Friday , 3 May 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Tangulizi

Mbivu, mbichi kesi ya Mbowe Jumatatu ijayo

  HATMA ya kusikilizwa ama kutosikilizwa  kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi iliyoko katika Mahakama Kuu, Divisheni...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yaunguruma Mahakama ya ufisadi 

  KESI ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, inaendelea kusikilizwa...

AfyaTangulizi

Johnson & Johnson wasitisha majaribio chanjo ya VVU Barani Afrika

  KAMPUNI ya Johnson & Johnson kutoka nchini Marekani imesitisha majaribio ya chanjo ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) Barani Afrika baada ya chanjo...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Silaa na Polepole wafika kuhojiwa CCM

  WABUNGE wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima wa Kawe, Jerry Silaa wa Ukonga na Humphrey Polepole...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuwahoji Askofu Gwajima, Polepole na Silaa

  WABUNGE watatu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), watawekwa ‘kitimoto’ na Kamati ya Maadili ya chama hicho, juu ya...

MichezoTangulizi

Stars yatoshana nguvu na Congo

  SARE ya bao 1-1, ilitosha kuifanya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuondoka na pointi moja kwenye mchezo wa kusaka tiketi...

ElimuTangulizi

Mkakati mpya wanafunzi wanaopata ujauzito kurejea shule

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mkakati mpya kwa wanafunzi waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito kuwawezesha kuwaendelea kimasomo. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee ambana Majaliwa bungeni kuhusu UVIKO-19

  MBUNGE viti maalum (asiye na chama bungeni), Halima Mdee, amehoji mikakati ya ziada ya Serikali katika kukabiliana na Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi Tanzania: Hamza alikuwa gaidi, hakuwa na fedha

  JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema, Hamza Mohamed aliyewaua askari polisi watatu na mlinzi mmoja wa kampuni ya SGA kisha kuuawa, alikuwa...

HabariTangulizi

Rais Samia: Tozo za Sept, Oktoba kujenga madarasa 500

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, tozo zitakazotozwa katika miamala ya simu Septemba na Oktoba 2021, zitakwenda kujenga vyumba vya madarasa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima akwepa swali la Rais Samia

  Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima (CCM) amekwepa kujibu swali la Rais Samia Suluhu Hassan kwamba atachaja au hachanji chajo ya Corona...

Tangulizi

Waandishi 59 wapenya tuzo za EJAT 2020

  KAMATI ya maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) imesema jumla ya waandishi 59 wameteuliwa kuwania tuzo hizo...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake, wazidi kuikomalia serikali

KESI ya ugaidi, inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, imepangwa kusikiliza Ijumaa wiki hii. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mwigulu: Wamiliki wa nyumba msihamishie mzigo kwa wapangaji

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amewataka wamiliki nyumbaamewataka wasihamishie mzigo wa kodi ya majengo kwa wapangaji na badala yake...

Habari za SiasaTangulizi

Pingamizi la Mbowe, wenzake katika kesi ya ugaidi lagonga mwamba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano Dar es Salaam,  imetupilia mbali pingamizi la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tozo miamala ya simu yapunguzwa kwa asilimia 30

  SERIKALI ya Tanzania, imefanya marekebisho ya tozo za miamala ya simu, kwa kupunguza viwango vyake kwa asilimia 30. Anaripoti Mwanaharusi Abdallah, TUDARCo...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake waweka pingamizi kesi ya ugaidi

  MAWAKILI wanaomtetea Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika kesi ya kula njama za kufanya ugaidi, wameweka pingamizi kwa Mahakama Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wamkaanga Askofu Gwajima, Silaa

  SAA chache baada ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili wabunge wa...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lawatia kifungoni Askofu Gwajima, Silaa hadi 2022

  WABUNGE  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga), wamepewa adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo  ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lamtia hatiani Gwajima

  KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, leo tarehe 31 Agosti, 2021, imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati ya Bunge yapendekeza Jerry Silaa avuliwe ubunge wa PAP 

  KAMATI ya Haki,  Maadili na Madaraka ya Bunge, imemkuta na hatia Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa, katika tuhuma za kudharau mhimili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Robert Manumba afariki

  MKURUGENZI Mstaafu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mwanaye...

Habari za SiasaTangulizi

Hatima tozo miamala ya simu kujulikana leo

  HATIMA ya gharama za tozo ya miamala ya simu kupungua au kubaki kama zilivyo itafahamika leo Jumanne tarehe 31 Agosti 2021. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Wafuasi Chadema waangua kilio Mbowe akirudishwa rumande

  WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameangua kilio wakati mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, akirudishwa rumande katika gereza la Ukonga, anakoshikiliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaweka mapingamizi kesi ya Mbowe

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mapingamizi manne katika kesi ya kikatiba, iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akipinga utaratibu uliotumika kumkamata...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vya upinzani vyavutana ushiriki chaguzi ndogo

  VYAMA vya siasa vya upinzani nchini Tanzania, vimevutana katika kushiriki chaguzi ndogo za ubunge zinazotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba 2021, katika majimbo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Siri ya uwezo wa Hamza kutumia AK47 yafichuka

  SIRI ya Hamza Hassan Mohamed kumudu kutumia silaha na kuwaua askari watatu wa jeshi la polisi na mlinzi mmoja wa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeshindwa ubunge Mkuranga, arudi kushukuru

ALIYEKUWA mgombea Ubunge wa Mkuranga (ACT-Wazalendo), Mkoa wa Pwani, Mhandisi Mohamed Mtambo, amerejea jimboni kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano waliompa wakati wa kampeni za...

