Friday , 26 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Askofu TAG akerwa na mila za kudharau wanawake

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Asembless Of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amekemea tabia ya mila za kudharau wanawake na kudhani...

Habari Mchanganyiko

Fidia kwa wananchi: Serikali yaibana Tembo Nickel

  SERIKALI ya Tanzania, imeagiza kampuni ya uchimbaji madini ya Tembo Nickel Corporation Ltd, kufanya upya tathimini ya fidia kwa wananchi wanaozunguka Mgodi...

Habari MchanganyikoTangulizi

40 Magufuli, Pengo ampa zawadi Mama Janeth

  JOHN Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, leo Jumanne, tarehe 27 Aprili 2021, amefikisha siku 40, tangu alipofariki dunia 17 Machi 2021....

Habari Mchanganyiko

Mshindi mashindano ya Qur’an Tanzania atoka Niger

  JIBRIL Omar Hassan kutoka nchini Niger, ndio mshindi wa kwanza mashindano makubwa ya Qur’an Afrika 2021, yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al – Hikma Foundation, Tanzania. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Manyara, inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa mkoa huo, Wakili Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma...

Habari Mchanganyiko

49 wakamatwa Dar tuhuma wizi, ununuzi vifaa vya magari

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge amesema, zaidi ya watu 49, wanashikiliwa na Polisi Kanda Maalum ya Dar es...

Habari Mchanganyiko

Kimbunga JOBO: Usafiri wa anga, baharini wasitishwa

  KUFUATIA tishio la Kimbunga JOBO, Ofisi ya Waziri Mkuu imeeleza kusitisha usafiri wa anga, baharini na shughuli mbalimbali kando na ndani ya...

Habari Mchanganyiko

TMA: Kasi kimbunga JOBO imefifia

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imeeleza kwamba, kasi ya kimbunga JOBO imeendelea kufifia katika muda wa saa sita zilizopita. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amteua mwenyekiti bodi CMSA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. John Kedi Mduma kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na...

Habari Mchanganyiko

TMA: Kimbunga Jobo kimepungua nguvu

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kimbunga ‘JOBO’ kipo umbali wa kilomita 200 mashariki mwa kisiwa cha Mafia. Kimbunga hicho...

Habari Mchanganyiko

Wafahamu warithi wa tawala za wazazi wao

  MAHAMAT Idriss Déby Itno, ameapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Chad. Amechukua nafasi ya baba yake, Idris Deby (68), aliyeuawa Jumanne...

Habari Mchanganyiko

Bosi SADC kustaafu, Rais Samia amkaribisha nyumbani

  DAKTARI Stergomena Tax, Agosti 2021, atamaliza muda wake wa utumishi wa miaka nane wa Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa...

Habari Mchanganyiko

Vijiji vyote kufikishiwa umeme Desemba 2022

  SERIKALI ya Tanzania, imesisitiza ifikapo Desemba 2022, vijiji vyote vya Tanzania Bara, vitakuwa vimefikishiwa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

ATCL kufumuliwa upya

  SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), linalojiendesha kwa hasara kwa miaka mitano sasa, litafumuliwa na kukabidhiwa kwa watu wenye weledi wa kusimamia....

Habari Mchanganyiko

THRDC, MISA-TAN yalaani kupigwa mwanahabari

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA-TAN),...

Habari Mchanganyiko

Akaunti za benki THRDC zafunguliwa

  AKAUNTI za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), zilizofungwa Agosti 2020, zimefunguliwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi Magomeni kota, Majaliwa atoa maagizo TBA

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kuhakikisha wanakamilisha kazi iliyosalia ya ujenzi wa nyumba...

Habari MchanganyikoMichezo

Sakata la Hamornize: Polisi ‘Ole wenu wasanii’

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limekemea tabia ya wasanii kuvunja sharia hasa kusambaza picha za utupu. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Kajala, Paulina wahojiwa polisi

  JESHI la Polisi Tanzania, limeeleza kwamba lilimkamata mwigizaji Kajala na mwanaye Paulina kwa tuhuma za kusambaza picha za utupu za msanii wa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awaweka njiapanga vigogo mwendokasi, amsimamisha mmoja

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Fedha wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Suzana Chaula baada ya...

Habari Mchanganyiko

Chalamila amkingia kifua Hayati Magufuli

  ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, amesema wanaojadili kwamba Hayati John Magufuli alikuwa dikteta, wanachosha akili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya …...

Habari Mchanganyiko

Mvua kubwa kunyesha mikoa 7 Dar ikiwemo

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza kunyesha mvua kubwa kwa siku tano kuanzia leo Jumapili, tarehe 18 Aprili 2021, katika...

Habari Mchanganyiko

Askofu awaonya wanaojipendekeza kwa Rais Samia

  PETER Konki, Askofu wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT), amewataka wanasiasa nchini humo, kuacha kujipendekea kwa Rais Samia Suluhu Hassan,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtoto wa Magufuli: Mama anaumwa, anawashukuru Watanzania

  JOSEPH, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Joseph Magufuli, amewashukuru Watanzania akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan kwa ushirikiano walioutoa...

