MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi nchini Tanzania, imemhukumu Harry Kitillya, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini...
By Faki SosiAugust 26, 2020JOSEPH Butiku, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, amevita vyama vya upinzani nchini Tanzania, kuacha kuipinga Serikali kwa kutumia maneno ya matusi na...
By Faki SosiAugust 24, 2020JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) na Ushiriki Tanzania wanaandaa sera ya kitaifa ya ushiriki wa wanawake, wenye ulemavu na vijana kwenye siasa na...
By Masalu ErastoAugust 24, 2020JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limewataka wanasiasa nchini humo kutokutoa matamshi ya kuwachochea wananchi kujenga chuki dhidi ya wanahabari na vyombo vya habari...
By Danson KaijageAugust 24, 2020JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, limewakamata watuhumiwa 147 mkoani humo kwa kujihusisha na makosa mbalimbali ikiwemo ya dawa za kulevya aina ya...
By Mwandishi WetuAugust 23, 2020JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu 12 Wilaya ya Hai kwa mahojiano wakituhumiwa kufanya vurugu na kushambulia kwa mawe mkutano wa...
By Mwandishi WetuAugust 23, 2020WATU zaidi ya watano wamepoteza maisha huku 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Hamisi MgutaAugust 21, 2020BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania, limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2020FLUGENCE Massawe, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), ameshauri mamlaka husika (Wizara ya Mambo ya...
By Regina MkondeAugust 19, 2020JOB Ndugai, aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri, amewataka watu wenye ulemavu kufika katika halmashauri ili wapewe asilimia mbili za mapato kwa mujibu...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeuwa watu wanne kwa risasi wakidai kuwa ni majibizano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020CONSTATINE Kanyasu, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ameitaka Bodi mpya ya magavana wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (Mweka), kuhakikisha wanatoa mafunzo yenye...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) imetangaza kusitisha shughuli zake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Taarifa...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2020ASKOFU wa Kanisa la Mlima wa Moto, Jimbo la Dodoma na Nyanda za Juu Kusini, Sylvanus Komba amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na badala...
By Danson KaijageAugust 16, 2020KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya...
By Hamisi MgutaAugust 14, 2020WANAHABARI nchini wametakiwa kuandika habari zikiwemo za uchaguzi kwa kuzingatia maadili, sheria na kanuni ili kuepuka vichocheo vya machafuko nchini na duniani kwa...
By Christina HauleAugust 14, 2020KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na Halmashauri ya Mji wa Geita wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa Mpango wa kusaidia Jamii...
By Mwandishi WetuAugust 13, 2020JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limewataka raia kuondoka porini karibu na mpaka wake na taifa la Msumbiji, wakati huu wanapojiandaa kupambana na...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2020TAASISI ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) inakusudia kuboresha mitaala ya shahada mbili za umahiri (masters) ili kuendana na ushindani wa soko la...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2020INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema, kuna viongozi wa siasa wanaashiria shari kwenye kauli zao na kwamba, ‘kesho’ wasiilamu...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2020WAZIRI wa Kilimo wa Tanzania, Japhet Hasunga amezindua rasmi huduma maalum ya kuhakiki pembejeo inayofahamika kwa jina la ‘T-hakiki.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2020TAASISI ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (TOSCI) imefanikiwa kudhibiti uwepo wa mbegu feki baada ya kuimarisha matumizi ya lebo maalum ikiwemo kuweka...
By Christina HauleAugust 7, 2020UFUGAJI wa mnyama Sungura umekuwa na faida nyingi bila watu kujua duniani na hivyo kubaki wakifuga wanyama wengine. Anaripoti Christina Haule, Morogoro …...
By Christina HauleAugust 7, 2020MAWAKALA wa usambazaji mbolea kwa wakulima nchini wametakiwa kuweka mbolea zenye ujazo wa aina mbalimbali madukani ili wakulima wenye uwezo wowote wa kifedha...
By Christina HauleAugust 6, 2020AWAMU ya kwanza ya Ujenzi wa Mradi wa maji wa Jeti-Buza jijini Dar es Salaam inaendelea kwa kasi ambapo mtandao wa bomba la...
