Thursday , 28 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Msanii C-Pwaa hatunaye

MSANII wa Bongo Fleva, Ilunga Khalifa ‘C-Pwaa’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 17 Januari 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). C-Pwaa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aitaka KKKT ikamilishe masharti ya TCU

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki inayomiliki Chuo...

Habari Mchanganyiko

DPP awafungulia kesi ya uhujumu uchumi askari watatu

SERIKALI ya Tanzania, imekusudia kuwafungulia mashtaka ya uhujumu uchumu askari watatu wa Wanyama Pori kwenye Pori tengefu la Kilombero, Mkoa wa Morogoro. Anaripoti...

ElimuHabari Mchanganyiko

Silinde amsimamisha mkuu wa shule, Takukuru yapewa kazi

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais- Tamisemi, David Silinde amemsimamisha kazi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Korona Jiji la Arusha,  Kashinde Mandari kwa...

Habari Mchanganyiko

Kitabu kinachoelezea utendaji wa Magufuli chazinduliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Serikali inaendelea na mapamba dhidi ya wala rushwa na haitawaacha salama viongozi wala rushwa na mafisadi...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 3 za Benki ya Dunia kujenga machinjio ya kisasa Dodoma

BENKI ya Dunia (WB), inatarajia kutoa kiasi cha Sh.3 bilioni kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa machinjio tatu za kisasa jijini Dodoma. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Polisi watatu wasota kwa utakatishaji fedha

MAOFISA watatu wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha na wafanyabiashara watano, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya mkoani humo kwa makosa sita ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 985 zitakavyoboresha elimu ya juu Tanzania

SERIKALI ya Tanzania, kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia , imesema itatumia mkopo wa dola milioni 425 (zaidi ya Sh.985.49 bilioni), kufanya...

Habari Mchanganyiko

Daladala za sabasaba Dodoma zagoma

MADEREVA na wamiliki wa Daladala, stendi ya Sabasaba jijini Dodoma, wamegoma kutoa huduma ya usafirishaji kwa madai eneo ni dogo, miundombinu mibovu licha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi Takukuru atangaza mabadiliko ya viongozi

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imefanya mabadiliko ya uongozi, sambamba na kuanzisha huduma inayotembea (Mobile PCCB), kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Watumishi 23 wa MOI mbaroni, Takukuru yasema…

WATUMISHI 23 wa Kitengo cha Famasia cha Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), wanachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Mwambe asema corona imepandisha bei ya mafuta ya kula

WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Geofrey Mwambe amesema, kupanda kwa bei ya mafuta ya kula, kumesababishwa na mfumuko wa bei ya...

Habari Mchanganyiko

RC Sh’nga awapigania wakulima wa choroko, atoa maagizo

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga (RC), Zainab Telack, ameagiza maafisa kilimo mkoani humo, kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi gharani kwa wakulima wa...

Habari Mchanganyiko

Polisi afumwa na bangi, gongo, viroba

JESHI la Polisi nchini Tanzania, limemtimua kazi ofisa wake kwa kukutwa na bangi, gongo, viroba pamoja na kujiunganishia umeme kinyume cha utaratibu. Anaandika...

Habari Mchanganyiko

Tatizo la maji lamuibua Mbunge Kibamba, aipa maagizo Dawasa

MBUNGE wa Kibamba (CCM), Issa Mtemvu ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), kukamilisha kazi ya kufikisha maji...

Habari Mchanganyiko

Wizara afya yakaribisha malalamiko ya wananchi

WIZARA ya Afya nchini Tanzania imesema, ipo tayari kupokea malalamiko ya wananchi ambao hawapatiwi huduma wanazostahili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo imetolewa...

Habari Mchanganyiko

‘Trump avamia Bunge,’ risasi zarindima

WAFUASI wa Donald Trump, Rais wa Marekani wamevamia bunge la nchi hiyo, jijini Washington wakitaka rais huyo kubaki madarakani. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Dawasa yaendesha miradi 22 ya halmashauri Temeke

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imechukua miradi ya kijamii 22 iliyokua chini ya halmashauri ya Temeke...

Habari Mchanganyiko

Safari za meli kutoka Tanzania-Msumbiji, Malawi yazinduliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezindua rasmi safari ya meli mpya ya MV Mbeya II itakayotoa huduma katika Ziwa Nyasa nchini na...

Habari Mchanganyiko

Dawasa yatangaza upungufu wa maji saa 24 Dar

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (Dawasa), imetangaza upungufu wa huduma ya maji kwa baadhi ya wananchi wa Jiji...

Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwalimu Nyerere kuzikwa Pugu

MWILI wa Rosemary, mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere utazikwa Jumatano hii ya tarehe 6 Januari 2021, makaburi ya Kituo cha...

Habari Mchanganyiko

Kisima cha mwaka 1989 chafufuliwa Dodoma, mkandarasi apewa siku 60

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maji nchini Tanzania, Mhandisi Nadhifa Kemikimba, ametoa siku 60 kwa mkandarasi SUMA JKT anayejenga tanki la maji eneo...

Habari Mchanganyiko

Corona inavyoendelea kuitesa Afrika, dunia 

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 85.5, waliopona milioni 60.4 na waliopoteza maisha milioni 1.8. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaelezwa chanzo ajali ya treni iliyoua, kujeruhi

WATU watatu, wamefariki dunia na wengine 66, kujeruhiwa katika ajali ya treni iliotokea jana Jumamosi jioni tarehe 02 Januari 2021, maeneo ya Kigwe...

Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia

ROSEMARY Julius Nyerere, mtoto wa saba wa Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Kwanza Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Taarifa...

