Saturday , 20 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Wananchi waombwa kushiriki miradi ya maji, afya na mazingira

MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Jamhuri William ametoa wito kwa wadau waliopo mkoani humo na halmashauri ya wilaya ya Mufindi kuendelea...

Habari Mchanganyiko

Vigogo kampuni ya vinywaji kortini tuhuma za utakatishaji Bil.1.6

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imewafikisha Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam watuhumiwa watatu kati ya wanne...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi awatumbua vigogo 2 Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya wa Wizara ya Afya, Dk. Jamala Adam Taib na...

Habari Mchanganyiko

Milioni 39 wapona corona duniani

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani yamefikia milioni 56.1, waliopona milioni 39.1 na waliofariki kutokana na ugonjwa huo wakiwa milioni 1.3. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wahamiaji 36 wa Ethiopia, Somalia wadakwa Dar

WAHAMIAJI haramu 36 raia wa Ethiopia na Somalia walioingia nchini Tanzania kinyume na taratibu, wamekamatwa. Anaripoti Mwandishi Wetu Wahamiaji hoa wamekamatwa na vyombo...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi kutangza mawaziri kesho

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi kesho Alhamisi tarehe 19 Novemba 2020, ataweka wazi sura ya baraza lake jipya la mawaziri. Anaripoti...

ElimuHabari Mchanganyiko

Klabu ya Udasa yafungwa

JUKWAA la wakufunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) nchini Tanzania, limekana madai kuwa limefunga shughuli zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi Jamii Forum ahukumiwa

MAXENCE Melo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Jamii Forums,  amehukumiwa kutotenda kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kutekeleza wajibu wao kwa mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Kiongozi wa waasi, wenzake 18 wahukumiwa kifo

SOULEYMAN Keita, kiongozi wa kundi la waasi la Ansar Dine la Iyad Ag Ghali nchini Mali na wenzake 18, mwishoni mwa wiki wamehukumiwa  kifo...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya diwani mteule CCM, tisa washikiliwa                             

WATU tisa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa madai ya kuhusika katika mauaji ya Fatuma Ngozi, aliyekuwa diwani mteule wa Kata...

Habari Mchanganyiko

Abel & Fernandes, St. Laurent wajitosa kudhibiti kisukari

WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kupima afya zao mara kwa mara ili kudhibiti magonjwa mbalimbali ikiwemo kisukari ambao hadi sasa umeathiri zaidi ya watu milioni...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ukatili wa watoto, Tamwa yaiangukia jamii na Serikali

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimelaani matukio ya ukatili wa kijinsia yanayoendelea nchini huku kikiitaka Serikali na wananchi kutafuta mwarobaini wa changamoto...

Habari Mchanganyiko

Waziri wa zamani kuzikwa J’nne Moshi 

MWILI wa waziri wa zamani wa Serikali ya Tanzania, Dk. Cyril Chami utazikwa Jumanne tarehe 10 Novemba 2020 kijijini kwao Kibosho, Moshi Mkoa...

Habari Mchanganyiko

GGML kujenga bustani ya kisasa Geita

WAKAZI wa Mji wa Geita wanafurahia kuwa sehemu ya mradi wa bustani ya kupumzikia inayoanza kujengwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited...

Habari Mchanganyiko

Petroli yapanda, dizeli yashuka

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) nchini Tanzania, imetangaza ongezeko la bei ya rejareja ya petroli kwa Sh.25 na Sh.12...

Habari Mchanganyiko

Hukumu bosi Jamii forums Novemba 17

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeahirisha kutoa hukumu ya kesi namba 458 ya mwaka 2016  inayomkabili Mkurugenzi wa Jamii...

Habari Mchanganyiko

Singida hawategemei alizeti pekee

IMEELEZWA kuwa mabadiliko ya kimaisha na kiuchumi ya wakazi na mkoa wa Singida hayatokani na kilimo cha zao la alizeti pekee bali yapo...

