Friday , 26 April 2024

Month: June 2019

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kuvuliwa Ubunge: Chadema yabadili gia angani

HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumvua ubunge Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki siku mbili zilizopita, kumejibiwa vikali na Chama cha...

Habari za Siasa

DPP aikabidhi BoT fedha, madini yaliyotaifishwa

BISWALO Mganga, Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP) ameikabidhi Benki Kuu ya Tanzania (BoT) madini ya dhahabu, vito mbalimbali na fedha za kigeni, zilizotaifishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Nyalandu, Lema, Mch. Msigwa watoa neno Lissu kuvuliwa ubunge

HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumvua Tundu Lissu Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki kwa kile alichoeleza kwamba hajatoa taarifa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu avuliwa ubunge

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, ametangaza kumvua ubunge, mbunge wa jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, Anaripoti Saed Kubenea…(endelea). Akizungumza...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa Serikali wawalazikisha wapinzani kurudisha kadi

WANACHAMA wa vyama vya upinzani katika kata mbalimbali wilayani Chemba, Dodoma wamelalamikia vitendo vya watendaji wa kata kuwalazimisha kurudisha kadi za vyama vyao...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji washauriwa kutumia hospitali ya mifugo SUA

WAFUGAJI wa mifugo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia hospitali ya Rufaa ya Magonjwa ya Mifugo Tanzania iliyopo Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)...

Habari za Siasa

CUF wacharuka kufukuzwa Wenyeviti wake

UONGOZI wa Chama cha Wananchi CUF wameanza kutafuta mwarobaini wa kuwarejesha wenyeviti sita wa Wilaya ya Chemba, Dodoma pamoja na mikoa mingine walioondolewa...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Msajili ana ugomvi gani na Azaki?

TAREHE 9 Agosti 2017, msajili wa asasi za kiraia alitoa maagizo kwa asasi za kiraia nchini kufanya kuhakiki wa uwepo wao. Uhakiki ulihusu...

Habari za SiasaTangulizi

Deus Kibamba: Hakutakucha hadi tukorome

WADAU mbalimbali wa masuala ya haki ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza jana walikusanyika kwenye ukumbi wa Kilimanjaro, katika Hoteli ya Seashells, Makumbusho,...

Habari za Siasa

Takukuru yakwama kuwahoji viongozi ACT-Wazalendo

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) imeshindwa kuwahoji viongozi waandamizi wa Chama cha ACT-Wazalendo, kwa kile kilichodaiwa kuwa Ofisa aliyetakiwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ampa kazi Rostam Aziz

RAIS John Magufuli amempa kazi Rostam Aziz, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Limited, kutafuta wawekezaji. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Amempa...

Michezo

Rais Magufuli awapa moyo Taifa Stars, akubali mziki wa Senegal

RAIS John Magufuli amewapa moyo wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kufuatia kupoteza mchezo wao wa kwanza katika Michuano ya...

Habari za Siasa

Waraka mpya vitambulisho ujasiriamali kutolewa

SERIKALI imesema, ifikapo Julai Mosi mwaka huu itatoa waraka mahsusi utakaoainisha wajasiriamali wanaopaswa kupatiwa vitambulisho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli hiyo imetolewa leo...

Habari za Siasa

Ngono yataabisha mabinti-Mbunge

MGENI Jadi Kadika, Mbunge Viti Maalumu (CUF) ameiomba serikali iunde kamati maalumu ya kufuatilia mtandao wa watu wanaofanyisha watoto wa kike baishara ya...

Habari za SiasaTangulizi

Hati ya dharura: Zitto aeleza hofu

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeupinga Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Makampuni, kikisema ni hatari kwa masuala ya uwekezaji nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na...

Habari Mchanganyiko

‘Kitanzi’ cha AZAKI chalalamikiwa

ASASI za Kiraia nchini (AZAKI) pamoja na watetezi wa haki za binadamu, wameiomba serikali kuondoa bungeni muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Wadau waombwa kusaidia taulo za kike kwa watoto yatima

SERIKALI na wadau mbalimbali wameombwa kutoa msaada taulo za kike (pedi) kwa mabinti waliopo kwenye vituo vya kulelea watoto yatima na walemavu kufuatia...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aivimbia serikali

JOSEPH Kasheku (Msukuma), Mbunge wa Geita (CCM), amevutana na serikali kuhusu utaratibu wa Jeshi la Polisi kutumia wanaume kukagua wanawake. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za Siasa

Polepole ‘aota’ majimbo ya upinzani Kaskazini

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema chama hicho kitayarudisha majimbo yote yaliyochukuliwa na vyama vya upinzani...

Afya

Mashine za kupimia wingi damu changamoto Mwanza

IMEELEZWA kuwa baadhi ya vituo vya afya mkoa wa Mwanza vinakabiliwa na ukosefu wa mashine za kupimia wingi wa damu kwa kinamama wajawazito...

Habari za Siasa

Dk. Tulia: Nendeni mahakamani

NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Ackson Tulia amewataka wabunge wanaodai kuchafuliwa kwa kuandikwa hovyo na baadhi ya magazeti, waende kushitaki mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Michezo

Mahakama yampa onyo kali Wema

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imerejesha dhamana ya Wema Sepetu, Msanii wa Filamu nchini huku ikimpa onyo la kutorejea...

Habari Mchanganyiko

‘Mamba wanatafuna watu Mto Rufiji’

MOHAMMED Mchengelwa, Mbunge wa Rufiji amesema, changamoto ya uhaba wa maji inahatarisha maisha ya wananchi wake, kufuatia baadhi yao kuliwa na mamba wanakichota...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali inataka kusimamisha au kusimamia dini?

