Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5
Habari Mchanganyiko

Mwendesha mashtaka akamatwa tuhuma za rushwa milioni 5

Spread the love

 

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Manyara, inamshikilia Mwendesha Mashtaka wa mkoa huo, Wakili Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh.5 milioni kutokwa kwa watuhumiwa wa makosa ya jinai. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Wakili Kishenyi, alikamatwa na maofisa wa Takukuru usiku wa juzi Jumamosi, tarehe 23 Aprili 2021, akiwa amepokea kiasi hicho cha fedha.

Taarifa ya kukamatwa kwake, imetolewa leo Jumapili tarehe 25 Aprili 2021 na Holle Makungu, Mkuu wa Takukuru, Mkoa wa Manyara.

Pia, Takukuru imemtaka Mkurugenzi wa Mati Super Brands, David Mulokozi, kufika mara moja leo Jumapili Takukuru kwa mahojiano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

Spread the loveIMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na...

error: Content is protected !!