Sunday , 3 December 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Shule kumi bora kidato cha sita, Serikali yatamba 
ElimuHabari Mchanganyiko

Shule kumi bora kidato cha sita, Serikali yatamba 

Dk. Charles Msonde, Katibu Mtendaji wa Necta
Spread the love

BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania, limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Matokeo hayo yametangazwa leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020 na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde visiwani Zanizbar.

Katika shule kumi bora kitaifa kwenye matokeo hayo, nane zinamilikiwa na Serikali na mbili binafasi huku iliyoongozwa ya Kisimiri imesalia kwenye nafasi yake kama ilivyokuwa mwaka 2019.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online, MwanaHALISI TV na mitandao yetu ya kijamii kwa taarifa na habari mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

Spread the loveMVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Elimu

150 wahitimu Shahada ya Udaktari HKMU

Spread the loveCHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali...

Elimu

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

Spread the love MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi...

error: Content is protected !!