Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CCM yapata pigo, Meya Shinyanga afariki
Habari za SiasaTangulizi

CCM yapata pigo, Meya Shinyanga afariki

Spread the love

 

CHAMA tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepata pigo baada ya meya wake wa Manispaa ya Shinyanga, David Nkulila kufariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Shinyanga … (endelea).

Nkulila ambaye ni Diwani wa Ndembezi amefikwa na mauti usiku wa kuamkia leo Jumatatu tarehe 23 Agosti 2021 wakati akiendelea kupata matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi karibu na Kanisa la Moravian.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!