Saturday , 27 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

Basi la Magereza lagonga treni yenye abiria 650 Dar

Basi  Jeshi la Magereza lenye namba MT 0040 limegonga treni ya abiria namba YD16 yenye injini namba 9015 iliyokuwa ikitokea mikoa ya Bara...

Habari MchanganyikoTangulizi

Afya ya akili yatajwa chanzo kuvunjika ndoa

CHANGAMOTO ya afya ya akili, imetajwa kuwa chanzo cha migogoro inayopelekea ndoa nyingi kuvunjika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, amalize changamoto ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chande aliyeng’olewa TANESCO kwenda TTCL apelekwa Posta

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawaasiliano  Tanzania (TTCL), Maharagande Chande, kuwa Postamasta wa Shirika la Posta...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme wang’oa vigogo TANESCO

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahamisha waliokuwa vigogo wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika kipindi ambacho kuna changamoto ya ratiba ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgogoro wa ardhi Kiteto: Wakulima wadaiwa kutwanga risasi ng’ombe wa wafugaji Kiteto

MGOGORO kati ya wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Lembapuli, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara umechukua sura mpya baada ya wakulima kudaiwa kuvamia...

Habari za SiasaTangulizi

Mchengerwa amtumbua mkurugenzi Busega

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega...

Habari za SiasaTangulizi

SMZ yasalimu amri, yashusha viwango vya malipo Bandari ya Malindi

  SERIKALI imerudisha viwango vya malipo ya uingizaji mizigo kupitia Bandari Kuu ya Malindi, mjini hapa, baada ya “kishindo kikubwa” cha malalamiko ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia agoma ombi la wananchi kumwondoa mwekezaji

RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa ombi la wananchi lililotaka afute hati ya umiliki ardhi inayodaiwa kuporwa kinyume cha sheria na mwekezaji Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wapiga kura 216,282 kupiga kura uchaguzi mdogo Mbarali, kata sita  

Wapiga kura 216,282 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 19 Septemba 2023 kwenye uchaguzi mdogo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Waziri Majaliwa wadhifa wake ni mkubwa

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake lazima imuenzi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa kutekeleza miradi ya maendeleo katika jimbo lake...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yapinga msimamo wa Baraza la Vyama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekosoa msimamo wa Baraza la Vyama vya Siasa wa kuipa muda Serikali katika mchakato wa marekebisho ya...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza ampa mbinu Samia jina liandikwe kwa wino wa dhahabu

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza amemtaka Rais Samia kuweka mfumo mzuri wa kidemokrasia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia airushia dongo Chadema

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuna chama kikipewa madaraka baadhi ya viongozi wake wataunda chama kingine ili wawapinge wenzao walioko madarakani. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Wanasiasa tusiburuze wananchi mchakato wa katiba mpya

RAIS Samia Suluhu Hassan amevitaka vyama vya siasa kutohodhi mchakato wa marekebisho ya katiba, akisema suala hilo si mali yao bali ni mali...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba amkumbusha Samia Katiba mpya kwa maandalizi uchaguzi 2024, 2025

MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Profesa Ibahimu Lipumba amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza ahadi yake ya kukamilisha mchakato wa katiba...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe alaani ukamatwaji wa Lissu, “Tuna hofu kubwa”

MWENYEKITI wa Chadema, Freema Mbowe amelaa ukamataji, unyanyasaji, usumbufu aliodai unafanywa  na Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu akamatwa Arusha

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha, ikiwa ni siku moja tangu...

Habari za SiasaTangulizi

500 kujadili ripoti ya kikosi kazi, demokrasia, hali ya siasa

ZAIDI ya watu 500 kutoka taasisi za kisiasa, dini, asasi za kiraia na wengine watakutana kwa siku tatu jijini Dar es Salaam kupokea...

Habari za SiasaTangulizi

Uhaba wa dola, Serikali yaanza kubana matumizi

WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imechukua hatua ya kubana matumizi ya ndani hasa katika maeneo ya matumizi ya kawaida ili...

MichezoTangulizi

Taifa Stars yawaduwaza Mbweha wa Jangwani, watinga fainali AFCON

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeandika historia baada ya kufuza kwa mara ya tatu kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu afufua matukio ya wasiojulikana, ambana Rais Samia

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amedai bila ya wahanga wa vitendo vya watu wasiojulikana kupatiwa haki zao, falsafa...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa ampa Biteko mfupa ulioshinda Makamba, atoa siku 7

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amemuagiza Naibu wake, Dotto Biteko, kutafuta muarobaini wa changamoto ya uhaba wa mafuta ndani ya siku saba. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wananchi watakiwa kuondoka mabondeni kujiepusha na mvua za El Nino

  SERIKALI imewatahadharisha wananchi kuacha kujenga na kufanya shughuli za kijamii kwenye maeneo ya bondeni ili kuepukana na athari za mafuruko zinazoweza kutokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

12 wakamatwa kwa kuficha mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imekamata wafanyabiashara 12 wanaojihusisha na kuficha mafuta na kufungia vituo viwili kwa miezi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Polisi jipangeni kwa uchaguzi 2024, 2025

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi nchini kujipanga katika kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024 na Uchaguzi Mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kanisa Katoliki Ngara lafungwa baada ya wasiojulikana kuvunja, kulinajisi

