Thursday , 25 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi kina Mdee, Chadema

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekwama kusikilizwa baada ya shahidi kushindwa...

Habari za SiasaTangulizi

Hoja sita kutikisa kesi kupinga mkataba wa bandari

HOJA sita zinatarajiwa kutikisa katika usikilizwaji kesi ya kikatiba iliyofunguliwa kupinga mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Festo Dugange arejea kazini

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dk. Festo Dugange leo Jumanne ameonekana kwa mara ya kwanza hadharani kwenye shughuli ya kiserikali ikiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aliyefukuzwa Chadema aibuka mkutano CCM

MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa amuomba mambo 3 Rais Samia “toa kauli utuokoe”

BALOZI Mstaafu Dk. Wilbroad Slaa amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan atokeo hadharani atoke hadharani na kutoa kauli ili kuliokoa Taifa katika janga lililoibuka...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Lipumba ‘waukwepa’ mkutano wa Dk. Slaa, Chadema

VIONGOZI machachari wa vyama vya upinzani, Profesa Ibrahim Lipumba (Mwenyekiti CUF) na Zitto Kabwe (Kiongozi Mkuu ACT Wazalendo) wametajwa kuutosa mkutano ulioandaliwa leo...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Serikali iache kiburi, irudi kwenye meza ya mazungumzo

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia leo Jumapili ametoa wito kwa Serikali kuacha kiburi na kukubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo ili...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yampuuza msajili

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimegoma kutii agizo la Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, la kuahirisha kufanya mkutano uliolenga kuchambua...

Habari za SiasaTangulizi

Heche amtaka Mwenyekiti bodi TPA atoke mafichoni

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amemtaka Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa dini wataka mkataba DP world uvunjwe, waliokamatwa waachiwe

BAADHI ya viongozi wa dini, wameiangukia Serikali wakiitaka ivunje mkataba iliyoingia na Serikali ya Dubai kupitia kampuni ya DP world kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenzie na Mdee amponza kigogo Chadema, asimamishwa uongozi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemsimisha uongozi Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Tabora, Lucas Kiberenge na wenzake kwa kushiriki kumuandalia mkutano...

KimataifaTangulizi

Kenyatta amchana Ruto, amwambia nitafuteni mimi, siyo familia yangu

RAIS mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema nyumba ya mwanaye wa kiume imevamiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, kwa msaada wa BBC…(endelea). Akizungumza na waandishi...

AfyaTangulizi

Mganga mfawidhi mbaroni madai wizi wa dawa, vifaa tiba

Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe linamshikilia mtumishi mmoja aitwaye Rioba Nyamos (34) ambaye ni Mganga mfawidhi wa Zahanati ya Kijiji Cha Iporoto...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumuua mwalimu aliyemtaka akaswali

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kinamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Qiblaten Kawe, Mohamed Jabir, kwa tuhuma za kumuua...

Habari MchanganyikoTangulizi

AG adai ugumu wa maisha chanzo mahabusu kufurahia kukaa rumande

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, amedai baadhi ya mahabusu ambao makosa yao yanaruhusu kupewa dhamana, wamekuwa wakikataa nafuu hiyo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awaachia huru mahabusu 2,240 waliobambikizwa kesi

MAHABUSU zaidi ya 2,240 waliokuwa wanashikiliwa katika vyombo vya kisheria kwa kesi za kubambikizwa, wameachwa huru tangu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aitwa na DCI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amedai kuitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama: Afande Rama hana hatia

Mahakama ya Mkoa wa Vuga mjini Unguja imemwachia huru mshtakiwa Ramadhan Ali maarufu kama Afande Rama aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya kuingiliwa kinyume...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete afunguka misukosuko anayokumbana nayo Rais Samia

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema anaridhika na uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, hususan utulivu wake anaouonesha katika kipindi ambacho Serikali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili Madeleka kusota rumande hadi Julai 31, sababu zatajwa

  IMEBAINIKA kuwa sababu ya Wakili Peter Madeleka, kukamatwa tena jana Jumatatu na Jeshi la Polisi ni kufufua kesi ya uhujumu uchumi Na./2020...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti mstaafu ZEC- Jecha Salim Jecha afariki dunia

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Jeshi la Lugalo, jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vipya 18 vya siasa vyaomba usajili, uhakiki waanza

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema  kuanzia  tarehe 23 Julai 2023 itaanza uhakiki wa vyama vya siasa ambavyo vina usajili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi Arusha wamkamata Wakili Madeleka

WAKILI wa kujitegemea nchini, Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la polisi mkoani Arusha katika Kituo Jumuishi cha utoaji haki baada ya kutoka Mahakama...

Habari za SiasaTangulizi

Jeshi la polisi lapiga marufuku maandamano UVCCM

JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano yaliyoitishwa na Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) katika wilaya zote nchini  kwa kufafanua kuwa yataleta vurugu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka kibano viongozi wanaotumia madaraka vibaya

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauri sheria itakayowabana viongozi wanaotumia madaraka yao mabaya vibaya itungwe, ili kuimarisha mfumo wa haki jinai nchini. Anaripoti Regina...

