Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaadhimisha siku ya mtoto wa kiafrika kwa maboresho ya sheria

SERIKALI nchini Tanzania inatarajia kuazimisha siku ya mtoto wa Afrika kesho tarehe 16 Juni, 2020 huku ikimarisha mfumo wa kisheria kwenye ustawi wa...

Habari Mchanganyiko

Mweusi mwingine auawa Marekani

IKIWA ni zaidi ya wiki tatu ya maandamano kutokana na polisi wa Minnesota, Marekani kumuua raia mweusi wa taifa hilo George Floyd, tayari...

Habari Mchanganyiko

Kifo cha Rais Nkurunzinza, Magufuli atangaza maombolezo siku tatu

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia leo Jumamosi tarehe 13 hadi 15 Juni, 2020 kufuatia kifo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi Tanzania yazungumzia tukio la Mbowe

JESHI la Polisi Tanzania, limetoa taarifa za uchunguzi wa awali wa tukio linalodaiwa kushambuliwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...

Habari Mchanganyiko

Vigogo 7 TPA kortini tuhuma za uhujumu uchumi, Takukuru yatangaza zawadi nono

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, itawafikisha mahakamani watumishi nane wakiwemo saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli alipa ‘tano’ Bunge la Tanzania

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amelipongeza Bunge la nchi hiyo, kwa kupitisha azimio itakayozuia mtu au mamlaka kuhamisha Makao Makuu ya nchi yaliyopo...

Habari Mchanganyiko

Serikali ya Tanzania kujenga gereza kila Wilaya 

SERIKALI ya Tanzania imesema, ina mpango wa kujenga magereza kila wilaya, ili kumaliza tatizo la mrundikano wa mahabusu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Waziri Tanzania awapa pole madereva waliokwama Namanga 

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania, Dk. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya serikali EACJ yatupwa

MAHAKAMA ya Afrika Mashariki (EACJ) imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na serikali, baada ya ushindi wa kesi ya kupinga baadhi ya vifungu vilivyoonekena kuwa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakwamisha kesi ya Idriss

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeahirisha kesi inayomkabili Idriss Sultani, Msanii wa Vichekesho na mwenzake Innocent Maiga baada ya...

Habari Mchanganyiko

TYC ‘yalilia’ uchaguzi shirikishi Tanzania  

WAKATI  maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 yakiendelea nchini Tanzania, Shirika lisilo la Kiserikali la Tanzania Youth Coalition (TYC) limetaka kufanyika kwa majadiliano...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ataka wanaume wasiofanyiwa tohara wasioe

RUKIA Kassim Ahmed, Mbunge Viti Maalumu kupitia Chama cha Wananchi (CUF), ameitaka Serikali ya Tanzania kuwazuia wanaume wasiotahiriwa kuoa, ili kuwakinga wanawake dhidi...

Habari Mchanganyiko

Raia wa Armenia kortini kwa kuisababishia Serikali hasara Mil. 44

VARDAN MKHITARYAN (47), raia wa Armenia na mwenzake, wamefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kwa kosa kuisababishia hasara Serikali...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma Mil. 1 yawafikisha kortini mganga mkuu, mfamasia Rombo

DK. Christon Nkya, aliyekuwa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Rombo mkoani Kilimanjaro na mfamasia wa zamani wa halmashauri hiyo, Remig Massawe, wamefikishwa mahakamani...

ElimuHabari Mchanganyiko

Rais Magufuli awataka CWT kuchagua viongozi makini

RAIS wa Tanzania, John  Magufuli, amewawataka viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), wanaotarajiwa kuchaguliwa hivi karibuni, kuja na mipango madhubuti ya kukiimarisha...

Habari Mchanganyiko

Vigogo MSD wadaiwa kukwapua bil 1.6

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD)  nchini Tanzania, Laurean Bwanakunu na mwenzake wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Ofisa Takukuru ‘feki’ abambwa kwa kujipatia Sh. 90,000

JAFET Emmanuel, Mkazi wa Kilimahewa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwa kosa la...

Habari Mchanganyiko

Usafiri treni Dar-Moshi kuanza ndani ya siku 14

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema, ndani ya siku 14 zijazo, litarejesha safari za treni za mizigo na abiria kati ya Dar es...

Habari Mchanganyiko

‘Bosi’ MSD, mwenzake kortini tuhuma za utakatishaji fedha

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka itawafikisha mahakamani aliyekuwa mtendaji mkuu wa Bohari...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo: Tumeupokea mwaliko wa Chadema

CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimesema, kimeupokea kwa mikono miwili mwaliko uliitolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kauli...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy aonya wavuta sigara hadharani, atoa maagizo

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi NEMC wasomewa mashtaka tisa

WAFANYAKAZI wanne wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya...

Habari Mchanganyiko

‘Rais, Spika na Jaji Mkuu hawatoshitakiwa Tanzania’

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamepinga muswada wa marekebisho...

Habari Mchanganyiko

Laki 2 yamponza ‘mwenyekiti serikali’ ya mtaa

ALLY Mohamed Mtiga, mwenyekiti wa kamati ya mazingira mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio wilayani Temeke, Dar es Salaam, anashikiliwa na Taasisi ya...

Habari Mchanganyiko

Mamia wamzika mpigapicha wa waziri mkuu Tanzania

MKUU wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Tom Apson ameongoza mazishi ya Chris Mfinanga, aliyekuwa mpigapicha wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa yaliyofanyika kwenya...

Habari Mchanganyiko

Maofisa wanne NEMC kufikishwa mahakamani

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inawafikisha watumishi wanne wa Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC) katika Mahakama ya...

