Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mvua kubwa kunyesha mikoa 7 Dar ikiwemo
Habari Mchanganyiko

Mvua kubwa kunyesha mikoa 7 Dar ikiwemo

Mvua kubwa ikinyesha
Spread the love

 

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza kunyesha mvua kubwa kwa siku tano kuanzia leo Jumapili, tarehe 18 Aprili 2021, katika maeneo ya mikoa ya Lindi, Morogoro, Pwani (ikihusisha visiwa vya Mafia), Dar es Salaam na Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Taarifa iliyotolewa na TMA, imetoa angalizo la upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita 2.0, kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa Pwani ya bahari ya Hindi.

Mikoa hiyo ni ya; Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam na Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

loop

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!