HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Serikali ya Benin imepinduliwa December 7, 2025 Erasto Masalu JARIBIO la mapinduzi linaendelea nchini Benin, baada ya kundi la wanajeshi kudai kwamba wamemwondoa Rais Patrice Talon madarakani na sasa wanachukua usimamizi wa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Tanzania yaibuka kinara wa utalii duniani December 7, 2025 Erasto Masalu TANZANIA imeibuka kinara wa utalii duniani kama nchini inayoongoza kwa utalii wa safari katika tuzo zilizotolewa usiku wa jana tarehe 6 Desemba nchini Bahrain. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO TRA yawataka wanachama wa SACCOS kuhamasisha ulipaji kodi December 6, 2025 Erasto Masalu KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amewataka wanachama wa Saccos nchini kuwa mabalozi wa kuhamasisha wananchi kulipa kodi na kutumia mikopo kuanzisha shughuli za kiuchumi zitakazoongeza wigo…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA SIASA TANGULIZI Mwanasheria wa kimataifa ataka Tanzania isifukuzwe Jumuiya ya Madola December 6, 2025 Erasto Masalu MWANASHERIA wa kimataifa wa haki za binadamu, Robert Amsterdam, ametoa wito wa dharura kwa Jumuiya ya Madola (Commonwealth), kuisimamisha Tanzania mara moja uanachama wake, kutokana na ukiukaji mkubwa wa maadili…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mwabukusi amuonya RC Chalamila, amtaja sakata la 29 Oktoba December 6, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amemtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, kuacha mara moja, vitisho dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la…
HABARI MCHANGANYIKO Chalamila: Tanesco mchukulieni hatua Dk. Kitima December 5, 2025 Erasto Masalu MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaagiza viongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA Uwezekano wa wanawake kuwa Mashemasi bado mgumu December 5, 2025 Erasto Masalu TUME ya Juu ya Vatican imeendelea kupinga uwezekano wa kuruhusu wanawake wa Kikatoliki kuhudumu kama mashemasi ndani ya kanisa hilo ulimwenguni. Anaripoti Joyce Ndeki, Dar es Salaam … (endelea). Tume…
ELIMU HABARI MCHANGANYIKO Shule za sekondari, Veta kufungiwa miundombinu ya nishati safi ya kupikia December 5, 2025 Erasto Masalu WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu,…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Meta yamjibu Mange Kimambi, yeye akimbilia kwa Trump December 5, 2025 Erasto Masalu KAMPUNI ya Meta imedai kuwa imesimamisha akaunti za Instagram za wanaharakati wawili wa Tanzania, Mange Kimambi na Maria Sarungi, kutokana na “kukiuka sera yetu ya kukiuka masharti mara kwa mara.”…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA SIASA TANGULIZI Umoja wa Mataifa, Marekani yaikaba koo Tanzania December 4, 2025 Erasto Masalu WATAALAMU wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa (UN), leo Alhamisi, tarehe 4 Desemba 2025, imetaka kuundwa kwa Tume mpya ya uchunguzi, kufuatia maandamano ya siku ya uchaguzi mkuu…