Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli anazindua Daraja la Juu la Kijazi
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli anazindua Daraja la Juu la Kijazi

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, leo Jumatano tarehe 24 Februari 2021, amezindua Daraja la Juu la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ambalo limepewa jina la ‘Daraja la Kijazi.”

Jina hilo jipya la Kijazi ni kukumbuka mchango wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Tanzania, Balozi Mhandisi John Kijazi, aliyefariki dunia tarehe 17 Februari 2021, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!