MichezoTangulizi

Yanga yafurika kwa Mkapa, burudani kama zote

YES ni siku kubwa. Kilele cha Wiki ya Wananchi. Hakuna ubishi hii ndiyo Yanga Afrika. Mabingwa wa Kihistoria nchini Tanzania. Anaripoti Wiston Josia,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia atoa ya moyoni “Rais Samia anahujumiwa”

  MWENYEKITI wa chama cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wadaiwa kuzuia kikao cha kamati kuu NCCR-Mageuzi

  JESHI la Polisi Ilala, Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limezuia kikao cha kamati kuu ya chama cha siasa cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

IGP Sirro awapa soma askari polisi, atangaza kiama kwa waharifu

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amewataka askari polisi nchini humo wasimuamini kila mtu wanapokuwa katika majukumu yao ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Vilio, simanzi vyatawala miili askari ikiagwa Dar

  VILIO na simanzi vimetawala wakati miili ya askari polisi watatu na mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA, ikiagwa katika viwanja vya...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi ubunge Konde, Ushetu Oktoba 9

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza uchaguzi wa marudio wa ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na Ushetu...

Habari za SiasaTangulizi

Jerry Silaa ataja sababu 3 kuikacha kamati ya Bunge

  MBUNGE wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa ametaja sababu tatu, ikiwemo kwenda kwenye mazishi jijini Arusha na kutokuwa sawa kiafya, zilizomfanya jana Alhamisi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wawili wauawa Kigamboni, Polisi “aliwagonga kwa makusudi”

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Mohamed Jumaa (37), maarufu maarufu Lardh JM, Mkazi wa Kariakoo, kwa tuhuma...

Habari za SiasaTangulizi

Askou Gwajima agoma kukaa, ahojiwa akiwa amesimama wima

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Josephat Gwajima, ameendeleza mgomo wake wa kutotumia viti alivyopangiwa kutumia, wakati akihojiwa na Kamati...

Habari MchanganyikoTangulizi

Taharuki; majibizano ya risasi Dar

  HALI ya takaruki imeibuka eneo la daraja la Salender jijini Dar es Salama nchini Tanzania baada ya milio ya risasi kati ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aagiza kesi zisizo na ushahidi zifutwe

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo kurekebisha sheria ya kuweka mtu mahabusu pamoja na kufuta kesi ambazo...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi mkuu 2025: Tume ya taifa ya uchaguzi Tanzania kufumuliwa

  MUUNDO wa sasa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uko mbioni kufanyiwa marekebisho makubwa ya kisheria, baada ya kuibuka malalamiko kutoka...

MichezoTangulizi

Haji Manara aibukia Yanga, atambulishwa rasmi

  ALIYEKUWA msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara ametambulishwa rasmi ndani ya klabu ya Yanga, mara baada ya kuachana na wajiri wake...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yamshangaza Askofu Shoo, akumbushia maandamano Ukuta

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo, ameziomba mamlaka nchini Tanzania zitende haki katika kesi ya uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Sabaya, wenzake Oktoba mosi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imepanga tarehe 1 Oktoba 2021, kutoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Na. 105/2021, inayomkabili...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Jerry Silaa waondolewa kwenye kamati

  ASKOFU Josephat Gwajima ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kawe na Jerry Silaa wa Jimbo la Ukonga mkoani Dar es Salaam kupitia...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ahojiwa, kurudi tena kikaangoni Jumatano

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ameanza kuhojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kuwatumia IGP Sirro, Ole Sabaya kujitetea

  UPANDE wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Serikali kutumia mashahidi 24, vielelezo 19

  UPANDE wa mashtaka katika kesi inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watumishi 5 TRA wafariki ajalini Songwe

  WATUMISHI watano Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha fast Track wamefariki dunia katika ajali ya gari eneo la Hanseketwa Oldvwawa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapata pigo, Meya Shinyanga afariki

  CHAMA tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepata pigo baada ya meya wake wa Manispaa ya Shinyanga, David Nkulila kufariki dunia. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Gwjaima ataka mdahalo wa wazi chanjo ya corona

  MBUNGE wa Kawe (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ameishauri Serikali iitishe mdahalo wa wazi, ili kumaliza utata juu ya chanjo ya Ugonjwa wa...

error: Content is protected !!