Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Walichoteta Rais Samia, Mbowe Ikulu
Habari za SiasaTangulizi

Walichoteta Rais Samia, Mbowe Ikulu

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Wawili hao wamekutana Ikulu jijini Dar es Salaam usiku wa Ijumaa tarehe 4 Mei 2022 ikiwa ni muda mchache tangu Mbowe achiwe huru kutoka gereza la Ukonga.

Soma taarifa ya Zuhura Yunus, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu kuhusu kile walichozungumza viongozi hao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

error: Content is protected !!