Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko TMA: Kimbunga Jobo kimepungua nguvu
Habari Mchanganyiko

TMA: Kimbunga Jobo kimepungua nguvu

Spread the love

 

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kimbunga ‘JOBO’ kipo umbali wa kilomita 200 mashariki mwa kisiwa cha Mafia. Kimbunga hicho kimepungua nguvu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi, tarehe 24 Aprili 2021 na TMA imesema, kimbunga hicho kimepungua nguvu kwa haraka baada ya kuingia katika mazingira yenye mzunguko wa upepo kinzani.

“Hivyo, Jobo kwa sasa ni kimbunga hafifu kinachosafiri kwa kasi ya kilomita 18 kwa saa baharini,” imesema TMA

Hata hivyo, mamlaka hiyo ya hewa, imewashauri wananchi, kuendelea kuchukua tahadhari na kufuatilia taarifa za hali ya hewa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, Milioni 180…

Spread the loveMSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako...

error: Content is protected !!