Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Corona: Bila kutimiza masharti haya, hupandi mwendokasi
Habari Mchanganyiko

Corona: Bila kutimiza masharti haya, hupandi mwendokasi

Spread the love

 

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), umetoa maelekezo kwa abiria wanaotumia usafiri huo jijini Dar es Salaam, wa namna bora ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kwa umma, iliyotolewa jana Jumatatu tarehe 22 Februari 2021, na Kitengo cha Mawasiliano cha Dart, imeeleza masharti sita ambayo abiria anapaswa kuyazingatia.

Miongoni mwa masharti hayo ni; kunawa mikono kwa kutumia maji safi tiririka na sababu vilivyowekwa katika vituo vya mabasi na kuvaa barakoa muda wote unaposafiri na mabasi ya Dart, hususan nyakati za asubuhi na jioni.

Pia, Dart imesema, barako inapaswa kuwa imeidhinishwa na wizara ya afya kupitia Bohari ya Madawa ya Taifa (MSD), ama za kitambaa za kujishonea mwenyewe.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, Milioni 180…

Spread the loveMSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako...

error: Content is protected !!