Friday , 29 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Sasa naomboleza kifo cha mama – kabendera

ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani na nje ya nchi, amesema ‘sasa naomboleza kifo cha mama yangu.” Anaripoti Hamis Mguta, Dar...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Kampuni za upimaji zapigwa ‘stop,’ Goba yawa mfano

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza kampuni za upangaji na upimaji kutochukua kazi mpya kabla ya kumaliza kazi...

Habari Mchanganyiko

Mtatiro aagiza AMCOS Ruvuma vichunguzwe

JULIUS Mtatiro, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuchunguza Vyama vya Ushirika vya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Madaktari wamwangukia Rais Magufuli

CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT), kimemuomba Rais John Magufuli kuongeza vibali vya ajira, ili kupunguza wimbi la madaktari wasiokuwa na ajira mitaani, pamoja...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yachoshwa na danadana kesi ya Tito

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Februari 2020, imeagiza upande wa Jamhuri kueleza bayana hatua iliyofikiwa katika upelelezi...

Habari Mchanganyiko

NBS yaeleza hali ya umasikini nchini

DAKTARI Albina Chuwa, Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), amesema kasi ya upunguaji umasikini kwa Watanzania imeongezeka, ukilinganisha na nchi za...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya ‘kimapinduzi’ yasogezwa mbele

KESI iliyofunguliwa na Ofisa wa Mtandao wa Haki za Binaadamu (THRDC), Paul Kisabo kupinga washtakiwa wa makosa ya uhujumu kunyimwa dhamana, imesogezwa mbele. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Idd Simba afariki dunia

MFANYABIASHARA, Mbunge wa zamani wa Ilala na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Idd Simba (85) amefariki dunia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...

Habari Mchanganyiko

Kesi za ‘kimapinduzi’ kuanza kuunguruma

KESI za kupinga watuhumiwa kukamatwa kabla ya upelelezi kukamilika, pamoja na kunyimwa haki ya dhamana inaanza kutajwa leo tarehe 13 Februari 2020. Anaripoti Faki...

Habari Mchanganyiko

Wizara Afya yakabidhiwa hospitali ya Maweni

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imekabidhiwa rasmi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Maweni. Anaripoti Mwandishi wetu, Kigoma…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyechana Qur’an; JPM ‘akubali’ hoja ya Sheikh Ponda, Kishki

DANIEL Maleki (30), aliyechana kitabu kitukufu cha Qur’an, wilayani Kilosa katika Mkoa wa Morogoro, amefukuzwa kazi rasmi leo tarehe 11 Februari 2020. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Virusi vya Corona vyauwa watu 1,000, Watanzania waishio China njiapanda

WATANZANIA waishio nchini China,  wako njia panda baada ya kukwama kurejea nchini kufuatia mlipuko hatari wa Virusi vya Corona, vilivyopoteza maisha ya watu...

Habari Mchanganyiko

Kabendera aanza kuona nuru

MAZUNGUMZO ya kukiri makosa kati ya mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera na Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP) yapo kwenye hatua ya...

Habari Mchanganyiko

Hofu ya magonjwa ya mlipuko yatanda soko la 77

WAKAZI wa Jiji la Dodoma wamehofia kupata magonjwa ya mlipuko wa matumbo au kipindupindu kutokana na kutozingatiwa kwa kanuni za usafi hususani katika...

Habari Mchanganyiko

Mfumko wa bei washuka

MFUMKO  wa bei wa taifa kwa mwaka ulioishia Januari 2020, umepungua hadi asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.8 kwa mwaka ulioishia Desemba 2019. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

TRC yasitisha safari za treni 

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC), limetangaza kusitisha huduma za usafiri wa treni za abiria na mizigo kwa muda, hasa kati ya Dar es...

Habari Mchanganyiko

Vifo vya ‘Mwamposa’: Kanisa labebeshwa gharama

SERIKALI imesema, Kanisa la Inuka Uangaze la Mchungaji Boniface Mwamposa, lina jukumu la kugharamia msiba wa watu 20 waliofariki wakati wa kukanyaga mafuta...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Mwamposa atuhumiwa kwa mauti, atiwa mbaroni Dar

MCHUNGAJI na Mtume Boniface Mwamposa, kiongozi wa Kanisa la Inuka Uangaze, amekamatwa na polisi Jijini Dar es Saalam, baada ya kusababisha vifo vya...

