Friday , 26 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Kitillya, wenzake: Faini Bil 1.5 au jela miezi sita

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi nchini Tanzania, imemhukumu Harry Kitillya, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Butiku awaonya wapinzani, wasimamizi wa uchaguzi

JOSEPH Butiku, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, amevita vyama vya upinzani nchini Tanzania, kuacha kuipinga Serikali kwa kutumia maneno ya matusi na...

Habari Mchanganyiko

Sera kabambe ya wanawake, wenye umelavu na vijana yaandaliwa

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) na Ushiriki Tanzania wanaandaa sera ya kitaifa ya ushiriki wa wanawake, wenye ulemavu na vijana kwenye siasa na...

Habari Mchanganyiko

Wahariri Tanzania wawaonya wanasiasa

JUKWAA  la Wahariri Tanzania (TEF) limewataka wanasiasa nchini humo kutokutoa matamshi ya kuwachochea wananchi kujenga chuki dhidi ya wanahabari na vyombo vya habari...

Habari Mchanganyiko

147 mbaroni tuhuma dawa za kulevya K’njaro

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, limewakamata watuhumiwa 147 mkoani humo kwa kujihusisha na makosa mbalimbali ikiwemo ya dawa za kulevya aina ya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Polisi yawadaka 12, tuhuma kuvuruga mkutano wa Lissu

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu 12 Wilaya ya Hai kwa mahojiano wakituhumiwa kufanya vurugu na kushambulia kwa mawe mkutano wa...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya basi yaua watano, 26 majeruhi Muleba

WATU zaidi ya watano wamepoteza maisha huku 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Shule kumi bora kidato cha sita, Serikali yatamba 

BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania, limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari Mchanganyiko

Sakata la THRDC: LHRC yaiangukia serikali ya Tanzania

FLUGENCE Massawe, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), ameshauri mamlaka husika (Wizara ya Mambo ya...

Habari Mchanganyiko

2% ya mapato inawasubiri watu wenye ulemavu – Ndugai

JOB Ndugai, aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri, amewataka watu wenye ulemavu kufika katika halmashauri ili wapewe asilimia mbili za mapato kwa mujibu...

Habari Mchanganyiko

Polisi wauwa watu wanne

JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeuwa watu wanne kwa risasi wakidai kuwa ni majibizano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Waziri Kanyasu ataka Chuo cha Wanayamapori kutoa mafunzo bora  

CONSTATINE Kanyasu, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii ameitaka Bodi mpya ya magavana wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (Mweka), kuhakikisha wanatoa mafunzo yenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yasitisha shughuli zake

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) imetangaza kusitisha shughuli zake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Taarifa...

Habari Mchanganyiko

Askofu ataka vijana kuondoka vijiweni

ASKOFU wa Kanisa la Mlima wa Moto, Jimbo la Dodoma na Nyanda za Juu Kusini, Sylvanus Komba amewataka vijana kuacha kukaa vijiweni na badala...

Habari MchanganyikoTangulizi

A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya...

Habari Mchanganyiko

Uchaguzi Mkuu 2020: Wanahabari watakiwa kuzingatia maadili, kuepuka kuchochea machafuko

WANAHABARI nchini wametakiwa kuandika habari zikiwemo za uchaguzi kwa kuzingatia maadili, sheria na kanuni ili kuepuka vichocheo vya machafuko nchini na duniani kwa...

Habari Mchanganyiko

Geita kunufaika na bilioni 9 za GGML

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na Halmashauri ya Mji wa Geita wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa Mpango wa kusaidia Jamii...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Tanzania lataka wananchi waishio porini kuondoka

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limewataka raia kuondoka porini karibu na mpaka wake na taifa la Msumbiji, wakati huu wanapojiandaa kupambana na...

Habari Mchanganyiko

DIT inavyojipanga kukabili soko la ajira

TAASISI ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) inakusudia kuboresha mitaala ya shahada mbili za umahiri (masters) ili kuendana na ushindani wa soko la...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro: 2020 wasilaumu dola

INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema, kuna viongozi wa siasa wanaashiria shari kwenye kauli zao na kwamba, ‘kesho’ wasiilamu...

Habari Mchanganyiko

Mfumo wenye neema kwa wakulima wazinduliwa Tanzania

WAZIRI wa Kilimo wa Tanzania, Japhet Hasunga amezindua rasmi huduma maalum ya kuhakiki pembejeo inayofahamika kwa jina la ‘T-hakiki.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu...

Habari Mchanganyiko

TOSCI yadhibiti mbegu feki

TAASISI ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (TOSCI) imefanikiwa kudhibiti uwepo wa mbegu feki baada ya kuimarisha matumizi ya lebo maalum ikiwemo kuweka...

Habari Mchanganyiko

Ufugaji wa Sungura na kukua kwa mnyonyoro wa thamani wa mkulima

UFUGAJI wa mnyama Sungura umekuwa na faida nyingi bila watu kujua duniani na hivyo kubaki wakifuga wanyama wengine. Anaripoti Christina Haule, Morogoro …...

Habari Mchanganyiko

TFRA: Mawakala, wasambazaji wafikirieni wakulima wadogo

MAWAKALA wa usambazaji mbolea kwa wakulima nchini wametakiwa kuweka mbolea zenye ujazo wa aina mbalimbali madukani ili wakulima wenye uwezo wowote wa kifedha...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa maji Jet-Buza neema kwa wananchi

AWAMU ya kwanza ya Ujenzi wa Mradi wa maji wa Jeti-Buza jijini Dar es Salaam inaendelea kwa kasi ambapo mtandao wa bomba la...