KANISA Katoliki la Mt. Bernadetha wa Lurdi, lilioko Parokia ya Nyakati Buzirayombo, Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, limefungwa kwa muda wa siku 30, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa amkaribisha Biteko ofisini, ampongeza kwa kuaminiwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo tarehe 2 Septemba 2023 amemkaribisha Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko katika ofisi ndogo ya Waziri Mkuu zilizopo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amvua ubalozi Dk. Slaa

Rais Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa amemvua hadhi ya Ubalozi Dk. Wilbroad Slaa kuanzia tarehe 01 Septemba, 2023. Dk. Slaa aliteuliwa kuwa Balozi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amkabidhi Mchengerwa kivumbi uchaguzi Serikali za mitaa

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kufurahishwa na uchapakazi wa aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ambaye sasa amehamishiwa katika Wizara ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Mabadiliko Baraza la Mawaziri si adhabu, “ni bandika, bandua”

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri aliyoyafanya hivi karibuni, si adhabu bali yanalenga kuimarisha maendeleo ya nchi....

Habari za SiasaTangulizi

CCM yawapa kibarua mawaziri wapya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka mawaziri na manaibu mawaziri walioteuliwa hivi karibuni na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuyafanyia tathmini  maeneo ya ilani...

Habari za SiasaTangulizi

JUKATA waanika sababu Dk. Ndumbaro kung’olewa

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeeleza kuwa mojawapo ya sababu ya kuhamishwa Dk. Damas Ndumbaro kutoka Wizara ya Katiba na Sheria kuelekea wizara...

KimataifaTangulizi

Mwanaye rais aliyepinduliwa Gabon, afumwa na mabegi ya pesa

Mabegi, mifuko pamoja na masanduku yaliyojazwa fedha za nchi mbalimbali yamekutwa ndani ya nyumba ya Yann Ngulu mtoto mkubwa wa Rais Ali Bongo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua tena Manaibu Mawaziri, Mnyeti ahamishwa kabla ya kuapishwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo Naibu Waziri David Silinde ambaye amehamishwa kutoka Wizara ya Mifugo...

Habari za SiasaTangulizi

Mabula, Masanja ‘out’, Makamba apelekwa mambo ya nje

  MABADILIKO madogo ya Baraza la Mawaziri, yaliyofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, yamegusa kwa namna tofauti baadhi ya mawaziri, ambapo wapo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua baraza la mawaziri, Biteko awa Naibu Waziri Mkuu, Silaa aula

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, kwa kuanzisha nafasi mpya ya Naibu Waziri Mkuu, kuunda wizara...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lagoma kurekebisha sheria kuwezesha uwekezaji bandarini

BUNGE limegoma kufanyia kazi muswada uliowasilishwa na Serikali kwa ajili ya kurekebisha sheria zinazosimamia rasilimali na maliasili za nchi, uliolenga kuwezesha uwekezaji bandarini,...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waibana Serikali kikokotoo cha mafao, wataka muswada sheria ifutwe

WABUNGE leo Jumanne wameitaka Serikali kupeleka bungeni muswada wa marekebisho ya Sheria hifadhi ya jamii ya mwaka 2017 ili iruhusu wastaafu kulipwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Dugange arejea bungeni, amshukuru Rais Samia

HATIMAYE Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange leo Jumanne amerejea bungeni na kuendelea...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Ali Idi Siwa bosi mpya usalama wa Taifa

RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kupangua Idara ya Usalama wa Taifa baada ya leo Jumatatu kumteua Balozi Ali ldi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: CCM mmerogwa?

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiikabidhi Chadema Serikali kama kimeshindwa kusimamia rasilimali...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yavunja ukimya mchakato katiba mpya, kutoa elimu kwa miaka 3

SERIKALI imevunja ukimya kuhusu utekelezaji mchakato wa marekebisho ya katiba, ikisema kwa sasa imeweka kipaumbele katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu suala hilo,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amtumbua DC Mtwara, wananchi walirudisha kadi…

RAIS Samia Suluhu Hassan leo jumapili amemtumbua Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Hanafi Msabaha kutokana na madai ya kusababisha baadhi ya wananchi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya viongozi wanaosubiri maelekezo kutoka juu

RAIS Samia Suluhu Hassan leo jumapili amewaonya viongozi wa umma kuacha ‘kujidogosha’ kwa kutekeleza majukumu yao kwa kusubiri maelekezo kutoka juu badala yake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikoa 16 kupata umeme kwa mgawo kuanzia leo

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO)  limetangaza kuzimwa kwa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 220 Kidatu -Kihansi kwa tarehe 26 hadi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Dk. Alex Malasusa mkuu wa KKKT mpya mteule

Wajumbe wa Mkutano Mkuu 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamemchagua Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dk. Alex...

Habari MchanganyikoTangulizi

TMA yatabiri uwepo wa mvua za juu ya wastani hadi wastani msimu wa vuli katika maeneo mengi ya nchi

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za juu ya wastani hadi wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mikoa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Ngorongoro aachiwa, asema harudi nyuma, ashangaa kukamatwa bila kibali cha Spika

HATIMAYE Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai (CCM) ambaye alidaiwa kushikiliwa na polisi tangu tarehe 21 Agosti 2023 ameachiwa huru leo huku akisisitiza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sekta mbalimbali zatakiwa kuchukua hatua stahiki uwepo wa El Nino

MKURUGENZI Msaidizi (Operesheni na Uratibu), Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera , Bunge na Uratibu), Luteni Kanali Selestine Masalamado...

error: Content is protected !!