JOHN Mnyika, Mbunge wa Kibamba (Chadema) amepinga kauli ya Juma Aweso, Naibu Waziri wa Maji kwamba, jimbo hilo limesambaziwa maji kwa asilima 80. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 8, 2019HASHIM Rungwe, Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA)-Taifa, amelalamika kwamba, serikali inavibana vyama vya upinzani nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Anasema, ni wakati...
By Regina MkondeApril 6, 2019NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, imetangaza nia yake ya kufanya maandamano ya amani kupinga azimio la Bunge kuacha kufanya kazi na...
By Regina MkondeApril 6, 2019YUSUF Salim Hussein, Mbunge Jimbo la Chambani visiwani Zanzibar amesema, hahofii kufukuzwa na kwamba, hayupo tayari kubaki Chama cha Wananchi (CUF).Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuApril 6, 2019RAIS John Magufuli amewaeleza Watanzania kwamba, hataki kuwa mfalme wa nchi hii badi mtatuzi wa kero za wananchi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeApril 5, 2019KESI ya madai ya Dola za Marekani Milioni 55, iliyofunguliwa na Kampuni ya Transport Equipment Ltd (TEL) dhidi ya Serikali ya Tanzania nchini...
By Regina MkondeApril 5, 2019RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ipo njia moja kuelekea Bunge la Jamhuri ya Muungano, lakini je, itafikishwa?...
By Bupe MwakitelekoApril 5, 2019SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameweka wazi kuwa wabunge kumi wa viti maalum waliokuwa wanatokana na chama cha CUF waliotimuliwa na chama hicho...
By Danson KaijageApril 4, 2019JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeeleza kutofurahishwa na hatua ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kuzuia waandishi wa habari kuzungumza na wabunge baada...
By Faki SosiApril 4, 2019JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameeleza kwamba, taasisi anayoiongoza haina ugomvi na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...
By Danson KaijageApril 4, 2019JESHI la Polisi mkoani Tanga limezuia Chama cha ACT-Wazalendo kufanya mkutano wake wa ndani. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taraifa ilizofikia MwanaHALISI Online...
By Regina MkondeApril 4, 2019JOHN Mnyika, Mbunge wa Kibamba jijini Dar es Salaam amepinga hatua ya Job Ndugua, Spika wa Bunge kufukuza wabunge kwa madai ya kudhalilisha...
By Danson KaijageApril 4, 2019MBUNGE wa Ulanga mkoani Morogoro, Goodluck Mlinga amelishauri Bunge kubadili kanuni ili Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani anapokiuka kanuni na sheria za...
By Mwandishi WetuApril 4, 2019MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, “amefukuzwa bungeni.” Amezuiwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Lema amekutwa na...
By Danson KaijageApril 4, 2019MAALIM Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo leo...
By Regina MkondeApril 4, 2019MSOMI wa masuala ya sheria na utawala nchini Profesa Issa Shivji, ameeleza kukerwa na mwelekeo wa utungaji sheria mbovu kwa maslahi ya wachache....
By Faki SosiApril 3, 2019LICHA ya kuitwa mtu wa hovyo, mchekeshaji anayechipuka kwa kasi Peter Mollel ‘Pierre’ sasa ni lulu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kuitikia kwake...
By Danson KaijageApril 3, 2019GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha Mjini leo mchana tarehe 3 Aprili 2019 atakutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maadili saa 8...
By Danson KaijageApril 3, 2019SIKU moja baada ya Bunge la Jamhuri kuazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...
By Mwandishi WetuApril 3, 2019MBUNGE wa Viti Maalum, Devotha Minja (Chadema) amehoji serikali sababu za kushindwa kufanya maandalizi mazuri katika ubinafsishaji wa viwanda? Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Danson KaijageApril 2, 2019SERIKALI imeagiza wananchi kuendelea kufungiwa dira mpya za maji – Lipa Kadiri Utumiavyo – ili kupunguza malalamiko yao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...
By Danson KaijageApril 2, 2019KUWEPO kwa majina hewa takribani 780, kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu za serikali kuchelewa kulipa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeApril 2, 2019RAIS John Magufuli amerejesha matumaini kwa wakulima wa zao la kibiashara la korosho ambao bado hawajalipwa fedha zao mpaka sasa. Anaripoti Regina Mkonde …...
By Regina MkondeApril 2, 2019BAADHI ya wabunge wa upinzani, wametoka nje ya Bunge, kupinga hatua ya Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kumshitaki kwenye Kamati ya...
By Danson KaijageApril 2, 2019BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeazimia kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,...
