Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari
Habari MchanganyikoTangulizi

A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari

Joseph Mapunda, Makamu Mwenyekiti Kamati ya Maudhui TCRA
Spread the love

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya ukiukaji wa kanini za utangazaji wa redio na televisheni na maudhui ya mitandaoni. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar es Salaam … (endelea)

Watoa huduma hao ni Carry Mastory Media Ltd, Triple A FM, CG FM, Wasafi Media Online TV, Clouds FM, Radio One, Radio Free Africa, Kiss FM na Abood FM.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joseph Mapunda ametoa uamuzi huo leo Ijumaa tarehe 14 Agosti 2020 katika Ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam.

Soma taarifa yote ya kamati;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

error: Content is protected !!