Habari Mchanganyiko

Rugemalira atoa ombi rasmi kortini

JAMES Rugemalira, mfanyabiashara mkubwa na mshtakiwa wa kesi ya utakatishaji fedha, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kufuatilia barua...

Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara pombe kali, wenzake wafikisha kortini

MFANYABIASHARA wa pombe kali na Mkurugenzi wa Kampuni ya Jaluma General Suppliers Limited Lucas Mallya na wenzake wanane, wamefikishwa mahakamani kwa makosa 28...

ElimuHabari Mchanganyiko

UDOM yaanza kutoa msaada wa kisheria bure

KITUO cha Msaada wa Kisheria kutoka Chuo Kikuu cha Dododoma (UDOM), kimeanza kutoa huduma ya elimu ya sheria bure kwa wakazi wa jiji...

Habari Mchanganyiko

Serikali yachukua hatua kukabili virusi vya Corona

SERIKALI imejipanga kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona, kwa kuanza ukaguzi wa watu wanaoingia nchini, pamoja na kuanzisha maeneo ya kutibu wagonjwa...

Habari Mchanganyiko

Mahabusu wabebwa kwa bodaboda

UKOSEFU wa usafiri katika Gereza la Ulanga, Morogoro, imesababisha mahabusu kusafirishwa kwa bodaboda kupelekwa mahakamani. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 28...

Habari Mchanganyiko

Asasi za kiraia kuwasilisha taarifa kila robo mwaka

WAMILIKI wa Asasi zisizokuwa za kiserikali katika Jiji la Dodoma zimekubaliana kuwa zitakuwa zinawasilisha taarifa zao za kila robo ya mwaka kwa Afisa...

Habari Mchanganyiko

Makontena ya makinikia sasa kuuzwa

HATIMAYE Rais John Magufuli ameagiza makontena 277 ya makinikia, yaliyozuiwa katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa zaidi ya miaka miwili yauzwe. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wazamiaji Afrika Kusini wadakwa, wafikishwa Kisutu

WATANZANIA 30 waliorudishwa nchi kutoka Afrika Kusini, walikokuwa wakiishi kinyemelea, wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu, kujibu tuhuma za kusafiri kinyume cha sheria. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yaokoa Bil 4

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru), imeeleza kufanikiwa kuokoa zaidi ya Sh. 4 Bil baada ya kufanyia kazi ripoti ya...

Habari Mchanganyiko

Tahadhari: Mvua kubwa yaja

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imeeleza utabiri wake kwamba, kutakuwa na mvua kubwa kwa siku tano mfululizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

TCU yafuta vyuo vikuu, vishirikishi

TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefuta hati za usajili za vyuo vitatu na chuo kikuu kishiriki kimoja, baada ya kubaini kukosa uwezo...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara soko la kuku Dodoma wapewa angalizo

WAFANYABIASHARA wa soko la kuuza na kuchinja kuku lililopo Mwembe Tayari, jijini Dodoma wametakiwa kufanya biashara hiyo kwa kuzingatia kanuni na sheria za usafi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

RC aongoza mazishi Katibu BAKWATA

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Benilth Mahenge, ameongoza mamia ya waombelezaji katika mazishi ya Twaha Mwaya, aliyekuwa Katibu wa Baraza la Waislamu...

Habari MchanganyikoTangulizi

TCRA: Tumezima laini 975,041, wengine wanafuata

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imefunga laini za simu 975,041, zisizosajiliwa kwa mfumo wa alama ya vidole. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Kauli ya matumaini usajili laini za simu

WANANCHI ambao hawajasajili laini zao za simu, lakini tayari wamefanya baadhi ya taratibu, busara itatumika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kogoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa...

Habari Mchanganyiko

Mtumishi TPA kizimbani kwa Utakatishaji wa Bil. 5.8

ALIYEKUWA Mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Stephen Mtui amefikishwa katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi mbili Ikiwemo utakatishaji fedha...

