Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari Rais Samia afanya uteuzi, yumo bosi TSN
HabariTangulizi

Rais Samia afanya uteuzi, yumo bosi TSN

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Tuma Abdallah kuwa Mhariri Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Tuma alikuwa akikaimu nafasi hiyo zaidi ya miaka miwili.

Tuma Abdallah kuwa Mhariri Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN)

Uteuzi huo umetangawa leo Jumanne tarehe 28 Juni 2022 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus.

Taarifa ya uteuzi hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!