Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Watumishi 5 TRA wafariki ajalini Songwe
Habari MchanganyikoTangulizi

Watumishi 5 TRA wafariki ajalini Songwe

Spread the love

 

WATUMISHI watano Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha fast Track wamefariki dunia katika ajali ya gari eneo la Hanseketwa Oldvwawa wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe … (endelea).

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe (RPC), Janeth Magomi amesema, ajali hiyo imetokea leo asubuhi Jumatatu, tarehe 23 Agosti 2021 wakati gari walilokuwa wamepanda T 8825 STL kugonga kwa nyuma lori T586 ANE walilokuwa wanalifukuzia.

 

RPC Janeth amesema, miili ya watumishi hao akiwemo dereva wao imehifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya Songwe.

Waliofariki ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!