Habari Mchanganyiko

Balozi Seif akerwa talaka za ovyo, unyanyasaji Z’bar

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ameitaka Tume ya Haki za Binadamu Tanzania kufanya wajibu wake wa kuwaelimisha...

Habari Mchanganyiko

Maofisa 4 NEMC mbaroni tuhuma za utakatishaji fedha

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inawashikilia watumishi wanne wa Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC) kwa tuhuma mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Watatu mbaroni tuhuma mauaji ya dereva tax Dar

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER), Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis atoa wito

PAPA Francis, Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani amesema, dunia haiwezi kupuuza ubaguzi wa rangi na kutengwa kwa watu. Inaripoti Mitandao ya kimataifa...

Habari Mchanganyiko

Rushwa ya 100,000 yamponza muuguzi

RICHARD Zablon, muuguzi katika Zahanati ya Chamwino, jijini Dodoma, leo tarehe 3 Juni 2020 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini humo, kwa...

Habari Mchanganyiko

Akopesha wananchi kisha awasulubu

NELSON Ndalu (67) anatuhumiwa kukopesha wananchi kwa riba kubwa na kisha kuwafilisi kwa kutaifisha mali zao kinyume cha sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Uhamiaji wakabidhiwa nyumba 103, Majaliwa awapa ujumbe

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka Idara ya Uhamiaji kutambua wajibu wao wa kutoa huduma iliyobora na inayokidhi matarajio ya wateja ambao...

Habari Mchanganyiko

Bei za petroli, dizeli Dar ‘buku jero’

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya taa zitakazoanza...

Habari Mchanganyiko

Makonda aruhusu daladala kusimamisha wanafunzi, atoa onyo kwa polisi 

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda, ameziagiza daladala jijini humo, kutowaacha wanafunzi vituoni kwa kigezo cha kubeba abiria...

Habari Mchanganyiko

Aliyekuwa bosi MSD, mwenzake mikononi mwa Takukuru

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), inamshikilia aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Kaimu mkurugenzi wa Lojistiki wa...

Habari Mchanganyiko

Gazeti la MSETO lashinda kesi tena mahakamani

MAHAKAMA ya Rufaa ya Afrika Mashariki (EAC), imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Jamhuri dhidi ya gazeti la kila wiki la MSETO, kupinga gazeti...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy: Corona ipo

LICHA ya ripoti ya maambukizi ya virisi vinavyosababisha ugonjwa wa corona kupungua nchini, ugonjwa huo haujaisha nchini. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kauli hiyo imetolewa...

Habari Mchanganyiko

Benki ya TPB, TIB Corparate zaunganishwa

SERIKALI ya Tanzania imetangaza kuziunganisha Benki ya TPB na TIB Corparate kuanzia leo tarehe 1 Juni, 2020. Anaripoti Mwandishi, Dodoma … (endelea). Akizungumza...

Habari Mchanganyiko

Ya Martin Luther king 1968, yashuhudiwa tena 2020 Marekani

MAANDAMANO, vurugu na uharibifu katika kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani mwaka 1968, chini ya mwanaharakati Martin Luther King Jr, sasa yanashuhudiwa tena. Inaripoti...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro: Hatutaki matatizo uchaguzi mkuu 2020

IGP Simon Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini amesema, kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, jeshi hilo halitaki matatizo na mtu yeyote....

Habari Mchanganyiko

Dawasa wakabidhiwa miradi 341, Prof. Mkumbo awapa heko

WIZARA ya Maji nchini Tanzania, imeipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), kwa kushughulikia matatizo ya maji kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mauaji ya Floyd: Hali ilivyo miji 25 Marekani

MAUAJI yaliyofanywa na polisi wa Mji wa Minnesota, yamebadili taswira ya miji 25 ya Marekani na kuwa ya vurugu, maandamano na uharibifu wa...

Habari Mchanganyiko

Maji kukoseka saa 24 Vigwaza, Buyuni, Dawasa yawaomba radhi

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imetangaza ukosefu wa maji kwa saa 24 kwa wakazi wa maeneo ya...

Habari Mchanganyiko

Bunge labainisha mambo nane yanayotafuna halmashauri

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) nchini Tanzania, imetaja changamoto nane zinazopelekea matumizi mabaya ya fedha za...

Habari Mchanganyiko

Mashtaka ya Idrisa Sultan haya hapa

IDRIS Sultan, msanii wa vichekesho na mwenzake Innocent Maiga, wamepandishwa kizimbani kujibu tuhuma za makosa ya mtandaoni. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Dereva wa IT aliyewapa lifti watu wane, nusura auawe

JESHI la Polisi jijini Dodoma limeeleza, kuwa dereva wa gari namba T.237 DSJ aina ya Subaru (IT), aliyewapa lifti watu wawili waliokuwa wakienda...

Habari Mchanganyiko

Biashara holela zamuibia mbunge, waziri amjibu

MBUNGE wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Asha Abdallah Juma ameitaka Serikali ya Tanzania kueleza jinsi ilivyojipanga katika udhibiti wa ufanyaje...

Habari Mchanganyiko

Netanyahu azidiwa mbinu, apiga yowe

USHAWISHI wa Vyama vya Upinzani nchini Israel, umefanikiwa kumpandisha kizimbani Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa taifa hilo kwa tuhuma za ufisadi, udanganyifu na...

Habari Mchanganyiko

Vifaa vya upekuzi, kamera za CCTV kufungwa magerezani

SERIKALI ya Tanzania imesema, inakusudia kuongeza vifaa vya upekuzi magerezani na kufunga kamera za CCTV ili kubaini matendo maovu yanayofanyika ndani ya magerezani....

error: Content is protected !!