Habari Mchanganyiko

Marufuku kuuza chakula, matunda karibu ya vyoo

MGANGA Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dk. Gatete Mahava ametoa onyo kwa wafanyabiashara wote wanaouza chakula au matunda karibu na vyoo...

Habari Mchanganyiko

Familia ya Kabendera hali mbaya, kampeni ya kuichangia yaanzishwa

KUFUATIA hali mbaya ya kiuchumi inayopitia Familia ya Mwanahabari Erick Kabendera, aliyeko mahabusu kwa zaidi ya miezi mitano katika Gereza la Segerea jijini...

Habari Mchanganyiko

Waganga wa jadi watapeliwa Mil 5

WAGANGA 40 wa tiba asili na tiba mbadala, wametapeliwa kiasi cha Sh. 5.2 Mil na watu waliojifanya kuwa viongozi wa Baraza la Tiba...

Habari Mchanganyiko

Dawa za kulevya, utakatishaji fedha zamkaba koo kortini

ABUU Kimboko, Mkazi wa Mbagala Rangitatu, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa mashtaka mawili, likiwemo la...

Habari Mchanganyiko

Simulizi za vifo Singida – Abdul Nondo

ABDUL Nondo, Mwanaharakati wa Haki za Binadamu amefanya utafiti mfupi kuhusu huduma ya afya katika Kata ya Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani Singida....

Habari Mchanganyiko

Askari aliyejitosa kwenye matanki ya mafuta apandishwa cheo

WILSON Mwageni, Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini aliyeonyesha ushujaa baada ya kuingia kwenye eneo lililokuwa na matanki ya mafuta yanayowaka...

Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa azidunda kortini kupinga masharti ya dhamana

DANIEL Njonjo, anayetuhumiwa kwa shtaka la kufanya vurugu, amepigana na polisi katika korti ya Mahakama ya Milimani jijini Nairobi, Kenya, akipinga sharti la...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaweka kiporo kesi ya Meya Dar

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kutolea maamuzi maombi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, kuzuia baadhi ya madiwani...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi nchini kujengewa uwezo

SERIKLI imesema, imeweka mikakati ya kuhakikisha inawawezesha na kuwajengea uwezo wakandarasi wazalendo, ili waweze kutekeleza miradi mikubwa badala ya kusubiri wakandarasi wa kigeni. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Tito: Utetezi waja na rai mpya kwa serikali

UPANDE wa utetezi kwenye kesi namba 137/2019, inawamkabili wanaharakati Tito Magoti na Theodory Giyan, umetoa rai kwa serikali kutokamata watuhumiwa bila kufanya upelelezi....

Habari Mchanganyiko

Wanne kizimbani kwa kuiibia polisi Sh 798 milioni

WATU Wanne akiwamo Ofisa wa Jeshi la Polisi, wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa makosa ya...

Habari Mchanganyiko

Kizimbani kwa kukeketa watoto wake

COSMAS Chacha (45), Mkazi wa Kivule, jijini Dar es Salaam amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa makosa ya ukeketeji watoto wake...

Habari Mchanganyiko

Hofu ahadi ya Iran; Marekani yatoa tahadhari

KUFUATIA kiapo cha kisasi kilichowekwa na Irani dhidi ya Marekani, baada ya Meja Jenerelali Qasem Soleiman, kiongozi wake mwandamizi wa Jeshi kuuawa, Wamarekani...

Habari Mchanganyiko

Bobi Wine amtesa Museveni, adakwa na polisi

ROBERT Kyagulanyi (Bobi Wine) ambaye nimpinzani wa Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekamatwa na Jeshi la Polisi katika Kituo cha Kasangati, nchini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wezi wapora vifaa vya NIDA, wawili wanaswa

WATU wasiojulikana wametoweka na vifaa vya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wilayani Arumeru, Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Watu hao wameiba kompyuta mpakato (laptop) mbili,...

Habari Mchanganyiko

Polisi Tabora kuwasaka watu wanaotaka kujinyonga

JESHI la Polisi mkoani Tabora limesema litafanya doria ya kuwabaini watu wanaotaka kujinyonga, kisha kuwafikisha mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Barnabas Mwakalukwa,...

error: Content is protected !!