Friday , 3 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Madini yapokea fedha kiduchu za miradi ya maendeleo

  WIZARA ya Madini imepokea Sh 1.5 bilioni pekee kwaajili ya miradi ya maendeleo hadi kufikia Machi 2022 sawa na asilimia 10 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka sheria Vyama vya Siasa irekebishwe kumpa makali msajili

  MBUNGE Viti Maalumu (CCM), Neema Lugangira, ameshauri Sheria ya Vyama vya Siasa irekebishwe ili kumpa meno Msajili wa Vyama vya Siasa katika...

Habari za Siasa

Mbunge asema utawala wa sheria ndiyo kivutio uwekezaji, biashara

  MBUNGE wa Madaba, Joseph Mhagama, amesema kivutio namba moja cha wawekezaji na biashara nchini ni utawala wa sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Tabasamu aibua mazito Bungeni tenda za mafuta, Spika amzuia

MBUNGE wa Sengerema, Hamis Tabasamu ameibua “mambo mazito” bungeni kuhusu kuchezewa kwa tenda ya uagizaji wa mafuta ya Tarehe 18 Aprili 2022. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mpina ataka Bunge lichunguze majadiliano sakata makinikia

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina ameliomba Bunge kuunda kamati ya kiuchunguzi ili kujua sababu ya Kamati ya Majadiliano ya Kesi ya Makinikia kukubali...

Tangulizi

Rais Samia atua nchini, ataja mafanikio ziara Marekani

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema ziara yake ya kikazi nchini Marekani, imesaidia kuitangaza Tanzania kwa watu ambao walikuwa hawafahamu rasilimali na fursa...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile afuturisha Dodoma, wamwombea Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amejumuika na viongozi wa Dini, Serikali, Chama Cha Mapinduzi na wananchi mbalimbali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukata wateka mdahalo urais TLS

  CHANGAMOTO ya upungufu wa fedha inayokikumba Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imeteka mdahalo wa wagombea urais wa chama hicho, uliofanyika leo...

Tangulizi

Prof Shivji awabana wagombea urais TLS kuhusu sheria kandamizi

  MHADHIRI Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Issa Shivji, amewahoji wagombea urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Waliotajwa ripoti ya CAG wawajibishwe

  MAKAMU Mwenyekiti wa chama tawala Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameishauri Serikali inayoongozwa na chama hicho kuchukua hatua za kinidhamu...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana aitaka CCM kuwa tayari kwa maridhiano ya kisiasa

MAKAMU Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana amewataka wanachama na viongozi wa CCM kuwa tayari kwa maridhiano ya kisiasa aliyoyaanzisha Rais Samia Suluhu Hassan....

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aliyefariki alizuiwa kupanda ndege kwenda Dar

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, David Kihenzile amesema siku moja kabla ya Mbunge Irene Ndyamkama kufikwa na umauti,...

Habari za Siasa

Jaji Warioba aitaka Tanzania ifuate nyayo za Zanzibar uchumi wa buluu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameishauri Serikali ya Tanzania kufuata nyayo za Serikali ya Zanzibar, kukuza uchumi kwa kutumia rasilimali za bahari,...

Habari za Siasa

Sababu tano chimbuko la Muungano Tanganyika, Zanzibar hizi hapa

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Mzee Pius Msekwa, amesema muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulitokana na chimbuko la masuala matano, ikiwemo la kuimarisha ulinzi...

Habari za SiasaTangulizi

Msekwa ataja sababu Nyerere, Karume kufanya siri makubaliano ya Muungano

SPIKA wa Bunge mstaafu, Pius Msekwa, amesema Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume, waliendesha makubaliano ya Muungano wa Tanganyika na...

Habari za Siasa

Kampuni 7 zamuangukia Rais Samia madeni Uchaguzi Mkuu 2020

  KAMPUNI saba za uchapishaji kutoka Kariakoo, jijini Dar es Salaam, zimekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilipe kiasi cha Sh. bilioni moja fedha...

Habari za Siasa

Maandalizi ya sensa yafikia asilimia 81

  MWENYEKITI wa Kamati Kuu ya Sensa ya Watu na Makazi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema maandalizi ya zoezi hilo hadi kufikia jana...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Muungano wetu ni zaidi ya hati, mambo ya muungano

  MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango, amesema ushirikiano na mwingiliano wa wananchi wa pande zote za muungano unadhihirisha kuwa Muungano wa Tanganyika...

Habari za Siasa

Kinana awapa maagizo wabunge, madiwani

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amewataka madiwani na wabunge kukataa kupitisha miswada ya sheria yenye kukandamiza...

Habari za Siasa

Shaka asema CCM kushika dola kupo palepale

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema lengo la Chama kuendelea kushika Dola...

Habari za Siasa

Rais Samia asema anazielewa sababu Chadema kususia

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema anaelewa sababu ya chama kimoja ambacho hajakitaja, kimekataa kushiriki mchakato wa majadiliano ya kutafuata muafaka mazingira ya ufanyaji...

HabariMichezo

Mkazi wa Ruvuma ashinda Sh 50Mil za BetPawa

  FRED ambaye Mkazi wa Ruvuma amejishindia Sh 50Mil kutoka Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya BetPawa baada ya kupatia idadi ya mipira...

Habari za Siasa

UWT wampongeza Rais Samia, wamlilia mbunge

UONGOZI wa Wanawake Tanzania (UWT) wametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu wake wa kuzindua filamu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanaohama Ngorongoro: Majaliwa atoa maagizo wizara 4

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka wizara ya maliasili na utalii kuendelea kusimamia kwa ukaribu na kuhakikisha shughuli za ujenzi katika...