Habari Mchanganyiko

TCRA yafunda waandishi, Polisi yawaonya

KUELEKEA uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imendesha semina kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kijazi: Viongozi tengenezeni mazingira ya wananchi kuibua vivutio vya Utalii

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Allan Kijazi ameutaka uongozi wa mkoa wa Lindi, wilaya Kilwa na vijiji vyake,...

Habari Mchanganyiko

Elisha wa TBC aagwa Dar, kuzikwa kesho  

MWILI wa Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Elisha Elia (39), umeangwa jijini Dar es Salaam kisha kusafirishwa kwenda Tukuyu...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi TBC afariki dunia

MWANDISHI wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Elisha Elia amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

CMA yaamuru Manji kulipa mamilioni waandishi wa habari

TUME ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Kanda ya Dar es Salaam- Temeke imeiamuru kampuni ya Quality Group Limited kuwalipa waandishi wake wa habari...

Habari Mchanganyiko

Mvua Dar: Tahadhari yatolewa

WAKAZI wa Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuchukua tahadhari ya magonjwa ya mlipuko kutokana na mvua  zinazoendelea kunyesha. Anaripoti Hamis Mguta,...

Habari Mchanganyiko

Mvua Dar: 12 wapoteza maisha

WATU 12 wamefariki dunia jijini Dar es Salaam kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa  iliyonyesha tarehe 13 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Wakuliwa watakiwa kupewa elimu sahihi ya matumizi ya mbolea

NAIBU Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba amewataka wadau mbalimbali wa maendeleo, maafisa ugani na watafiti kuendelea kujipanga kimkakati kutoa elimu ya matumizi sahihi...

Habari Mchanganyiko

Bosi Takukuru aomba kukiri makosa uhujumu uchumi

MKURUGENZI wa zamani wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kulthum Mansoor, ameiomba Ofisi ya Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Tamwa yatoa mbinu mtoto wa kike anavyoweza kufikia ndoto zake

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kimewataka watoto kuvunja ukimya na kupaza sauti mara tu waonapo dalili za kufanyiwa ukatili ili kuwawezesha kufikia...

Habari Mchanganyiko

Fisi aliyeua mtoto auawa

KIKOSI dhidi ujangili kutoka Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori (TAWA) kimefanikiwa kumdhibiti fisi aliyemuua mtoto Kwangu Makanda (11) na kujeruhi watu wawili katika...

Habari Mchanganyiko

Magufuli awapigia simu walimu ‘puuzeni tangazo hilo, limetolewa na wabaya wetu’

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefuta maboresho yaliyotangazwa na wizara ya elimu nchini humo ya mtaala wa ualimu wa ngazi ya cheti...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo ya Ualimu Tanzania yaboreshwa, cheti chafutwa

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania imeufuta mtaala wa ualimu wa ngazi ya cheti kwa elimu ya awali na msingi na...

Habari Mchanganyiko

Ajali yaua watano, yajeruhi wanane Dar

MAGARI matatu likiwemo la abiria (daladala) yamegongana katika taa za barabara eneo la Serengeti – Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo...

Habari Mchanganyiko

Treni ya abiria Dar-Arusha yazinduliwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC),Aboubakar Kunenge amezindua safari ya kwanza ya treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda Mkoani...

Habari Mchanganyiko

Tamwa yajitosa rushwa ngono vyombo vya habari

CHAMA cha Wanahabri Wanawake Tanzania (Tamwa) kimezindua mradi wa ‘rushwa ya ngono miongoni wanahabari wanawake katika vyombo vya habari’ kwa kuangalia tatizo hilo...

Habari Mchanganyiko

RC Moro akumbushwa wazazi kuchangia maendeleo

LOATA Ole Sanare, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro amewataka wazazi kufanyia kazi kwa vitendo maazimio mbalimbali yanayotolewa katika vikao vya kamati za shule...