Habari Mchanganyiko

Vijana 854 wa JKT watimliwa kwa uasi

  VIJANA 854 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), waliokiuka taratibu kwa kuanzisha mgomo na kufanya maandamano kwenda Ikulu kwa madai ya kutaka...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ujuzi ni kipaumbele cha ajira – Majaliwa

  KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania amesema, ujuzi wa vijana utaangaliwa zaidi badala ya kuangalia viwango vya elimu yao. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yamwachia ‘bosi’ bandari, “waulizwe CAG”

  MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Brigedia Jenerali, John Mbungo amesema, imemwachia kwa dhamana, aliyekuwa mkurugenzi mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Hoseah, wenzake waapishwa TLS

  DAKTARI Edward Hoseah, ameapishwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), akimrithi Dk. Rugemeleza Nshala, aliyemaliza muda wake. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Dk. Hoseah atakiwa kulinda heshima TLS

  DAKTARI Rugemeleza Nshala, Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika aliyemaliza muda wake, amemtaka mrithi wake, Dk. Edward Hoseah, ailinde heshima ya...

Habari Mchanganyiko

THRDC: Vyama vya siasa vijifunze TLS

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeishauri Serikali nchini humo na vyama vya siasa, kuiga mfano wa Chama cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zitto, Fatma Karume wazungumzia ushindi wa Dk. Hoseah TLS

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amemshauri Rais Mteule wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah, kuwaunganisha mawakili...

Habari Mchanganyiko

Alichokisema Dk. Hoseah baada ya kushinda urais TLS

DAKTARI Edward Hoseah, Rais Mteule wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema, uchaguzi wa nafasi hiyo ulikuwa na ushindani mkubwa na Watanzania,...

Habari Mchanganyiko

GGML yaruhusiwa kuchimba madini 2021

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imepokea ruhusa ya mpango wa uchimbaji madini wa mwaka 2021, unaohusisha uchimbaji wa wazi na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi, Madini meza moja na Barrick

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi, imeeleza kwamba itakaa meza moja na Wizara ya Madini pia Kampuni ya Barrick ili kujadili ujenzi wa Barabara...

Habari Mchanganyiko

Flaviana: Siendi kujifunza TLS

  WAKILI Flaviana Charles, mgombea pekee mwanamke kati ya watu watano waliojitosa kusaka kiti cha Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali, TLS kukaa meza moja

  Serikali ya Tanzania imewaita mezani viongozi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kwa ajili ya kujadili namna ya kuimarisha mahusiano ya...

Habari Mchanganyiko

Rais TLS: Atayechaguliwa asimame imara

  RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) anayemaliza muda wake, Dk. Rugemeleza Nshala, amesema mgombea yeyote atayechaguliwa kuwa rais wa chama...

Habari Mchanganyiko

Vuta nikuvute uchaguzi TLS

WANACHAMA wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), wamewachambua wagombea urais wa chama hicho kwa mwaka 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Arusha … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

“Mchuano mkali uchaguzi TLS”

  RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), anayemaliza muda wake, Dk. Lugemeleza Nshala amesema, uchaguzi wa viongozi wa chama hicho 2021,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Hoseah: Wakiniacha nitawashangaa

  DAKTARI Edward Hoseah, Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema atashangaa wanachama wa chama hicho wasipomchagua, kwani anawafaa katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

TLS, wagombea urais wavutana

  WAKATI baadhi ya wagombea wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), wakijinadi kuthibiti mapato na matumizi  kwenye chama hicho, Kaleb Gamaya ambaye...

Habari Mchanganyiko

Gazeti la Tanzania Daima latua kwa Waziri Bashungwa

  UONGOZI wa Gazeti la Tanzania Daima, umefanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Kero Jangwani, Dar kumalizwa hivi

  KERO ya kujaa maji eneo la Jangwani, Dar es Salaam ambapo husababisha adha kubwa ya usafiri kwa wananchi, ipo mbioni ‘kutibiwa.’ Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kiburi cha DED Temeke, wizara yajitosa

  INOCENT Bashungwa, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amewataka wanahabari kutulia wakati akifuatilia kitendo cha udhalilishaji kilichofanywa na Lusubilo Mwakabibi, Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Aswaar waanza kufunga Ramadhani

  WAISLAM wenye madhehebu ya Answaar nchini Tanzania, wameanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan leo tarehe 13 Aprili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Hali mbaya Somalia

HALI mbaya ya hewa, wimbi la mkaundi ya nzige yaliyovamia nchi hiyo pamoja na mvua za kiwango cha chini, zimelifanya Taifa la Somali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gazeti la MwanaHALISI lawakutanisha Waziri Bashungwa, Kubenea

  WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, amekutana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Saed Kubenea kuzungumzia tasnia...

Habari Mchanganyiko

LHRC: Uhuru wa kujieleza umeminywa

  RIPOTI ya Haki za Binadamu Tanzania Bara (LHRC), kwa mwaka 2020 imeeleza, uhuru wa kujieleza umeendelea kuminywa kutokana na utungaji, marekebisho na...

Habari Mchanganyiko

Uhuru wa habari: THRDC yamwangukia Rais Samia

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kufanyia kazi uamuzi uliotolewa na mahakama za kitaifa...

Habari Mchanganyiko

MCT: Rais Samia ameibua matumaini

  BARAZA la Habari Tanzania (MCT), limepongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kukataza ubabe katika kufungia vyombo vya habari. Anaripoti Yusuph Katimba,...

error: Content is protected !!