Saturday , 4 May 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapacha walioungana vifua watenganishwa Muhimbili

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili leo tarehe 1 Julai, 2022 imefanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na...

Habari za SiasaTangulizi

Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele

LEO Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho, taifa letu limepitia katika kipindi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Vigogo wa Bandari kortini Dar, yumo aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu

  VIGOGO wanne wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kuisababishia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampeleka Jenerali Mabeyo Ngorongoro

  HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Tanzania mstaafu Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Chadema wapinga hoja tano za kina Mdee

  MAWAKILI wa pande mbili (waleta maombi na wajibu maombi) katika kesi ya Halima Mdee na wenzake 18 wameibua mvutano Mahakamani ikiwa kama...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina amlipua Waziri Bashe nje ya Bunge

  MBUNGE wa jimbo la Kisesa nchini Tanzania, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Kilimo Hussein Bashe alilidanganya bunge kwa kutoa takwimu mbili tofaui...

Tangulizi

Kina Mdee wawasilisha mahakakani sababu tano kuishtaki Chadema

  WABUNGE viti maalum 19, wakiongozwa na Halima Mdee, wamewasilisha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, sababu tano za...

HabariMichezoTangulizi

Majaliwa aipongeza Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuanza kuwajibu kina Mdee mahakamani

  MAOMBI ya kuomba kibali cha kufungua kesi ya madai kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amteua Mkuu mpya wa majeshi

  RAIS Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob Mkunda kuwa Jenerali na kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi(CDF). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya kina Mdee kusikilizwa siku 14 mfululizo

  HATIMA ya endapo Halima Mdee na wenzake 18 wataendelea kusalia kuwa wabunge itajulikana ndani ya siku 14 za usikilizaji wa shauri namba...

HabariMichezoTangulizi

Yanga yamaliza Ligi bila kufungwa

  KLABU ya Yanga, rasmi imeingia kwenye rekodi ya kuwa moja ya timu iliyomaliza Ligi kuu Tanzania Bara, bila kupoteza mchezo wowote katika...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Kina Mdee: Chadema yaondoa mapingamizi, shauri kuanza kusikilizwa

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubali ombi la Wakili wa Chadema, Peter Kibatala, la kuondoa mapingamizi yao dhidi ya kesi...

HabariTangulizi

Rais Samia afanya uteuzi, yumo bosi TSN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Tuma Abdallah kuwa Mhariri Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya...

HabariTangulizi

22 washikiliwa kwa tuhuma za uhalifu wa mitandaoni

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 22, kwa tuhuma za kufanya uhalifu kwa njia ya mtandao. Regina Mkonde,...

HabariTangulizi

Rais Samia anavyoifunga Tanzania, uwekezaji na mauzo yapaa

  SERIKALI ya Tanzania imesema ziara za mkuu wa nchi hiyo Rais Samia Suluhu Hassan nje ya nchi zimeongeza uwekezaji wa ndani kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaweka zuio kina Mdee kutoswa bungeni

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio la muda la kutofanyika chocholate kwenye ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Mkapa awezesha wanawake kupata Sh trilioni 11

  MWENYEKITI wa Mfuko wa Fursa sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa ambaye pia ni mke wa Hayati Rais Benjamin Mkapa amesema...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kutinga, Dk. Tulia awaruhusu kuuliza maswali

  WABUNGE wa viti maalum nchini Tanzania, Halima Mdee na wenzake 18 wasio na chama bungeni, leo Jumatatu tarehe 27 Juni 2022 wameendelea...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamng’ang’ania Spika Tulia ajiuzulu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumapili kimemtaka Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ajiuzulu nafasi hiyo kwa kushindwa kuwatimua bungeni wabunge...

HabariTangulizi

Haya hapa majina 16,676 ya Watanzania waliopata ajira Sekta ya Elimu, Afya

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imetangaza majina 16,676 ya watumishi wapya waliopangiwa vituo vya kazi katika Sekta...

HabariTangulizi

Ajira 736 kutangazwa upya baada ya kukosekana waombaji wenye sifa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Innocent Bashungwa amesema nafasi 736 kada za afya zimekosa...

HabariTangulizi

16,676 kati ya 165,948 wapata ajira kada za Afya, Ualimu

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imetangaza majina 16,676 ya watumishi wapya waliopangiwa vituo vya kazi katika Sekta...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watu 17 wafariki dunia kwa mkanyagano ‘Night Club’

JUMLA ya watu 17 wamepoteza maisha katika klabu moja ya usiku iliyopo katika Mji wa London Mashariki nchini Afrika Kusini, kutokana na hali...

Tangulizi

Ripoti:Viwanda haviweki virutubishi

ASILIMIA 90 ya viwanda 33,000 vya kusindika vyakula vilivyofanyiwa sensa na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) vimebainika kutoweka virutubishi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kura ya Bajeti: Kina Mdee washindwa kuamua

  BAADHI ya wabunge wa viti maalum wasio na chama katika Bunge la Tanzania, Halima Mdee na wenzake 18 wameshindwa kuamua juu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yataja sababu ongezeko la deni la taifa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema ongezeko la deni la taifa linatokana na hatua yake ya kukopa fedha, kwa ajili ya kutekeleza miradi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mme atuhumiwa kumuua mkewe kwa kuvunjwa vufu kwa jembe

  CHANZO cha ugomvi uliosababisha kifo cha Esther Gadeu anayedaiwa kuuawa na mumewe, Godbles Sawe kimetajwa kuwa ni madai ya wivu wa kimapenzi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kutinga bungeni, wauliza maswali

  SIKU mbili kupita tangu Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuyaondoa maombi Halima Mdee na wenzake 18 ya kuomba...

