Saturday , 11 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Corona: Bila kutimiza masharti haya, hupandi mwendokasi
Habari Mchanganyiko

Corona: Bila kutimiza masharti haya, hupandi mwendokasi

Spread the love

 

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), umetoa maelekezo kwa abiria wanaotumia usafiri huo jijini Dar es Salaam, wa namna bora ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kwa umma, iliyotolewa jana Jumatatu tarehe 22 Februari 2021, na Kitengo cha Mawasiliano cha Dart, imeeleza masharti sita ambayo abiria anapaswa kuyazingatia.

Miongoni mwa masharti hayo ni; kunawa mikono kwa kutumia maji safi tiririka na sababu vilivyowekwa katika vituo vya mabasi na kuvaa barakoa muda wote unaposafiri na mabasi ya Dart, hususan nyakati za asubuhi na jioni.

Pia, Dart imesema, barako inapaswa kuwa imeidhinishwa na wizara ya afya kupitia Bohari ya Madawa ya Taifa (MSD), ama za kitambaa za kujishonea mwenyewe.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vijana UVCCM Kagera wataka mwenyekiti wao ajiuzulu

Spread the loveVIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC, Wizara ya Katiba wajadili uanzishaji haki binadamu katika biashara

Spread the loveMTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Sitta ang’ang’ana wanafunzi watibiwe bure, Serikali yagoma

Spread the loveMBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Waitara ahoji bungeni mwarobaini mauaji katika mgodi Barick North Mara

Spread the loveMBUNGE wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara, ameitaka Serikali kutafuta...

error: Content is protected !!