mfumo wa ununuzi wa umeme LUKU ambalo lingesababisha kusitishwa kwa huduma hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango atoa somo Wimbo wa Taifa

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amelazimika kuanza hotuba yake kwa kufundisha wananchi namna ya kusimama wakati wa kuimba Wimbo wa Taifa. Anaripoti...

KimataifaTangulizi

Ruto: Machifu, watumishi ‘waliotekwa’ upinzani warejee kazini

RAIS mteule w Kenya, Dk. William Ruto amewataka machifu na watumishi wa umma waliokuwa wanatumiwa na wanasiasa kuwafanyia kampeni, warejee kazini ili watekeleza...

Habari MchanganyikoTangulizi

LATRA yafunguka chanzo BOLT kusitisha usafiri wa magari

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema mojawapo ya sababu ya baadhi ya Kampuni za teksi mtandaoni kusitisha huduma za usafiri wa magari...

HabariTangulizi

Karia: Mimi sio Mwanachama wa Simba

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ameweka wazi kwamba yeye sio wanachama wala shabiki wa klabu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aungana na viongozi Afrika kumpongeza Ruto

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi wengine wa Bara la Afrika kwa kumpongea mshindi wa nafasi ya urais pamoja na kuwapongeza...

KimataifaTangulizi

Ruto: Nitaongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia

  RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto amewahakikishia wananchi kuwa ataongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia ya hali ya juu huku...

KimataifaTangulizi

Ruto aibuka mshindi Urais Kenya kwa asilimia 50.49

  MGOMBEA Urais wa Muungano wa Kenya Kwanza na Chama cha UDA, William Ruto ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu kwa kura 7,176,141...

KimataifaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Kenya- mbivu, mbichi leo

WAKENYA watajua rais wao mpya wakati wowote kuanzia leo wakati Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati akiwa amebakisha...

KimataifaTangulizi

Odinga aibuka, ahubiri amani, maridhiano

MGOMBEA urais nchini Kenya kupitia muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga jana Agosti 14, 2022 ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu...

MichezoTangulizi

Yanga yairarua Simba, Mayele atetema

  KLABU ya Soka ya YANGA imeanza vema msimu mpya kwa kutetea taji lao la Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1...

KimataifaTangulizi

Salman Rushdie apumulia mashine baada ya kuchomwa visu Marekani

MWANDISHI wa habari mzaliwa wa Mumbai nchini India, Salman Rushdie, anapumulia mashine hospitalini baada ya jana tarehe 12 Agosti, 2022 kushambuliwa na visu....

Habari MchanganyikoTangulizi

UTAFITI: Vyakula vya baharini, wanyamapori chanzo cha Covid-19

IMEELEZWA kuwa Soko la vyakula vya baharini na wanyamapori la Huanan lililopo katika mji wa Wuhan nchini China ndio kitovu cha mlipuko wa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia akemea wazazi wanaowapa watoto ulanzi

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wazazi na walezi wa mkoa wa Iringa kuacha kuwapa watoto wao pombe ya kienyeji aina ya...

KimataifaTangulizi

Mawakala Odinga, Ruto wachelewesha matokeo, Chebukati atishia kuwatimua

KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya urais kumezidi kuzua wasiwasi nchini Kenya huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ikilaumu mawakala wa Naibu...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waliofukuzwa CUF na kupoteza ubunge washinda kesi

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania leo tarehe 12 Agosti, 2022, imesoma Hukumu ya Kesi namba 143 ya Mwaka 2017 iliyofunguliwa na Miza Bakari...

KimataifaTangulizi

Kikwete: Asiyekubali matokeo Uchaguzi Kenya aende mahakamani

KIONGOZI wa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ametoa wito kwa wagombea...

MichezoTangulizi

Sherehe zimekwisha sasa tukutane Agosti 13

MIONGONI mwa burudani zilizokuwa zinasubiriwa kwa hamu ni pamoja na kilele cha Siku ya Mwananchi na Siku ya Simba, sherehe ambazo huambatana na...

HabariMakala & UchambuziTangulizi

FUATILIA MOJA KWA MOJA MATOKEO UCHAGUZI MKUU KENYA HAPA

RAIA wa Kenya jana tarehe 9 Agosti, 2022 wamejitokeza kupiga kura kumchagua rais, gavana, seneta, mwakilishi wa wanawake, mbunge na mwakilishi wa wadi. Katika...

HabariTangulizi

Ruto, Raila wachuana vikali matokeo ya awali

  Matokeo ya mapema yanaonesha kwamba mgombea wa Muungano wa Azimio Raila Odinga amekuwa akitatizika kupata asilimia 20 ya kura zilizopigwa katika maeneo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Kilaini alaani Klabu ya Simba kutumia msalaba kwa dhihaka

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini amelaani kitendo cha klabu ya Simba kutumia msalaba kufanya dhihaka na kusema ni “dharau...

