Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Paredi ya ng’ombe kufanyika kesho
Habari za Siasa

Paredi ya ng’ombe kufanyika kesho

Spread the love

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdalah Ulega anatarajiw kuwa mgeni Rasm kesho saa mbili na nusu kwenye maonesho ya gwaride la ng’ombe bora nchini. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Maonesho hayo ambayo yanafanyika kitaifa jijini Dodoma katika viwanja vya maonesho ya Nanenane yanalenga kuongeza hamasa katika ufugaji wa kisasa wa ng’ombe wa Maziwa. 

Akizungumzia maonesho hayo, Katibu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Elisante Ole Gabriel amesema kuwa Tanzania ni kati ya nchi zenye ng’ombe wengi hivyo kuna haja ya kuboresha mifugo hiyo.

Katibu huyo amesema kuwa maandalizi ya maonesho hayo yanayofanyika kitaifa na kwa mara ya kwanza ni kutia amasa ya kuwafanya watanzania kuacha kujifuna kuwa na wingi wa mifugo bali wawe na mifugo ambayo ina uzito mkubwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!