SERIKALI ya Rais John Magufuli, imewasilisha bungeni, muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali – The Written Laws Miscellaneous Amendments No.3 ya mwaka 2019...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba aichambua Ripoti ya Hali ya Uchumi

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF, ameichambua Ripoti ya Serikali ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2018, akisema kwamba baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

AZAKI zapinga mapendekezo Sheria ya Takwimu, NGo’S

WADAU wa haki za kijamii nchini wameiomba serikali kurekebisha baadhi ya mapendekezo ya marekebisho ya sheria mbalimbali, ikiwemo Sheria ya Mashirika Yasiyo ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania yaita wawekezaji zao la Korosho

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa wito kwa wawekezaji wa ndani na wa nje ya nchi wenye nia ya kuwekeza katika zao la...

SiasaTangulizi

Kodi taulo za kike: Zitto ajenga hoja

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amepinga pendekezo la serikali la kurejesha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwenye taulo za...

Habari Mchanganyiko

Waziri Kamwele aagiza mazito Mwanza

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwele amemuagiza mkandarasi wa kampuni ya STX Sekyong LTD inayojenga chelezo la meli mpya katika...

Afya

Vipimo vya Dengue kutolewa bure

SERIKALI imesema vipimo vya homa ya Dengue vitatolewa bure kwa wananchi katika vituo vya afya na hospitali za umma. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo...

Habari za Siasa

Mbunge alalamika wabunge kukatwa posho

KHATIBU Said Haji, Mbunge wa Konde (CUF) amelalamikia kitendo cha wabunge kukatwa fedha zao za vikao vya bunge kiholele. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Akiomba...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yasalimu amri

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesalimu amri baada ya malalamiko ya mara kwa mara kutoka vyama vya upinzani na wanaharakati nchini. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekani yatoa tahadhari tishio la Tanzania kushambuliwa

UBALOZI wa Marekani nchini Tanzania, umeleza kuwepo mipango ya matukio ya mashambulizi kwenye hoteli na migahawa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Daraja la Salenda kupitia baharini kukamilika 2021

MTENDAJI  Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale amesema, daraja la Salenda linalopitia baharini Coco Beach – Aga Khan, linatarajiwa...

Habari za Siasa

NEC waombwa kupunguza gharama za fomu za uchaguzi

WANANCHI wa kata za tano za wilaya mbalimbali mkoani Morogoro wameiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupunguza gharama za fomu sambamba na...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya mwanachuo KIU: Mtuhumiwa akiri kuhusika

ERNEST Joseph (19), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Anifa...

Afya

Serikali yaanza kuikabili Dengue

SERIKALI imesema, imekusanya watalaamu kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuangamiza mbu, ikiwa ni hatua za awali za kupambana na ugonjwa wa Dengue....

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama EACJ hapatoshi: Mbowe, Maalim Seif, Zitto ndani

KESI ya kupinga sheria mpya ya vyama vya siasa nchini, imeanza kusikilizwa leo tarehe 19 Juni 2019, jijini Arusha ambapo miamba mitatu kutoka vyama...

Habari Mchanganyiko

Wawekezaji watoroka na mabilioni 

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), inawasaka wamiliki wa Kampuni ya MEIS Industies kwa tuhuma za kutoroka na fedha za...

Habari Mchanganyiko

Kurejeshwa VAT taulo za kike kwakera wadau

HATUA ya serikali kurudisha kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye taulo za kike, kimewachukiza wanawake wengi. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Akizungumza wakati...

Habari za Siasa

Ndugai awapa ‘makavu’ wabunge viti maalum

JOB Ndugai, Spika wa Bunge amehoji wabunge wanawake wa viti maalum kwamba, katika uwakilishi wao bungeni, wamefanya kitu gani muhimu kusaidia wanawake wanaodhulumiwa? Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea uso kwa uso na AG

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo ameibua sakata la serikali kushtakiwa nje ya nchi kwasababu mbalimbali, ikiwemo kuvunja mikataba ya wawekezaji. Anaripoti Danson Kaijage,...

Michezo

Spika Ndugai, Wabunge 48 waifuata Stars Misri

JOB Ndugai, Spika wa Bunge na wabunge 48, leo usiku wanatarajia kwenda nchini Misri kuishangilia Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ katika michuano...

Habari za Siasa

JPM amtumbua mwingine

WAKILI Julius Kalolo, ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA). Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kabudi, Dk. Mpango washikwa pabaya

WITO kwa mawaziri wawili wa Rais John Magufuli; Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki naDk. Philip...

Habari za Siasa

Wabunge Chadema, CCM walichoka gazeti la Tanzanite

MBUNGE wa Ndanda, Cecil Mwambe (Chadema) na Mbunge wa Nzega Vijijini, Hussein Bashe wamehoji jeuri ya gazeti la Tanzanite kuwatukana watu inaipata wapi?...

Habari za Siasa

Paredi ya ng’ombe kufanyika kesho

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdalah Ulega anatarajiw kuwa mgeni Rasm kesho saa mbili na nusu kwenye maonesho ya gwaride la ng’ombe bora...

Habari za Siasa

Malalamiko ya kupikwa takwimu: Upinzani waitaja IMF

KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kwamba, kuna kila sababu ya kukwepa kupika takwimu ili kuepuka kujenga uchumi hewa. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari MchanganyikoMichezo

Masikini Wema! Atupwa mahabusu

WEMA Sepetu, mwigizaji na msanii maarufu wa filamu nchini, amejisalimisha na kutupwa mahabusu baada ya Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam kuagiza...

Habari za Siasa

Spika Ndugai ‘afyeka’ hotuba ya upinzani

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri, amefyeka baadhi ya vipengele vilivyokuwa ndani ya Hotuba ya Waziri Kivuli wa Wizara ya Fedha na...

error: Content is protected !!