KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimesema kina mpango wa kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuwasilisha ombi la kufanyiwa...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande amesema Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) umefikia asilimia...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2023MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga amesema watoto wote wanaotumia Toto Afya Kadi hivi sasa...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2023WATU 4,060 wamepoteza maisha kwa ajali za barabarani na wengine 6,427 wakipata majeraha kutokana na ajali za barabarani kwa kipindi cha miaka...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2023WAZIRI Mkuu nchini Tanzania, Kassim Majaliwa, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo kuhakikisha wanakagua mabasi yote ya masafa marefu na kujiridhisha kuwa...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2023TAASISI za umma nchini zimeshauriwa kushirikiana na taasisi binafsi katika jitihada za kuhakikisha teknolojia inatumika ipasavyo ili kupunguza ajali za magari nchini....
By Mwandishi WetuMarch 14, 2023BENKI ya NMB imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi wanaotaka kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2023BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeongeza muda wa siku 30 wa usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc baada ya mchakato wa kutathmini...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2023MAWAKILI wasomi watatu, Harold Sungusia, Reginald Shirima na Sweetbeert Nkuba, wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya urais wa Chama cha...
By Regina MkondeMarch 14, 2023SERIKALI imewasilisha kwa Wabunge Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023KAMPUNI za Samsung na Vodacom Tanzania Plc zimeshirikiana tena kwa mara nyingine kuzindua simu ya mkononi ya Samsung Epic Galaxy S23. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023KIONGOZI mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, leo Jumatatu anaadhimisha miaka 10 tangu alipochaguliwa kuliongoza kanisa hilo duniani. Papa Francis, mwenye...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023WATU saba wanadaiwa kupoteza maisha kisiwani Mafia, mkoani Pwani baada ya kula samaki aina ya kasa anayedaiwa alikuwa na sumu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) 40, yamepewa mafunzo kuhusu ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha na ufadhili wa vitendo vya ugaidi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeMarch 13, 2023BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) imesema iwapo mvua zitanyesha kwa kipindi cha miaka miwili ya msimu, Bwawa la Mwalimu Nyerere litakalozalisha...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuwawezesha wanawake walioajiriwa ndani ya kampuni hiyo kujiendeleza kielimu pamoja...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023Benki ya NMB imeandika historia nyingine baada ya kutwaa Tuzo ya Benki Bora Tanzania kwa mwaka 2023 katika mkutano wa Africa Bank 4.0...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2023Serikali ipo mbioni kukamilisha Mwongozo wa Mafunzo wa Malezi ya Watoto wadogo na wachanga ili kuleta uwiano na uelewa unaofanana wa ufundishaji wa...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2023MKUU wa wilaya ya Mbozi mkoani Songwe Ester Mahawe ametoa siku saba kwa maafisa elimu wilayani Mbozi kuhakikisha wanafunzi 1300 wa kidato cha...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2023ASKOFU mkuu wa kanisa la The Potter’s House Tanzania (PHCT), Ruth Kusenah amewataka vijana wote nchini kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiongezea...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2023SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) mkoani Tabora katika...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2023MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2023WADAU wa masuala ya utetezi wa haki za binadamu, wameshauri mfumo mzima wa haki jinai nchini ufumuliwe kwa maelezo kwamba haukidhi mahitaji ya...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2023WANAVIJIJI wa Kata ya Bukumi, wilayani Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, wamejenga maabara tatu za masomo ya sayansi katika Shule yao ya Sekondari...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2023MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuanzisha program zinazolenga kufungua fursa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2023JUMLA wafanyakazi wa kike saba wa Benki ya NMB wamehitimu mafunzo Mwanamke Kiongozi yanayoratibiwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) yenye lengo la kuwajengea uwezo...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2023ALIYEKUWA Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Fatma Karume ameishauri uundwaji wa Mahakama maalum itakayochunguza vifo vinavyotokea katika mazingira yenye...
