Sunday , 26 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Kigogo wa KKKT Kaskazini afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Kigogo wa KKKT Kaskazini afariki dunia

Arthur Shoo
Spread the love

 

ARTHUR Shoo, Katibu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini, amefariki dunia jana Alhamisi usiku, tarehe 25 Februari 2021, Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Moshi mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro … (endelea).

Dk. Fredrick Shoo, Mkuu wa KKKT, ambaye pia ni mkuu wa Dayosisi hiyo, amesema Arthur alifikwa na mauti jana usiku wakati akiendelea na matibabu hospitalini hapo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mchina wa SGR aburuzwa kortini kwa kumjeruhi Mtanzania, TRC waja juu

Spread the love  RAIA wa China, Zheng Yuan Feng, amefikishwa mahakamani kwa...

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

Spread the love  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

Spread the love  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

Spread the loveBENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni...

error: Content is protected !!