Wednesday , 1 May 2024
Home mwandishi
8754 Articles1256 Comments
Afya

Dk. Gwajima abaini hasara bilioni 1 hospitali ya Tumbi

  UCHUNGUZI wa tathmini ya uwepo wa thamani ya fedha katika utekelezaji wa mradi wa upanuzi na uboreshaji wa Hospitali ya Rufaa ya...

Afya

Kujifukiza elfu 5 Muhimbili

  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam (MNH), imefunga mashine nne za kutoa dawa kwa njia ya mvuke ili kusaidia wagonjwa...

Kimataifa

Kesi mauaji ya Jamal Khashoggi yaanza tena

MAHAKAMA ya mjini Istanbul nchini Uturuki, imeanza vikao vya kusikiliza kesi inayohusu mauaji ya aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa utawala wa Saudi Arabia na...

Michezo

Majizo amkingia kifua Lulu “aliambiwa ana uchumba sugu”

  FRANCIS Ciza maarufu Majizo, amejitokeza kumzungumzia mke wake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa uvumilivu aliouonyesha wakati wa uchumba wao na hatimaye ndoa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi amteua Dk. Mkuya, Nassor Mazrui

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amewaingiza kwenye baraza lake la amwaziri Dk. Saada Mkuya Salum, Nassor Ahmed Mazrui na Omar Said...

Kimataifa

Angola, Rwanda, DRC, Rwanda, Kenya zanufaika chanzo ya corona

  NCHI kadhaa Afrika ikiwa ni pamoja na Rwanda, Kenya, Uganda, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), tayari zimepokea chanjo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Maalim Seif ataja ‘kilichombeba’

  OTHMAN Masoud Sharif, Makamu wa Kwanza wa Rais visiwani Zanzibar, ametaja mambo matatu yaliyombeba kuteuliwa katika nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapadri 25, Masista 60 waaga dunia Tanzania

  TAKRIBANI mapadri 25, masista, manesi na madaktari 60 wa Kanisa Katoliki Tanzania, wamefariki dunia kutokana na tatizo la kupumua, ndani ya kipindi...

Habari za Siasa

Bawacha yasitisha kongamano la siku ya wanawake duniani

  BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokarasia na Maendeleo (Bawacha), nchini Tanzania, limesitisha kongamano la ‘Siku ya Wanawake Duniani’ kitaifa, lililopangwa kufanyika...

Habari Mchanganyiko

TCRA yajitosa bei za vifurushi

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetengeneza kanuni ndogo zitakazoratibu bei za vifurushi vya mitandao ya simu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Huawei yaunga mkono malengo endelevu UN

  KAMPUNI ya Huawei, imeunga mkono Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (UN SDGs), katika kujenga ulimwengu wa kijani, ubunifu na...

Habari

Pikipiki 16 zakamtwa Dar, 10 mbaroni

WATU 10 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa pikipiki. Anaripoti Mwandishi...

Afya

Gharama kipimo cha corona Z’bar yapaa

  KUPIMA virusi vya corona (COVID-19), visiwani Zanzibar sasa ni Dola za Marekani 80 (zaidi ya Sh.180,00), badala ya Sh.30,000 za awali. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi atoa fursa kwa wanahabari Z’bar

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amewataka waandishi wa habari visiwani humo, kuandaa namna bora ya kuunda sheria mpya ili kuimarisha sekta...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi: Nileteeni anayefanana na Maalim Seif

  SIKU chache baada ya Maalim Seif Shariff Hamad (71), aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais visiwani humo kufariki dunia, Rais wa Zanzibar,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amuapisha Katibu Mkuu Kiongozi mpya

  DK. Bashiru Ally, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameapishwa rasmi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: Nilipata taarifa za uteuzi mitandaoni

  DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu Kiongozi amesema, taarifa za kuteuliwa kwake, kwa mara ya kwanza alizipata kupitia mitandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Kimataifa

Mauaji ya Jamal Khashoggi, CIA yaivua nguo Saudia Arabia

  RIPOTI mpya iliyotolewa na shirika la kijasusi la Marekani (CIA), imemtaja mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia Arabia, Mohammed Bin Salman,...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amteua Dk. Bashiru kumrithi Balozi Kijazi

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaan … (endelea). ...

Habari Mchanganyiko

Panyabuku waanza kubaini TB

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imeanza kutumia teknolojia ya panyabuku, kubaini ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB), kwa sampuli za wagonjwa wenye dalili...

Afya

COVID-19: Waziri Gwajima ‘matamko yametosha’

  DAKTARI Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania amesema, matamko kuhusu magonjwa ya kuambukiza ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa KKKT Kaskazini afariki dunia

  ARTHUR Shoo, Katibu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini, amefariki dunia jana Alhamisi usiku, tarehe 25...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza mchakato mrithi wa Halima Mdee

  BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), limetangaza mchakato wa kuwapata viongozi wake ngazi ya juu, ikiwemo ya mwenyekiti...

Elimu

Shule ya Kandwi Z’bar yapata neema

  BENKI ya Exim imetoa Sh.10 milioni kwa taasisi ya Asma Mwinyi Foundation (AMF), kwa ajili ya kuwezesha ununuzi wa vifaa vya ujenzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Hatuchukii kukosolewa, ila kosoeni kwa staha

  RAIS wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amesema, serikali yake haikasirishwi na vyombo vya habari vinavyoikosoa, lakini ukosoaji huo, ni sharti uwe...