By Regina MkondeMarch 11, 2023SERIKALI wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imesema ili kuhakikisha mchango wa Mto Kilombero kwenye uzalishaji wa umeme na kilimo unakuwa endelevu itachukua hatua...
By Seleman MsuyaMarch 11, 2023CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), limeendesha kongamano la wazi la kukusanya maoni ya wadau juu ya namna ya kuboresha taasisi ya...
By Regina MkondeMarch 11, 2023UMOJA wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Kata ya Kivukoni jijini Dar es Salaam umeadhimisha Siku ya Wanawake duniani kwa kuendesha kampeni...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2023WAKILI Mkuu wa Serikali amekitaka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kuendelea kuwajengea uwezo wanachama wake ili waweze kufanya kazi kwa weledi...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2023DAKTARI Sikujua Omar Hamdan anaamini Zanzibar inahitaji “sheria za pamoja” za kushughulikia tatizo linalokua la udhalilishaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya...
By Jabir IdrissaMarch 10, 2023JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amewataka majaji na mahakimu wanawake nchini, kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2023IMEELEZWA kuwa kutelekezwa kwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja katika mkoa wa Songwe imetokana na baadhi ya wakandarasi waliopewa...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2023WADAU wa masuala ya haki za binadamu Tanzania, wameiomba Serikali iweke mikakati itakayohakikisha matumizi ya Teknokojia ya Habari na Mawasiliano, haiwaachi nyuma watu...
By Regina MkondeMarch 9, 2023BENKI ya Equity imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kubainisha vipaumbele vya vinavyotoa suluhisho kidigitali katika utoaji huduma za benki kwa wanawake....
By Mwandishi WetuMarch 9, 2023UPANDE wa Serikali, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, kupata kibali cha kuwauliza maswali ya dodoso wajumbe wa Bodi...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2023MENEJA Mkuu wa Barrick Tanzania, Dk. Melkiory Ngido amewataka Wanawake kijiamini na kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya uchimbaji wa madini. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2023BENKI ya Akiba Commercial Bank (ACB) imezindua akaunti mpya iliyopewa jina la WARIDI ambayo ni maalumu kwa wafanyabiashara wanawake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 9, 2023MSUKUMO wa kisiasa na kipato vimetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia ongezeko la uharibufu wa vyanzo vya maji na mazingira kwenye Mto Mbarali Chini...
By Seleman MsuyaMarch 9, 2023Mkurugenzi wa Fedha Vodacom Tanzania Plc, Hilda Bujiku (mwenye kipaza sauti) akizungumza wakati wa jukwaa la Women’s Network Forum lililoandaliwa na kampuni hiyo...
By Masalu ErastoMarch 9, 2023KIKUNDI cha wafanyakazi wa kike wanaofanya kazi katika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML ladies) wanaofanya kazi mjini Geita, wametoa msaada wa...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2023Tukiwa tunaadhimisha siku ya wanawake duniani, NMB imeandika historia mpya kwa kuwa Benki ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kuorodhesha hatifungani ya...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2023TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo kwa watumishi wa umma, imejitolea Sh milioni 15 kusaidia gharama ya matibabu...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2023BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB), imetumia Sh bilioni 1.7 kujenga Bwawa la Maji kata ya Masaka mkoani Iringa, hali ambayo inaenda...
By Seleman MsuyaMarch 8, 2023WAKATI wanawake wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe wakiadhimisha siku ya wanawake duniani imeelezwa kuwa katika kipindi cha mwaka 2022 na 2023...
By Masalu ErastoMarch 8, 2023SHIRIKA linaloshughulika na masuala ya msaada wa kisheria, Legal Services Facility (LSF), limetatua migogoro ya kifamilia 315, kupitia huduma yao ya mtandaoni...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2023BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aangilie kwa jicho la tatu sakata la...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2023KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameitoa nchi gizani katika masuala ya uhuru wa habari...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2023MWANDISHI wa Habari mwandamizi wa gazeti la Nipashe kutoka kampuni ya IPP Media, Richard Makore amefariki dunia katika ajali iliyoua watu saba eneo...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2023