MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia, Freeman Mbowe amesema licha ya kuwa ugaidi ni kosa linaloweza kumfungisha mtu maisha lakini alimuomba Mungu...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kilichomfanya akafutiwa mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili ni “nguvu ya...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022SERIKALI ya Urusi imetengeneza njia salama ya kuwawezesha wanafunzi raia wa Tanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Sumy kilichopo nchini Ukraine kuvuka na...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2022WANAWAKE wa ACT Tanzania waadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuwatembelea wazazi katika Kituo cha Afya cha Palestina Sinza jijini Dar es...
By Masalu ErastoMarch 4, 2022ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aruhusu mchakato wa upatikanaji...
By Regina MkondeMarch 4, 2022SHANGWE zimeibuka katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, baada ya mahakama hiyo kufuta...
By Regina MkondeMarch 4, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe leo Ijumaa, tarehe 4 Machi 2022 amehitimisha siku 226...
By Masalu ErastoMarch 4, 2022MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa tarehe 4 Machi 2022, amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti...
By Regina MkondeMarch 4, 2022WATU kutoka vyama vya siasa vya upinzani, wameshauriwa wajiunge na Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, ili waongeze nguvu katika ulinzi...
By Regina MkondeMarch 3, 2022TAASISI ya Kumbukumu ya Mwalimu Julius Nyerere, imeiomba Serikali, wadau na wananchi, watoe mchango wao wa hali na mali, kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2022VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka aliyonayo kumaliza kesi ya ugaidi inayomkabili, kiongozi...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2022ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam impe muda...
By Regina MkondeMarch 2, 2022MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania wanaelezea ziara zilizofanywa na kiongozi mkuu wa Taifa hilo, Rais Samia Suluhu Hassan. Hivi karibuni, Rais Samia...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo Jumatano tarehe 2 Machi 2022, itasikiliza maombi ya kufungua kesi...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2022RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi anaamini watu wanaohoji na kupinga miradi inayoanza kutekelezwa hapa Zanzibar ni wapinzani wake. Anaripoti Jabir...
By Jabir IdrissaMarch 1, 2022MWANAHARAKATI wa kisiasa nchini Tanzania, Godlisten Malisa amezungumzia jinsi aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambavyo hakupaswa...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika...
By Danson KaijageMarch 1, 2022ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa amesema, anamwombea kwa Mwenyezi Mungu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili haki iweze...
By Mwandishi WetuFebruary 28, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Brigedia Jenerali, Yohana Mabongo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Tanga, imemuachia kwa masharti Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ahmed Kidege na wenzake wawili, baada ya Mkurugenzi wa...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2022CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimezindua program maalum iitwayo ‘Join the Chain’ yenye lengo la kukusanya fedha za ujenzi...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na mataifa mengine ili kuhakikisha amani, ushirikiano, ustawi wa kijamii...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2022RAIS wa Awamu ya Nne Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ameishauri Serikali iwe na sera zinazotabirika katika usimamizi wa sekta ya madini, ili...
By Mwandishi WetuFebruary 24, 2022ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera, Severine Niwemugizi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kushughulikia changamoto sita zinazoikabili wilaya hiyo hususani...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2022ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera, Severine Niwemugizi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan asikubali kamwe kulinganishwa na Mungu kwa namna...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2022KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan...
By Gabriel MushiFebruary 21, 2022KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi, Shaka Hamdu Shaka amesema chama hicho kinaridhishwa na juhudi...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2022MAMIA ya Wanachama kutoka Chama cha ACT Wazalendo wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo aliyekuwa Mgombea nafasi ya...
By Gabriel MushiFebruary 20, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), limeiagiza Serikali isimamie mapato na matumizi ya halmashauri nchini, ili...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imeitaka Serikali ichunguze sababu za kutofautiana kwa mahitaji ya kiasi...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo kimependekeza kuwa kabla ya kusainiwa mkataba wa EPA, serikali ihakikishe kuna mfumo wa kufidia upotevu wa mapato yatokanayo...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2022CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mazungumzo aliyofanya Makamu Mwenyekiti wake Bara, Tundu Lissu na Rais Samia Suluhu Hassan, jijini Brussels,...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2022UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, kwenye Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2022MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imemkuta na kesi ya kujibu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2022MAMIA ya wanachama wa Chadema, wamefika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, kusikiliza uamuzi...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Serikali ichukue hatua dhidi ya kampuni na watendaji wa Mamlaka ya...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2022KITUO cha Demokrasia nchini Tanzania (TCD), kimesema mkutano uliofanyika kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu...
By Regina MkondeFebruary 17, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema Tundu Lissu, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, alitafutie ufumbuzi suala la...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania-Chadema, Tundu Lissu, amedai hati yake ya kusafiria (pasipoti), imeibiwa mwezi uliopita akiwa nchini...
By Regina MkondeFebruary 17, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kushughulikia kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa chama...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2022SAKATA la Hifadhi Ngorongoro limeendelea kuchukua sura mpya baada ya Mbunge wa Monduli (CCM), Mkoa wa Arusha, Fredrick Lowassa kuibuka akisema “Wamasai...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassa amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo- Chadema, Tundu Lissu....
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeitupilia mbali kesi ya kupinga marekebisho ya Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi...
By Gabriel MushiFebruary 16, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imefunga kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022SHAHIDI wa 13 wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Tumaini Swila, amedai hakusikia...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022MPELELEZI wa kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Inspekta Tumaini Swila, amedai mwanasiasa...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022MSIBA wa kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Shambe Sagafu, umegeuka jukwaa la wanasiasa kukosoana huku...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imetoa maamuzi juu ya madai yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Chadema,...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2022MPELELEZI Msaidizi, wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Inspekta Tumaini Swila, amedai kuna fedha ambazo mwanasiasa...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2022