Habari Mchanganyiko

Tamwa yazindua ‘wanawake wanaweza’

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kimeanza utekelezaji wa mradi wa ‘Wanawake Wanaweza’ uliofadhiliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wanawake (UN-Women)....

Habari Mchanganyiko

Milioni 32 zanunua gari la wagonjwa Bukoli-Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Rafiki Surgical Mission kutoka nchini Australia wametoa msaada wa gari la wagonjwa lenye...

Habari Mchanganyiko

Nyamapori kuanza kuuzwa buchani, TAWA wapunguza bei

WIZARA ya Maliasili na Utalii imepunguza bei za wanyama wa mbegu kwa asilimia 90 ili wananchi waweze kumudu gharama za ufugaji wanyamapori katika...

Habari Mchanganyiko

Sakata la Fatma Karume lamuibua Kijo-Bisimba

HELLEN Kijo-Bisimba, Mkurugenzi Mtendaji Mstaafu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC), amewashauri wadau wa Tasnia ya Sheria kupaza sauti...

Habari Mchanganyiko

Fatma Karume: Sijazaliwa mahakamani

FATMA Karume, mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Tanzania amesema, hajazaliwa kwa ajili ya kufanya kazi mahakamani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Uchaguzi Mkuu 2020: DC Dodoma awapa ujumbe wanawake

WANAWAKE wametakiwa kusaidiana katika mchakato unaoendelea wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania utakaofanyika Jumatano tarehe 23 Septemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

TASUWORI kuunganisha vijana 300

SHIRIKA la linalojishughulisha na Kulinda na Kutetea Haki za Wanawake Tanzania (TASUWORI), limeeleza kuwa tayari kuunganisha vijana 300 kutoka kwenye vikundi tisa vinavyofanya...

Habari Mchanganyiko

RC Dar aahidi neema kwa walimu

ABOUBAKAR Kunenge, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), amewahakikishia walimu kuwa Serikali inaendelea kulipa malimbikizo yote wanayodai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Fatma Karume: Nimefukuzwa

FATMA Karume, mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu nchini, amefukuzwa katika Kampuni ya Uanasheria ya IMMMA aliyoshiriki kuianzisha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Balozi wa Poland aongoza kusafisha ufukwe Kawe

KRZYSZTOF Buzalski, Balozi wa Poland nchini Tanzania ameungana na wadau wa masuala ya usafi, kusafisha ufukwe wa Kawe jijini Dar es Dalaam. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 60 zinavyoiboresha Moshi

SERIKALI ya Tanzania, imetumia zaidi ya Sh.60 bilioni kugharamia miradi ya mbalimbali ya maendeleo Manispaa ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Ofisa Chadema apandishwa Kizimbani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imewasomea mashtaka watu wawili kwa kosa la kuchapisha maudhui mtandaoni bila leseni kutoka Mamlaka...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yawahukumu kunyongwa waliomuua Dk. Mvungi

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imewahukumu kifo, watu watano waliopatikana na hatia ya kumuuwa kwa makusudi, Dk. Sengodo Mvungi,...

Habari Mchanganyiko

Maonyesho uchimbaji madini yaanza Geita, GGML yadhamini

MAONYESHO ya tatu ya teknolojia za uchimbaji madini mkoani Geita yanayofanyika kati ya tarehe 17 hadi 27 Septemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita...

Habari Mchanganyiko

Msaidizi wa Membe anashikiliwa polisi tuhuma za utakatishaji fedha

JEROME Luanda, Msaidizi wa Bernard Membe, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo anashikiliwa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es...

Habari Mchanganyiko

Watumishi 24 watunukiwa vyeti mafunzo teknolojia ya 5G

KATIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dk. Zainabu Chaula amesema, jitihaza zinapaswa kufanyika ili kuhakikisha kujifunza maarafi na ujuzi wa kisasa...

error: Content is protected !!