KimataifaTangulizi

Rais Ruto amtolea uvivu Kenyatta, amuonya ukaribu na Odinga

RAIS wa Kenya William Ruto amedai kuwa aliyekuwa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta anajaribu kubomoa serikali yake kwa kufadhili maandamano. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Rais atoa neno sakata la bandari

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amezungumzia mjadala unaondelea kuhusu sakata la ukodishwaji bandari, akisema wakati watanzania wanalumbana juu ya suala hilo, nchi jirani...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatoa msimamo sakata la bandari, yataka walioshiriki wajiuzulu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewataka watu waliohusika katika uandaaji mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania na...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeongoza majadiliano kati ya Serikali na DP World afunguka

  MWENYEKITI wa Kamati ya Majadiliano kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai, juu ya uwekezaji bandarini, Hamza Johar amesema mvutano mkali uliibuka...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yajaribu kushusha presha sakata la bandari

  SERIKALI ya Tanzania, imesema uwekezaji wa bandari, unaotarajiwa kufanywa na kampuni ya DP World, kwamba hauna matatizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

ElimuTangulizi

Ufaulu kidato cha sita 2023 waongezeka

  UFAULU wa mtihani wa kidato cha sita kwa 2023, umeongezeka kwa aislimia 0.2, kutoka 98.97%(2022) Hadi 99.23% mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Selasini ajitoa kesi aliyofunguliwa na Mbatia

  HASSAN Ruhwanya, Wakili wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amejitoa kumuwakilisha katika kesi aliyofunguliwa na James Mbatia, akimtaka amlipe...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yasimamisha kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imesimamisha Kwa muda usikilizaji wa kesi iliyofunguliwa na James Mbatia, kupinga kuvuliwa uanachama wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkataba wa DP – Dk. Slaa aitisha mkutano wa hadhara, “Ubalozi chukueni”

  MWANASIASA mkongwe na Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Balozi Dk. Willbroad Slaa ametangaza kufanya mkutano wa hadhara utakaofanyika jijini Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili aikalia kooni TLP nafasi ya Mrema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi yakwama mahakamani

USIKILIZWA wa kesi Na. 18/2023 iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam na James Mbatia, kupinga kufukuzwa ndani ya chama...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Dk. Nshala aitwa kwa DCI

WAKILI Rugemeleza Nshala aliyewahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) ameitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar es...

AfyaTangulizi

NHIF yafanya uhakiki wanachama, watoa huduma, wafungia vituo 48, waajiri 88

  MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanya uhakiki wa wanachama wa mfuko huo na kubaini mambo kadhaa na kuyachukulia hatia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mpango wa BBT kuunganishwa na JKT

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inakwenda kuunganisha mafunzo ya vitendo kwa vijana kupitia mpango wa “Jenga Kesho Iliyobora” Building Better Tomorrow (BBT)...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee na wenzake waendelea kuwabana vigogo wa Chadema mahakamani

MAWAKILI wa wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na Halima  Mdee, wamendelea kuwahoji maswali hya dodoso wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Papa Fransisco amteua Askofu Mkuu Rugambwa kuwa Kardinali

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francisco amemteua Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu la Tabora, Protase Rugambwa kuwa kardinali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Karume: Sikati rufaa kufukuzwa CCM, uamuzi ni batili

BALOZI Ali Karume amedai uamuzi kumvua uanachama uliochukuliwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni batili hivyo hana haja ya kukata rufaa kuupinga. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM wamtimua Balozi Karume, urais watajwa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kusini Unguja kupitia kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa huo imeridhia kumfukuza uanachama Balozi Ali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Drone kutumika ulinzi wa bomba la TAZAMA

NDEGE ndogo zisizo na rubani (drone) zinatarajiwa kutumika katika ulinzi wa bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia amburuza mahakamani Selasini, Diamond Platnumz akitaka wamlipe fidia Sh. 10 Bil

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemfikisha mahakamani Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Joseph Selasini na wengine sita, akitaka wamlipe...

BiasharaTangulizi

Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere Februari-2024

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Nshalla aonya wanaotaka kumuua kisa bandari

ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Rugemeleza Nshalla, amewataka watu anaodai wanapanga kumuuwa waache mara moja, kwa kuwa wakifanya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amrejesha Prof. Kitila Mkumbo baraza la mawaziri

HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan amemrejesha kwenye baraza lake la mawaziri, Prof. Kitila Mkumbo baada ya kukaa benchi kwa muda wa zaidi ya...

ElimuTangulizi

Mwanafunzi kidato cha 3 ajinyonga darasani, akutwa na ujumbe wa kugomea shule

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Lumbira kata ya Luanda wilayani Mbozi mkoani Songwe,Japhari Mwashitete  (16) amekutwa amefariki dunia kwa...

HabariTangulizi

Majaji wamkalia kooni Rostam, aomba radhi

  MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz, ameomba radhi kufuatia kauli yake iliyodai kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...

error: Content is protected !!