By Masalu ErastoAugust 6, 2020SERIKALI imetoa wito kwa Watanzania kutunza miundombinu nchini ili fedha zielekezwe kwenye maeneo mengine ya maendeleo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa...
By Danson KaijageAugust 5, 2020WATU 11 wakiwemo viongozi wa Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Karagwe (KDCU LTD), Mkoa wa Kagera wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba kwa...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2020WAJASIRIAMALI wadogo maarufu ‘machinga’ eneo la Gongolamboto wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, wamemmwomba, Rais John Magufuli wa Tanzania kutatua mgogoro wa...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2020MSANII wa maigizo Burton Mwambe (35) maarufu kwa jina la Mwijaku, sasa amerejea uraiani baada ya kukaa siku tano mahabusu. Anaripoti Faki Sosi,...
By Faki SosiAugust 3, 2020SERIKALI ya Tanzania imezuia ndege za Shirikla la Ndege la Kenya (KQ) kutua nchini humo kuanzia leo Jumamamosi tarehe 1 Agosti 2020. Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2020HOSPITALI ya Rufaa ya KCMC Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza mchakato wa ujenzi wa hosteli za wagonjwa wa saratani wenye kipato cha chini ili...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2020TUME ya kuchunguza matukio ya majengo ya Shule za Msingi na Semondaei za Kislamu kuungua kwa moto jijini Dar es Salaam inakamilisha taarifa...
By Regina MkondeJuly 31, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2020POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limewaua watuhumiwa watatu wa ujambazi eneo la Chamazi, waliokuwa kwenye gari aina ya Nissan...
By Kelvin MwaipunguJuly 30, 2020SHAHIDI wa kwanza Yusufu Shaban Omar Matimbwa katika kesi inayomkabili Diwani wa Kijichi, Mbagala jijini Dar es Salaam Elias Mtarawanje (29), anayedaiwa kupokea...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemtaka Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhudhuria mahakamani...
By Faki SosiJuly 30, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema Hayati Benjamin William Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, alikataa kuzikwa katika eneo...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020ALI Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, amemwomba Mwenyezi Mungu kumsamehe Hayati Benjamin William Mkapa pale alipoteleza wakati wa...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020RAIS mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameeleza jinsi alivyomtoa jasho Hayati Benjamin William Mkapa, katika mchujo wa mgombea...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020MSANII wa uigizaji nchini Tanzania, Mwemba Burton (35) maarufu Mwijaku amepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akituhumiwa kusambaza...
By Faki SosiJuly 29, 2020Dk. Shein afikisha salamu za Wazanzibari kwa Mkapa Saa 7:46 mchana DAKTARI Ali Mohammed Shein, Rais wa Serikali ya Zanzibar amemtaja Hayati Benjamin...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2020NDEGE iliyombeba mwakilishi wa Kenya, Samuel Poghisio aliyekuwa anakwenda Tanzania, kuhudhuria shughuli ya kitaifa ya kumuaga Hayati Benjamin Mkapa, Rais wa Awamu ya...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejikuta akitokwa machozi hadharani baada ya shindwa kujizuia wakati akielezea mazungumzo yake ya mwisho na Rais mstaafu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli anawaongoza waombolezaji kuaga Kitaifa mwili wa Hayati Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2020MWILI wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa leo Jumatatu tarehe 27 Julai 2020 unalala nyumbani kwake, Masaki...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, viongozi wakuu wa nchi kesho Jumanne ndio watapata fursa ya kuaga mwili wa Hayati Rais mstaafu...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam nchini Tanzania imeleezwa upelelezi wa kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema, itamuenzi Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William...
By Hamisi MgutaJuly 27, 2020MWILI wa Benjamin Mkapa, Hayati Rais Mstaafu wa awamu ya tatu ya Tanzania, unaendelea kutolewa heshima za mwisho na Watanzania, katika Uwanja wa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2020PAUL Kabugwe, kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameacha historia kwa kumbwaga katika kura za maoni Ibrahimu Kalunga, aliyekuwa diwani wa Kata ya...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2020