HabariTangulizi

Mbuge aliyefariki kuagwa bungeni J5, kuzikwa Ijumaa Rukwa

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge Viti Maalumu (CCM), Mkoa wa Rukwa nchini Tanzania, Irene Ndyamkama, utazikwa mkoani Rukwa, Ijumaa ya tarehe 29 Aprili...

Habari za Siasa

Mbunge amnyooshea kidole DC Nkasi

  MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (Chadema) amesema iwapo serikali haitachukua hatua za kumuonya mkuu wa wilaya ya Nkasi dhidi ya matumizi...

Habari za SiasaMpya

Mbunge viti maalum CCM afariki

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Viti Maalum,CCM, Irene Alex Ndyamkama ambaye...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana awaonya wanaosaka uongozi kwa fedha CCM

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi-Bara nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana amesema wanachama wanaotafuta uongozi ndani ya chama hicho kwa kutumia fedha, hawana nafasi...

Habari za Siasa

Chongolo ateta na bodaboda, bajaji

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewaahidi vijana 26 wa shina la namba tano la kata Kilimani mkoani Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba ataja mambo 7 yaliyompa heshima Nyerere

JAJI Mstaafu Joseph Warioba ametaja mambo saba yaliyompa heshima Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na kusisitiza kuwa kiongozi huyo alikataa kuitwa...

Makala & UchambuziMichezo

Wachezaji Simba onesheni ukubwa

WEKUNDU wa Msimbazi, Timu ya Simba kesho inacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watetezi haki za binadamu wafungua kesi ya dhamana kwa Madeleka

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), wamefungua kesi ya kuomba...

Habari za Siasa

Majaliwa: Hakuna wakupinga Tanzania ilikuwa kinara ukombozi Afrika

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema hakuna wa kupinga kluwa Tanzania chini ya uongozi wa Hayati Mwl. Julius Nyerere, ilikuwa kinara wa ukombozi wa...

Habari za Siasa

Kinana awaachia maswali Watanzania kuhusu Mwalimu Nyerere

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka Watanzania wajiulize kwa nini Tanzania inaendelea kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius...

Habari MchanganyikoTangulizi

MGOGORO KKKT: Siri zaidi zafichuka, Askofu Shoo, Malasula …

  KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde, limemtaka Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini, kuacha “kuingilia mambo ya ndani...

Habari

Lissu amshauri Rais Samia ang’oe vigogo wa awamu ya tano

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, awaondoe madarakani viongozi wa umma hasa wa vyombo vya ulinzi...

HabariMichezo

Simba yawasili Afrika kusini, walia kunyimwa Askari

  KLABU ya Simba imewasili salama nchini Afrika Kusini kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates, huku wakilalamika kuwa wenyeji...

HabariTangulizi

Kina Mdee wabakiza siku 20 bungeni

  HATIMA ya Halima Mdee na wenzake 18 kuendelea kuwa wabunge wa viti maalumu itajulikana tarehe 11 Mei 2022, wajumbe wa Baraza Kuu...

Habari

Vigogo NMB watembelea Bunge Dodoma

  VIONGOZI mbalimbali wa Benki ya NMB nchini Tanzania wakiongozwa na Afisa Mkuu wa wateja binafsi na Biashara wa benki ya NMB, Filbert Mponzi...

Habari za Siasa

Matamko ya mali viongozi 46 yakutwa na dosari

  KATI ya matamko 425 ya mali na madeni ya viongozi wa umma yaliohakikiwa, asilimia 11 (sawa na matamko 46) yalibainika kuwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchina ahukumiwa miaka 20 jela kwa kuwachapa wafanyakazi viboko

MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wa China kwa mashtaka ya mateso aliyowafanyia wanaume wanne aliokuwa akiwachapa huku wakiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Ruwa’ichi: Uchunguzi unaendelea kifo cha Padri Dar

ASKOFU Mkuu Yuda Thaddeus Ruwa’ichi, wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, amesema uchunguzi dhidi ya chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bashungwa amuagiza Makala kusitisha zuio la bajaji, bodaboda Dar

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG abaini ‘madudu’ kwenye majeshi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...

Habari za Siasa

Bashungwa amsimamisha kazi DED Mvomero kwa kupuuza maagizo yake

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya...

Makala & UchambuziTangulizi

Ushauri mzito kwa Makonda, atakiwa kuomba radhi

  ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda, ameshauriwa kuwaomba radhi hadharani viongozi wa Serikali, vyama vya siasa,...

Habari za Siasa

Serikali yazinyooshea kidole halmashauri

  SERIKALI ya Tanzania imeziagiza halmashauri zote nchini humo ambazo zimepokea kiasi cha sh.50 milioni kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa vituo...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji uhaba watumishi na vifaa tiba, Serikali yamjibu

  MBUNGE wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Josephine Ngezabuke (CCM) ameihoji Serikali na kutaka kujua ni lini itamaliza...

HabariMichezo

Stars mdomoni mwa Algeria na Uganda

  TIMU ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi F, sambamba na timu za Taifa za Uganda na Algeria katika kuwania tiketi ya kufuzu...

Habari

Simba yaomba kupewa ulinzi Afrika Kusini

  KLABU ya Soka ya Simba imeziomba mamlaka husika kuwapatia ulinzi wa kutosha wakati wa safari yao kuelekea nchini Afrika Kusini kwenye mchezo...

error: Content is protected !!