Habari za SiasaTangulizi

CHADEMA yamkumbusha Spika kuwaondoa bungeni wabunge 19

  CHAMA cha Chadema, kimemwandikia barua Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kumkumbusha kuhusu utekelezaji wa barua yake ya tarehe 12 Mei 2022,...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee watinga bungeni, Spika awaruhusu kuuliza maswali

  LICHA ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuyaondoa maombi Halima Mdee na wenzake 18 ya kuomba kufungua kesi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yakubali kufufua mchakato Katiba mpya, kesi za kisiasa…

  KIKAO cha Halmashauri Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeishauri Serikali kuona namna bora ya kufufua, kukwamua na...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kina Mdee: Chadema yampa zigo AG, Spika Tulia

  BAADA ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu kuyatupilia mbali maombi ya Halima Mdee na wenzake 18 ya kufungua kesi ya kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbatia wafikisha kilio chao kwa Rais Samia, Dk. Mwinyi

  MGOGORO wa kiuongozi unaoendelea ndani ya Chama cha NCCR-Mageuzi umeendelea kukitikisa na upande wa Mwenyekiti, James Mbatia umeibuka na kuzitaka mamlaka zote...

Habari za SiasaTangulizi

Ni kina Mdee au Chadema leo

  HATIMA ya Halima James Mdee na wenzake 18, kuendelea kuupigania ama kuutema, ubunge wao wa Viti Maalum, wanaodaiwa kuupata kinyemela, utajulikana leo...

Habari za SiasaTangulizi

Bulaya alia na kikokotoo kipya ataka kirudishwe asilimia 50

  MBUNGE wa Bunge la Tanzania, Esther Bulaya ameitaka Serikali kuachana na kikokotoo kipya cha mafao kinachompa mstaafu asilimia 33 ya mafao yake...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya aivaa Takukuru akisema ‘gerezani si pikiniki’

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania,Lengai Ole Sabaya amecharuka mahakamani na kudai mashtaka dhidi yake ni ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekebisho ya sheria: Wanahabari walilia uhuru, maslahi

  IKIWA vuguvugu la marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari likizidi kuongezeka nchini Tanzania, wanahabari wamepaza sauti zao kuhusu uboreshwaji wa uhuru...

Habari za SiasaTangulizi

VIDEO: Loliondo yamuibua Ole Sendeka bungeni, Spika na waziri wamtuliza

  MBUNGE wa Simanjiro (CCM) nchini Tanzania, Christopher Ole Sendeka ameibua sakata la wilaya nne za mikoa ya Arusha na Manyara ambazo zinaweza...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina alilia kamati ya Bunge kuchunguza Bwawa la Nyerere

  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpinga, ameliomba Bunge liunde tume kwa ajili ya kuchunguza masuala mbalimbali yenye tija kwa taifa, ikiwemo Mradi wa...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Wabunge Tanzania wakiijadili Bajeti ya Serikali 2022/23

  MKUTANO wa saba, Kikao cha 47 cha Bunge la Tanzania kinaendelea leo Jumatatu tarehe 20 Juni 2022 jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

HabariTangulizi

CUF, CHADEMA walia Katiba Mpya kutotengewa fungu bajeti 2022/203

VYAMA vya CUF na Chadema vimesema Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2022/2023 iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita na Waziri wa Fedha na Mipango,...

HabariTangulizi

Prof. Lipumba: Waziri fedha anarejesha kodi ya kichwa kinyemela

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi- CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2022/2023 iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita...

HabariTangulizi

Mbatia, wenzie wakimbilia polisi

BODI ya Wadhamini ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imefungua jalada la uchunguzi wa tuhuma za kuvunjwa kwa ofisi ya chama hicho, zinazodaiwa kufanywa na...

HabariTangulizi

Mzee akataliwa kijijini kwa ubabe, kupora mashamba

WANANCHI wa Kijiji cha Yakobi, Halmashauri ya Mji wa Njombe wamemkataa mwananchi mwenzao aliyefahamika kwa jina la mzee Gerhad Makinda kuishi kijijini hapo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zumaridi ahofia uhai wake gerezani

MAWAKILI wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mchungaji Diana Bundala, maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza...

Tangulizi

LHRC yataja tamu, chungu mapendekezo bajeti 2022/23

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeipongeza Serikali kwa kuja na bajeti inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja, huku...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia acharuka Mawaziri ‘watoro’ bungeni

  SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amewaagiza mawaziri waliopo bungeni kuwaita manaibu na mawaziri ambao hawahudhurii vikao vya Bunge licha ya kwamba...

Tangulizi

Wabunge wataka Yanga SC iitwe bungeni, Spika ang’aka

  BAADHI ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamemtaka Spika Dk. Tulia Ackson aruhusu Klabu ya Yanga SC. ambayo...

MichezoTangulizi

Tembo Warriors watua kishujaa bungeni, Spika awapa neno

  KWA mara ya pili, leo tarehe 16 Juni, 2022 Bunge limetengua kanuni ya 160 (1) ambayo inatoa masharti kwa wageni wasio wabunge...

error: Content is protected !!