Saturday , 3 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Masikini Wema! Atupwa mahabusu
Habari MchanganyikoMichezo

Masikini Wema! Atupwa mahabusu

Wema Sepetu (mwenye gauni jeusi) akitolewa mahakamani na kupelekwa mahabusu
Spread the love

WEMA Sepetu, mwigizaji na msanii maarufu wa filamu nchini, amejisalimisha na kutupwa mahabusu baada ya Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam kuagiza kusakwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Maira Kasonde, Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo tarehe 11 Juni 2019, alitoa amri ya kumkamata Wema popote alipo baada ya kushindwa kufika mahakamani ili kusikiliza kesi yake inayohusu kuchapisha video chafu mtandaoni.

Msanii huyo amekamatwa leo tarehe 17 Juni 2019, katika Mahakama ya Kisutu baada ya mahakama hiyo kutoa wito wa kukamatwa kwake.

Alipofika mahakamani, Wema alikamatwa na kupandishwa kwenye gari la Magereza na kupelekwa Segerea. Anatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo tarehe 24 Juni 2019. Siku hiyo mahakama itaamua kumfutia dhamana ama la!

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Magunia 731 ya bangi yakamatwa, mamia ya hekari yateketezwa Arumeru

Spread the love  MAMIA ya magunia ya madawa ya kulevya aina ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi NIC apandishwa kizimbani, akabiliwa na mashitaka 365

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi eneo la mahakama ya Afrika ya haki za binadamu

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari Mchanganyiko

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2 bilioni

Spread the loveBENKI ya NMB imeendelea kufanya kazi kwa karibu na Asasi...

error: Content is protected !!