Kimataifa

Marekani yafanya ‘uchochezi,’ yawaonya wanaokuja Tanzania

  SERIKALI ya Marekani nchini Tanzania, imeonya wasafiri wanaotaka kutembelea taifa hilo kutofanya hivyo, kufuatia kuwapo kwa maambukizi makubwa ya virusi vya Corona....

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli alivunja Jiji la Dar, watumishi wake…

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli, ameivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa...

Habari za Siasa

JPM: Sitaki kisingizio cha corona

  RAIS John Magufuli ametaka miradi mbalimbali nchini kukamilika kwa wakati, na kwamba hataki kusikia imesimama kwa sababu ya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi walilia madarasa Mtwara, Silinde awajibu

  WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Mpowora, Wilaya ya Masasi, Mkoa wa Mtwara, wameiomba Serikali kuwajengea madarasa kwani yaliyopo ni mabovu na yanahatarisha...

Kimataifa

Balozi aliyeuawa Congo, mwili warejeshwa Roma

  MWILI wa Luca Attanasio, aliyekuwa Balozi wa Italia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umerejeshwa Roma nchini humo kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Magufuli akumbusha machungu ya Waziri Mkuu Pinda

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amekumbusha ‘machungu’ ya Mizengo Pinda, aliyekuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya awamu ya nne kuhusu bomoabomoa ya...

KimataifaMichezo

Tiger Wood apata ajali mbaya, alazwa ICU

  MCHEZAJI namba moja wa gofu duniani, Tige Wood amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari Los Angeles, Marekani. Inaripoti Aljazeera …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli anazindua Daraja la Juu la Kijazi

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, leo Jumatano tarehe 24 Februari 2021, amezindua Daraja la Juu la Ubungo, jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo kwa wazazi, walezi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wazazi na walezi wahakikishe wanawapunguzia watoto majukumu ya nyumbani na kuwawezesha kupata muda wa kujisomea...

Habari za Siasa

Uwekezaji si lazima pesa nyingi – Dk. Kitila

WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwekeza, kwa kuwa uwekezaji si lazima kuwa na pesa nyingi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida…(endelea). Kauli hiyo imetolewa na...

Habari Mchanganyiko

Corona: Bila kutimiza masharti haya, hupandi mwendokasi

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), umetoa maelekezo kwa abiria wanaotumia usafiri huo jijini Dar es Salaam, wa namna bora ya kujikinga...

Kimataifa

Balozi wa Italia auawa DRC

  LUCA Attanasio, Balozi wa Italia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ameuawa katika shambulio lililolenga magari ya Umoja wa Mataifa (UN)....

Elimu

Shule yenye darasa moja tangu 2014

  BWANAHERI Akili, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi, Namalombe iliyopo Nanyumbu mkoani Mtwara, ameiomba serikali kujenga madarasa mengine katika shule yake kwa...

Habari za Siasa

CCM yapoteza mwenyekiti wake Simiyu

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo, amefariki dunia leo asubuhi Jumanne, tarehe 23 Februari 2021, Hospitali ya...

Habari Mchanganyiko

Mwili wa Dk. Likwalile kuzikwa leo Mpiji Magoe

  MWILI wa katibu mkuu wa zamani wa wizara ya fedha na mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, unazikwa leo Jumanne tarehe 23...

Kimataifa

Maelfu Myanmar walivimbia jeshi

  MAELFU ya wananchi wa Myanmar wamejitokeza katika miji mbalimbali nchini humo, wakipinga utawala wa kijeshi. Inaripoti Aljazeera…(endelea). Taarifa kutoka Myanmar zinaeleza, kwamba biashara...

Habari Mchanganyiko

Nzige kuangamizwa kwa ndege Longido, Simanjiro

SERIKALI imepanga kutumia ndege ya kunyunyuzia sumu ili kuangamiza wadudu waharibifu aina ya nzige katika wilayani Longido na Simanjiro. Aanaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kauli...

Habari za Siasa

Pigo Chadema, yapoteza ‘kamanda’ wake

  EMMANUEL Lukmai, alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Bagamoyo amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Elimu

Bweni lamuweka matatani Mkuu wa Shule Naliendele

  HALIDI Mchanga, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Naliendele, amesimamishwa kazi kwa kushindwa kukamilisha mradi wa bweni na bwalo la chakula katika...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Jitahadharini na corona

  RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kujihadhari na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Ametoa wito...

Habari Mchanganyiko

Mwili wa Balozi Kijazi wazikwa

  MWILI wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi (64), umepumzishwa katika makazi yake ya milele. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoHealth

Majaliwa: Hakuna aliyekatazwa kuvaa barakoa

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, hakuna anayekatazwa kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukiza. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Majaliwa ametoa kauli...

Habari za Siasa

Chanzo kifo cha Balozi Kijazi chatajwa

  ALIYEKUWA Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi (64), amefariki dunia kutokana na maradhi ya moyo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli atoboa siri yake na Balozi Kijazi

  SAFARI ya ushirikiano baina ya Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli na aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wake, Balozi John Kijazi, ilianza tangu...

Habari za Siasa

Waziri Mpango mgonjwa, Magufuli asoma ‘sms’ aliyotumiwa

  JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania, amelazimika kusoma hadharani ujumbe aliotumiwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, ili kukanusha taarifa...

error: Content is protected !!