Habari Mchanganyiko

Tujali, tuitunze miundombinu – Waziri Jafo

SERIKALI imetoa wito kwa Watanzania kutunza miundombinu nchini ili fedha zielekezwe kwenye maeneo mengine ya maendeleo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa...

Habari Mchanganyiko

Vigogo KDCU kortini tuhuma za utakatishaji milioni 900

WATU 11 wakiwemo viongozi wa Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Karagwe (KDCU LTD), Mkoa wa Kagera wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba kwa...

Habari Mchanganyiko

Machinga Dar wamwomba JPM awasaidie

WAJASIRIAMALI wadogo maarufu ‘machinga’ eneo la Gongolamboto wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, wamemmwomba, Rais John Magufuli wa Tanzania kutatua mgogoro wa...

Habari Mchanganyiko

Mwijaku arudi uraiani

MSANII wa maigizo Burton Mwambe (35) maarufu kwa jina la Mwijaku, sasa amerejea uraiani baada ya kukaa siku tano mahabusu. Anaripoti Faki Sosi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania yapiga ‘stop’ ndege za Kenya

SERIKALI ya Tanzania imezuia ndege za Shirikla la Ndege la Kenya (KQ) kutua nchini humo kuanzia leo Jumamamosi tarehe 1 Agosti 2020. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Neema kwa wagonjwa wa saratani KCMC

HOSPITALI ya Rufaa ya KCMC Mkoa wa Kilimanjaro, imeanza mchakato wa ujenzi wa hosteli za wagonjwa wa saratani wenye kipato cha chini ili...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa akerwa shule za Kiislamu kuungua moto

TUME ya kuchunguza matukio ya majengo ya Shule za Msingi na Semondaei za Kislamu kuungua kwa moto jijini Dar es Salaam inakamilisha taarifa...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua DC Rufiji

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa watatu ujambazi wauawa Dar

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limewaua watuhumiwa watatu wa ujambazi eneo la Chamazi, waliokuwa kwenye gari aina ya Nissan...

Habari Mchanganyiko

Shahidi aeleza Diwani CCM alivyopokea rushwa, alivyonaswa

SHAHIDI wa kwanza Yusufu Shaban Omar Matimbwa katika kesi inayomkabili Diwani wa Kijichi, Mbagala jijini Dar es Salaam Elias Mtarawanje (29), anayedaiwa kupokea...

Habari Mchanganyiko

Lissu aitwa mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemtaka Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhudhuria mahakamani...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli: Mkapa aligoma kuzikwa Dodoma 

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema Hayati Benjamin William Mkapa, Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, alikataa kuzikwa katika eneo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwinyi amwombea msamaha Mkapa

ALI Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, amemwomba Mwenyezi Mungu kumsamehe Hayati Benjamin William Mkapa pale alipoteleza wakati wa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Kikwete aeleza walivyotoana jasho na Mkapa mwaka 1995

RAIS mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameeleza jinsi alivyomtoa jasho Hayati Benjamin William Mkapa, katika mchujo wa mgombea...

Habari Mchanganyiko

Mwijaku kizimbani tuhuma za kusambaza picha za ngono

MSANII wa uigizaji nchini Tanzania, Mwemba Burton (35) maarufu Mwijaku amepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akituhumiwa kusambaza...

Habari MchanganyikoTangulizi

#LIVE: Rais Magufuli awasili Lupaso kumzika Mkapa

Dk. Shein afikisha salamu za Wazanzibari kwa Mkapa Saa 7:46 mchana DAKTARI Ali Mohammed Shein, Rais wa Serikali ya Zanzibar amemtaja Hayati Benjamin...

Habari Mchanganyiko

Kuagwa Mkapa: Ndege ya mwakilishi Kenya, yashindwa kutua Tanzania

NDEGE iliyombeba mwakilishi wa Kenya, Samuel Poghisio aliyekuwa anakwenda Tanzania, kuhudhuria shughuli ya kitaifa ya kumuaga Hayati Benjamin Mkapa, Rais wa Awamu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Magufuli atokwa machozi akimwelezea Mkapa

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejikuta akitokwa machozi hadharani baada ya shindwa kujizuia wakati akielezea mazungumzo yake ya mwisho na Rais mstaafu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maelfu wajitokeza kuaga mwili wa Mkapa Dar

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli anawaongoza waombolezaji kuaga Kitaifa mwili wa Hayati Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mwili wa Mkapa kulala nyumbani kwake

MWILI wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa leo Jumatatu tarehe 27 Julai 2020 unalala nyumbani kwake, Masaki...

Habari Mchanganyiko

Serikali ya Tanzania yatoa utaratibu kumuaga Mkapa kesho

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, viongozi wakuu wa nchi kesho Jumanne ndio watapata fursa ya kuaga mwili wa Hayati Rais mstaafu...

Habari Mchanganyiko

Bosi’ MSD, mwenzake waendelea kusota rumande

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam nchini Tanzania imeleezwa upelelezi wa kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),...

Habari Mchanganyiko

Dawasa: Tumuenzi Mkapa kwa Watanzania wote kupata maji

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) imesema, itamuenzi Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William...

Habari Mchanganyiko

Watanzania wajitokeza tena kumuaga Mkapa

MWILI wa Benjamin Mkapa, Hayati Rais Mstaafu wa  awamu ya tatu ya Tanzania, unaendelea kutolewa heshima za mwisho na Watanzania, katika Uwanja wa...

Habari Mchanganyiko

Muuza matikiti ambwaga diwani aliyeongoza miaka 20

PAUL Kabugwe, kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameacha historia kwa kumbwaga katika kura za maoni Ibrahimu Kalunga, aliyekuwa diwani wa Kata ya...

error: Content is protected !!