RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Tuma Abdallah kuwa Mhariri Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Tuma alikuwa akikaimu nafasi hiyo zaidi ya miaka miwili.
Uteuzi huo umetangawa leo Jumanne tarehe 28 Juni 2022 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus.
Taarifa ya uteuzi hii hapa;
Leave a comment