Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa VIDEO: Loliondo yamuibua Ole Sendeka bungeni, Spika na waziri wamtuliza
Habari za SiasaTangulizi

VIDEO: Loliondo yamuibua Ole Sendeka bungeni, Spika na waziri wamtuliza

Mbunge wa Simanjiro (CCM) nchini Tanzania, Christopher Ole Sendeke
Spread the love

 

MBUNGE wa Simanjiro (CCM) nchini Tanzania, Christopher Ole Sendeka ameibua sakata la wilaya nne za mikoa ya Arusha na Manyara ambazo zinaweza kuathirika na wananchi wake ambao wengi ni jamii ya Masai kuahmishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Alikuwa akichangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2022/23 leo Jumatatu, tarehe 20 Juni 2022 na kuibua mvutano baina yake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja huku Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akiingilia kati kuweka mambo sawa.

Fuatilia video hii hali ilivyokuwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!