Habari Mchanganyiko

Video ya Darul Uloom Haqqania  iliyotibua Serikali ya Kabul

VIDEO iliyowekwa na Chuo cha Darul Uloom Haqqania, Pakistan kwenye mitandao ya kijamii ikiwasifu  wanamgambo wa Taleban, imeitia hasira Serikali ya Pakistan. Anaandika...

Habari Mchanganyiko

Askofu Mkude ang’atuka Jimbo la Morogoro

BABA Mtakatifu Francisko, ameridhia ombi lililowasilishwa kwake na Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro nchini Tanzania, Telesphor Mkude la kung’atuka madarakani. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kisa bando la intaneti, TCRA yapewa siku 90

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Tehama) nchini Tanzania, Dk. Faustine Ndugulile, ameipa miezi mitatu (siku 90), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

Habari Mchanganyiko

Wadaiwa pango la ardhi kukiona

WATU wanaomiliki ardhi mijini, mashambani na vijijini, wametakiwa kulipa kodi ya ardhi kabla ya Januari 2021, vinginevyo watafikishwa kortini. Anaripoti Regina mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Uswizi yaeleza wasiwasi juu ya mawakala wa haki za Watibeti

KRYSTYNA Marty, Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali Uswizi amefanya mazungumzo na Qin Gang, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China kuhusu mahusiano...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataka majibu ya corona kwa saa 24

SERIKALI ya Tanzania imeagiza utoaji wa majibu ya vipimo vya ugonjwa wa corona ndani ya saa 24 badala ya saa 72. Anaandika Regina...

Habari Mchanganyiko

Waliomuua Mawazo wa Chadema, nao kunyongwa

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mwanza, imewahukumu kunyongwa hadi kufa, kwa  washitakiwa wanne waliotuhumiwa na Jamhuri, kumuua kwa makusudi,  Alphonce Mawazo. Anaripoti Faki Sosi,...

Habari Mchanganyiko

Japan, Australia kusaini ushirikiano wa ulinzi dhidi ya China

KATIKA juhudi za kudhibiti kukua kwa ushawishi wa China katika Pwani ya Kusini mwa nchi hiyo, Waziri Mkuu wa Japan, Yoshihidi Suga na mshirika...

Habari Mchanganyiko

Wizara Katiba na Sheria wamwangukia Rais Magufuli

WIZARA ya Katiba na Sheria Tanzania, imemuomba Rais John Magufuli aongeze idadi ya majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu, ili kuimarisha mfumo...

Habari Mchanganyiko

Malalamiko wizi wa data, vifurushi yatua Serikalini

SERIKALI ya Tanzania imeagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuchunguza madai ya wananchi kuhusu wizi wa data na vifurushi, unaodaiwa kufanywa na baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yataifisha madini ya mamilioni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam imetaifa madini yenye gramu zaidi ya 800 ya mfanyabiashara Haji Hassan (52) na Jamas...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaiamuru Halotel kulipa fidia Sh. 42 Bil.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam, imeiamuru Kampuni ya Mwasiliano ya Halotel Tanzania, kulipa fidia Sh. 42 Bilioni. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua mrithi wa Jaji Nsekela

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, kuwa Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali kujenga Shule 1,000 za Sekondari

SERIKALI inatarajia kujenga shule mpya za Sekondari 1,000, kupitia Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), ili kuondoa changamoto ya upungufu wa madarasa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa akagua ujenzi daraja la Salander, atoa maagizo

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa daraja jipya la Tanzanite (Salander), lililoko jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Mo Salah aitikisa Liverpool

KAULI ya Mohamed Salah, mshambuliaji wa Klabu ya Liverpool kwamba, alifedheheshwa kwa kutopewa nafasi ya unahodha wakati wa mechi yao na Midtjylland, Klabu Bingwa...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya afya vya serikali vyapewa tahadhari

VIONGOZI wa vituo vya huduma za afya vya umma, wametakiwa kuchukua tahadhari ya matumizi ya fedha kulingana na bajeti ya serikali. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

RC Dar amstukiza mkandarasi usiku wa manane

ABOUBAKAR Kunenge, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amstukiza mkandarasi wa ujenzi wa Soko la Tandale ili kujiridhisha kama ametekeleza maagizo ya...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 32, Walimu 2 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma moto shule

WATU 41 wakiwemo wanafunzi 32 na walimu wawili,  wamekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Tanzania kwa tuhuma za kuhusika katika matukio ya shule...

Habari Mchanganyiko

Mauaji wivu wa mapenzi yatikisa 2020

MATUKIO ya mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, yameongoza katika mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar Es Salaam…(endelea). Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Rufaa yabatilisha hukumu ya Mwalimu kunyongwa

MAHAKAMA ya Rufani nchini, imezuia utekelezaji wa hukumu ya kunyongwa hadi kufa, iliyokuwa imetolewa kwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Kibeta, iliyopo wilayani...

Habari Mchanganyiko

Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa

CHANZO cha kifo cha Antony Banzi, aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga kimetejwa kuwa ni ugonjwa wa koo. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Mawakili wapotoshaji kukiona – Jaji Mkuu

PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, ameahidi kuwachukulia hatua mawakili wanaopotosha maamuzi ya mahakama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza haya hapa

ORODHA ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza Tanzania Bara kwa mwaka 2021 yametangazwa. Anaripoti Mwaindishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Rwanda yaridhishwa utendaji Bandari ya Dar es Salaam

SERIKALI ya Rwanda imeridhishwa na utoaji huduma katika Bandari ya Dar es Salaam nchini Tanzania na kuahidi kuendelea kuitumia bandari hiyo ambayo imekuwa...

error: Content is protected !!