By Danson KaijageApril 2, 2019HATUA ya Maalim Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo, imepaisha chama hicho. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 2, 2019MKUTANO wa kumi na tano wa bunge unaoanza kesho unatarajia kujadili na kupitisha miswada miwili ya sheria ambayo itasomwa kwa hatua zake zote....
By Danson KaijageApril 1, 2019WAKATI uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, ukitarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...
By Danson KaijageApril 1, 2019ASASI za Kiraia (AZAKI) nchini zimemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuunda Kamati Huru itakayoshughulikia tuhuma zinazokikabili Chama cha ACT-Wazalendo,...
By Regina MkondeApril 1, 2019JEMEDARI wa siasa za upinzani visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad ameeleza, hatua yake ya kuondoka katika Chama cha Wananchi (CUF) imeacha majonzi...
By Regina MkondeApril 1, 2019KAMBI Rasmi ya upinzani bungeni, iko hatarini “kusambaratika” kufuatia “mapinduzi” ya kisiasa, yaliyotokea ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Danson Kaijage kutoka...
By Danson KaijageApril 1, 2019NINAANDAMWA na dola. Ndiyo kauli ya Maalim Seif Shariff Hamad, Makamu wa Rais wa Kwanza katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ). Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeApril 1, 2019MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage ametangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki. Anaripoti Hamisi Mguta … (endelea)....
By Hamisi MgutaMarch 31, 2019RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Adolf Ndunguru kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango anayeshughulikia...
By Hamisi MgutaMarch 31, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa, pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu wanakutana leo tarehe 30 Machi 2019 kujali...
By Bupe MwakitelekoMarch 30, 2019SHEIKH Juma Ramadhan, Imamu wa Msikiti wa Masjid Taqwa, jijini Dar es Salaam, amejipachika cheo kisicho chake. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakati...
By Regina MkondeMarch 28, 2019MAOFISA wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), walikuwa kwenye hekaheka za kukwapua fedha za umma kupitia kauli ya Rais John Magufuli aliyoitoa tarehe...
By Regina MkondeMarch 28, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana...
By Faki SosiMarch 28, 2019UCHAGUZI wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, utafuatiliwa kwa karibu zaidi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania...
By Regina MkondeMarch 28, 2019MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma kesho tarehe 29 Machi 2019, itatoa uamuzi wa pingamizi tatu, zilizotolewa na serikali katika kesi ya maombi madogo...
By Danson KaijageMarch 28, 2019MAMLAKA katika kituo cha televisheni cha Clouds, jijini Dar es Salaam, imeagiza kufutwa kwa mahojiano kati ya kituo hicho na mwanasiasa mkongwe Visiwani...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2019WABUNGE karibu wote wa Chama cha Wananchi (CUF), kutokea Unguja na Pemba, wanatarajiwa kutangaza kuondoka kwenye chama hicho, muda wowote kutoka sasa. Anaripoti Yusuph Katimba …...
By Yusuph KatimbaMarch 28, 2019MKUTANO ulioitishwa na Sheikh Juma Ramadhan, Naibu Amiri wa Shura ya Vijana na Maimamu wa Mkoa wa Dar es Salaam, umeratibiwa na uongozi...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2019JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam, limepiga marufuku mkutano wa kisiasa wa Chama cha ACT-Wazalendo, kwa madai ya kuwapo tishio la vurugu....
By Mwandishi WetuMarch 27, 2019RAIS John Magufuli amemteua Mhandisi, Julius Ndyamukama kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa...
By Regina MkondeMarch 26, 2019ZITTO Zuberi Kabwe Ruyangwa, “ameivua nguo,” ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Ameionyesha kutokuwa makini katika kushughulikia masuala yanayohusu ofisi yake;...
By Kelvin MwaipunguMarch 26, 2019UONGOZI wa Chama cha Wananchi (CUF) umeanza kushinikiza wabunge waliokuwa wakimuunga aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Shariff Hamad kwenda kuungama. Anaripoti...
By Regina MkondeMarch 26, 2019ROBERT Katula, mdhamini wa kwanza wa mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, ametaja sababu tatu kubwa za kuomba kujitoa kwenye udhamini wa...
By Faki SosiMarch 26, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF) kimefungua shauri mahakamani visiwani Zanzibar kushitaki watu wanaodaiwa kuchoma bendera zake pia kupaka rangi ya bendera ya Chama cha...
By Regina MkondeMarch 26, 2019BARUA ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini iliyotoka na kusambazwa jana tarehe 25 Machi 2019 kwenye mitandao ya kijamii na...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2019