MKUTANO wa saba, Kikao cha 47 cha Bunge la Tanzania kinaendelea leo Jumatatu tarehe 20 Juni 2022 jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).
Wabunge wanaendelea kujadili hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2021/22 na mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2022/23.
Aidha, wabunge wanajadili bajeti ya serikali yam waka 2022/23.
Fuatilia hapa…
Leave a comment