Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5
Habari Mchanganyiko

Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5

Spread the love

 

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Manyara, inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa mkoa huo, Wakili Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh.5 milioni kutokwa kwa watuhumiwa wa makosa ya jinai. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Wakili Kishenyi, alikamatwa na maofisa wa Takukuru usiku wa juzi Jumamosi, tarehe 23 Aprili 2021, akiwa amepokea kiasi hicho cha fedha.

Taarifa ya kukamatwa kwake, imetolewa leo Jumapili tarehe 25 Aprili 2021 na Holle Makungu, Mkuu wa Takukuru, Mkoa wa Manyara.

Pia, Takukuru imemtaka Mkurugenzi wa Mati Super Brands, David Mulokozi, kufika mara moja leo Jumapili Takukuru kwa mahojiano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!