Tangulizi

Watu 20 wafa ajalini, Rais Samia atoa pole

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia za watu 20 waliofariki ajalini na wengine 15 kujeruhiwa. Anaripoti Erick Mbawala, TUDARco...

Makala & UchambuziTangulizi

Wakenya wanaamua mwisho wa Odinga au mwanzo wa Ruto, polisi wadakwa na sanduku la kura

  UCHAGUZI Mkuu wa Kenya unafanyika leo kumsaka mrithi wa kiti cha urais kinachotarajiwa kuachwa wazi na Rais Uhur Kenyatta. Mbali na nafasi...

MichezoSokaTangulizi

Simba SC. yang’ara, yawakung’uta 2:0 wahabeshi

KILELE cha Sherehe ya Siku ya Simba ‘Simba Day’ kimetamatika kwa kwa cheko la furaha baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2:0...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikoa yatakiwa kutenga maeneo makubwa ya kilimo

MIKOA yote nchini imeagizwa kutenga maeneo kwaajili ya kilimo kikubwa cha mazao ambayo yanayostawi katika mikoa hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Maagizo hayo yametolewa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtendaji Ruaha asimulia njama za kutaka kumuua zilivyopangwa

MTENDAJI wa tarafa ya Ruaha, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro, George Kayora, ameieleza mahakama jinsi baadhi ya viongozi  wa  ngazi ya kitongoji wilayani Ulanga,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia: Vijana njooni kwenye kilimo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ametoa wito kwa vijana kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kutoka na fursa nyingi zilizopo na uboreshwaji...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia: Mwelekeo wa elimu yetu ni kuwapa vijana ujuzi

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema maboresho ya Miundombinu yanayoendelea katika sekta ya elimu yanalenga kuhakikisha watoto wa...

MichezoSokaTangulizi

Manara, Hersi kizimbani TTF

SEKRETARIETI ya Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga Mhandisi Hersi Said na aliyekuwa Msemaji wa...

MichezoTangulizi

Vipers wavuruga Siku ya Mwananchi, waitandika Yanga 2-0

MABINGWA wa Uganda, Vipers SC wamevuruga sherehe za kilele cha Siku ya Wananchi – Yanga S.C baada ya kuwaadhibu kwa bao 2 -0...

Tangulizi

TEF: Tumetoka shimoni kwa mazungumzo

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema mafanikio yaliyofikiwa katika kung’oa tasnia ya habari kwenye ‘shimo,’ hayakuhusisha mapambano bali...

HabariTangulizi

Yanga kweli byuti byuti, mashabiki wajitokeza

Klabu ya soka ya Yanga leo Agosti 6 2022 inaadhimisha kilele cha wiki ya mwananchi huku ikiwa na kauli mbiu ya Byuti Byuti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu, Bashungwa wawekwa kikaangoni

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaweka mtegoni Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI),...

HabariTangulizi

Samia ateua 22 kuwa majaji, yumo mwanaye kigogo Chadema

RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua maofisa ishirini na wawili (22) kuwa Majaji wa Mahakama Kuu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Ma-DC tutaanza kutimuana tena

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni wakuu wa wilaya wataanza kutimuana tena kwa ajili ya usimamizi wa ujenzi wa madarasa 8000 ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hatma mkataba TICTS Septemba

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema hatma ya mkataba Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS)  itajulikana mwezi Septemba mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Makada 6 Chadema waliokaa mahabusu miaka 3 waachiwa huru

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imemuachia huru aliyekuwa diwani wa Chadema katika Kata ya Isengule wilaya ya Tanganyika mkoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bwege aalikwa kumpigia kampeni Raila Odinga

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Selemani Said Bungara (Bwege) amealikwa nchini Kenya kumpigia kampeni mgombea wa Azimio la Umoja, Raila...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yaiasa Z’bar

MAREKANI imeipa nasaha Zanzibar kuendeleza moyo wa maridhiano ya kisiasa kwa kuamini kuwa ni fursa nzuri ya kuimarisha umoja na mshikamano ambao ni...

MichezoTangulizi

Simba, Yanga kukutana Oktoba 23 Ligi Kuu

  MECHI inayo vikutanisha vigogo wa soka la Tanzania Simba na Yanga (Kariakoo Derby) katika Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2022/23, inatarajiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya mafuta yazidi kupaa tena

BEI ya mafuta imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai licha ya Serikali kuendelea kutoa ruzuku ya Sh bilioni 100 kwa...

HabariMichezoTangulizi

Simba wazindua rasmi wiki yao, majibu ya jezi yapatikana

  KLABU ya Soka ya Simba hii leo tarehe 31 Julai 2022, imezindua rasmi wiki yao kuelekea kwenye tamasha kubwa la Siku ya...

error: Content is protected !!