KITUO cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimemuita Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, zimeeleza mafanikio...
By Masalu ErastoMarch 16, 2022AWAMU ya Pili ya ‘shusha Tanga pandisha tanga’ ya Chama cha ACT-Wazalendo imetajwa kuwa na kishindo baada ya viongozi waandamizi kutoka chama...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani amefanya mambo...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi majukumu matatu, Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Waziri Kindamba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022BALOZI mpya wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole kabla ya kwenda kuanza majukumu yake mapya atakutana na mambo mawili muhimu ikiwemo kuteta...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu nchini Tanzania, imeonesha wasiwasi wa kukamilika kwa wakati na kwa viwango vya ujenzi wa Reli...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022HAKUNA shaka kuwa Rais wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, anaweza kulifanyika mabadiliko mengine baraza lake la mawaziri, muda wowote kutoka sasa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022RAIS Samia leo tarehe 14 Machi 2022 ameteua viongozi mbalimbali wa Serikali huku akimwondoa Humphrey Polepole bungeni na kumpeleka kuwa balozi wa Tanzania...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wanawake wafanye maandalizi ya kugombea nafasi za uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika...
By Gabriel MushiMarch 14, 2022WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema maandalizi ya muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, yako...
By Regina MkondeMarch 14, 2022WANASIASA wawili vijana na maarufu nchini, Godbless Lema na Zitto Kabwe wameingia kwenye vita nnzito ya maneno baada ya kila mmoja kuanza ‘kufukua...
By Gabriel MushiMarch 13, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalumu, kwa ajili ya kufanya marekebisho katiba yake ya 1977, iliyorejewa mwaka 2020, kwa lengo...
By Gabriel MushiMarch 12, 2022NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, kesho Jumapili, tarehe 13 Machi 2022, kinatarajia kufanya uchaguzi wa kujaza...
By Gabriel MushiMarch 12, 2022WAKATI mwaka mmoja wa kukamilisha bajeti yake, ukifikia ukingoni, Serikali ya awamu ya sita imelenga kuongeza zaidi ukuaji uchumi kwa mwaka wa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeokoa kiasi cha Sh. 236.6 bilioni katika kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wa Serikali ya Rais Samia Suluhu...
By Regina MkondeMarch 11, 2022UCHUMI wa Tanzania umeongezeka kwa asilimia 0.1 kwa kipindi cha mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu Dodoma … (endelea). Uchumi wa Tanzania umeongezeka kwa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetengua azimio lake la kutoshiriki mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya...
By Regina MkondeMarch 11, 2022ALIYEKUWA mtia ya kugombea Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Maryrose Majinge amewataka Watanzania...
By Gabriel MushiMarch 10, 2022CHAMA cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitapeleka barua nyingine kwenda kwenye uongozi wa Bunge, kulitaarifu msimamo wake wa kufukuza uanachama wabunge...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema mchakato wa upatikanaji katiba mpya ni mgumu, kwani unachukua muda mrefu na...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2022MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (RC), Queen...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2022MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ametumia takribani dakika 76, kulihutubia Taifa ikiwa ni siku nne baada ya kutoka mahabusu ya Gereza la Ukonga,...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amedai chanzo cha yeye kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi, ni hotuba yake ya uchambuzi...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2022RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema anakwenda kufanya mabadiliko ya Wizara ya Afya kwa kuitenganisha...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022Rais Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mtu atakayeulizwa dini yake wakati wa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dk. Benson Bagonza, amesema juhudi zinahitajika ili kuijenga Tanzania mpya...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametahadharisha uwepo wa mfumuko mkubwa wa bei nchini unaosababishwa na kupanda kwa bei...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dk. Benson Bagonza, amesema miaka kumi iliyopita alipingwa na baadhi...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe, ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Benson Bagonza, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakufa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2022BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limesema litafanya ziara katika kanda za nchi, kwa ajili ya kuhamasisha ufufuaji...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2022BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka wanawake kujenga familia zinazozingatia misingi ya usawa wa kijinsia. Anaripoti Regina...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mazungumzo na wapinzani haiwezi kumaliza changamoto zinazoikabili nchi kwenye demokrasia, kwani huenda...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022KITI cha umeya wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kinachokaliwa na Juma Raibu kinazidi kufukuta moto, baada ya kamati ya siasa ya...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake haitakubali mtoto wa Kitanzania akose fursa ya elimu kwa sababu ya kuwa na...
By Regina MkondeMarch 7, 2022NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, asiwe na hofu kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025,...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri mifumo ya utawala na utoaji haki jinai nchini iboreshwe, ili kukomesha changamoto ya watu kubambikiwa kesi za kisiasa. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia, Freeman Mbowe amesema licha ya kuwa ugaidi ni kosa linaloweza kumfungisha mtu maisha lakini alimuomba Mungu...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kilichomfanya akafutiwa mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili ni “nguvu ya...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022SERIKALI ya Urusi imetengeneza njia salama ya kuwawezesha wanafunzi raia wa Tanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Sumy kilichopo nchini Ukraine kuvuka na...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2022WANAWAKE wa ACT Tanzania waadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuwatembelea wazazi katika Kituo cha Afya cha Palestina Sinza jijini Dar es...
By Masalu ErastoMarch 4, 2022ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aruhusu mchakato wa upatikanaji...
By Regina MkondeMarch 4, 2022SHANGWE zimeibuka katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, baada ya mahakama hiyo kufuta...
By Regina MkondeMarch 4, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe leo Ijumaa, tarehe 4 Machi 2022 amehitimisha siku 226...
By Masalu ErastoMarch 4, 2022MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa tarehe 4 Machi 2022, amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti...
By Regina MkondeMarch 4, 2022WATU kutoka vyama vya siasa vya upinzani, wameshauriwa wajiunge na Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, ili waongeze nguvu katika ulinzi...
By Regina MkondeMarch 3, 2022TAASISI ya Kumbukumu ya Mwalimu Julius Nyerere, imeiomba Serikali, wadau na wananchi, watoe mchango wao wa hali na mali, kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2022VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka aliyonayo kumaliza kesi ya ugaidi inayomkabili, kiongozi...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2022