Tuesday , 7 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

LHRC kutinga kwa Rais Samia sakata la masheikh wanaotuhumiwa kwa ugaidi

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimesema kina mpango wa kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuwasilisha ombi la kufanyiwa...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi JNHPP wafikia asilimia 82, umeme Juni 2024

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande amesema Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) umefikia asilimia...

Habari Mchanganyiko

NHIF yatoa ufafanuzi maboresho usajili wa watoto

  MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga amesema watoto wote wanaotumia Toto Afya Kadi hivi sasa...

Habari Mchanganyiko

Ajali za barabarani zasababisha vifo 4,060 kwa miaka 3

  WATU 4,060 wamepoteza maisha kwa ajali za barabarani na wengine 6,427 wakipata majeraha kutokana na ajali za barabarani kwa kipindi cha miaka...

Habari Mchanganyiko

Mabasi ya masafa marefu sasa lazima kuwa na madereva wawili

  WAZIRI Mkuu nchini Tanzania, Kassim Majaliwa, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo kuhakikisha wanakagua mabasi yote ya masafa marefu na kujiridhisha kuwa...

Habari Mchanganyiko

Vodacom yarahisisha upatikanaji wa bima wiki ya Nenda kwa Usalama Mwanza

  TAASISI za umma nchini zimeshauriwa kushirikiana na taasisi binafsi katika jitihada za kuhakikisha teknolojia inatumika ipasavyo ili kupunguza ajali za magari nchini....

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua mikopo nafuu elimu ya juu, Waziri Mkenda asema…

BENKI ya NMB imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi wanaotaka kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha...

Habari Mchanganyiko

BoT yaongeza siku 30 usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeongeza muda wa siku 30 wa usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc baada ya mchakato wa kutathmini...

Habari Mchanganyiko

Hawa hapa waliojitosa kurithi mikoba ya Prof. Hosea TLS

  MAWAKILI wasomi watatu, Harold Sungusia, Reginald Shirima na Sweetbeert Nkuba, wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya urais wa Chama cha...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakadiria bajeti ya Sh 44.3Tril. mwaka 2023/24

  SERIKALI imewasilisha kwa Wabunge Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,...

Habari Mchanganyiko

Samsung, Vodacom waileta Galaxy S23 kwa mara kwanza Tanzania

  KAMPUNI za Samsung na Vodacom Tanzania Plc zimeshirikiana tena kwa mara nyingine kuzindua simu ya mkononi ya Samsung Epic Galaxy S23. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis atimiza miaka 10 ya uongozi

  KIONGOZI mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, leo Jumatatu anaadhimisha miaka 10 tangu alipochaguliwa kuliongoza kanisa hilo duniani. Papa Francis, mwenye...

Habari Mchanganyiko

Saba wadaiwa kupoteza maisha kwa kula kasa Mafia

  WATU saba wanadaiwa kupoteza maisha kisiwani Mafia, mkoani Pwani baada ya kula samaki aina ya kasa anayedaiwa alikuwa na sumu. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zapigwa msasa ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha, ugaidi

  MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) 40, yamepewa mafunzo kuhusu ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha na ufadhili wa vitendo vya ugaidi. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Bwala la Nyerere kujaa kwa misimu miwili

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) imesema iwapo mvua zitanyesha kwa kipindi cha miaka miwili ya msimu, Bwawa la Mwalimu Nyerere litakalozalisha...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML kwa kuwainua wanawake, mhitimu FFT aula

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuwawezesha wanawake walioajiriwa ndani ya kampuni hiyo kujiendeleza kielimu pamoja...

Habari Mchanganyiko

NMB yashinda Tuzo ya Benki Bora Tanzania 2023, Ruth Zaipuna aibuka tena Mkurugenzi Bora

Benki ya NMB imeandika historia nyingine baada ya kutwaa Tuzo ya Benki Bora Tanzania kwa mwaka 2023 katika mkutano wa Africa Bank 4.0...

Habari Mchanganyiko

Walezi wa watoto kupikwa kwa mtaala mmoja

Serikali ipo mbioni kukamilisha Mwongozo wa Mafunzo wa Malezi ya Watoto wadogo na wachanga ili kuleta uwiano na uelewa unaofanana wa ufundishaji wa...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 1300 kidato cha kwanza watokomea kusikojulikana, DC acharuka, atoa siku 7

MKUU wa wilaya ya Mbozi mkoani Songwe Ester Mahawe ametoa siku  saba kwa maafisa elimu wilayani Mbozi kuhakikisha wanafunzi 1300 wa kidato cha...

Habari Mchanganyiko

Askofu awataka vijana kufanya kazi, kuacha utegemezi

ASKOFU mkuu wa kanisa la The Potter’s House Tanzania (PHCT), Ruth Kusenah amewataka vijana  wote nchini kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiongezea...

Habari Mchanganyiko

TRC waendesha zoezi la kutwaa ardhi kwa ajili ya kupisha ujenzi wa SGR Tabora

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) mkoani Tabora katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar...

Habari Mchanganyiko

Wadau haki binadamu wataka mfumo wa jinai ufumuliwe

WADAU wa masuala ya utetezi wa haki za binadamu, wameshauri mfumo mzima wa haki jinai nchini ufumuliwe kwa maelezo kwamba haukidhi mahitaji ya...

Habari Mchanganyiko

Wanavijiji waikumbuka sekondari iliyokosa maabara kwa miaka 17

WANAVIJIJI wa Kata ya Bukumi, wilayani Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, wamejenga maabara tatu za masomo ya sayansi katika Shule yao ya Sekondari...

Habari Mchanganyiko

Michuzi aipongeza GGML kufungua fursa kwa wanawake, aahidi ushirikiano

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuanzisha program zinazolenga kufungua fursa...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi saba NMB wahitimu mafunzo ya Mwanamke Kiongozi (FFT)

JUMLA wafanyakazi wa kike saba wa Benki ya NMB wamehitimu mafunzo Mwanamke Kiongozi yanayoratibiwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  yenye lengo la kuwajengea uwezo...

Habari Mchanganyiko

Fatma Karume ataka mahakama ya kuchunguza vifo vyenye utata

  ALIYEKUWA Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Fatma Karume ameishauri uundwaji wa Mahakama maalum itakayochunguza vifo vinavyotokea katika mazingira yenye...

Habari Mchanganyiko

DC Kyobya aapa kutowavumilia waharibifu vyanzo vya maji

  SERIKALI wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imesema ili kuhakikisha mchango wa Mto Kilombero kwenye uzalishaji wa umeme na kilimo unakuwa endelevu itachukua hatua...

Habari Mchanganyiko

TLS yaendesha kongamano kukusanya maoni kuboresha haki jinai

  CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), limeendesha kongamano la wazi la kukusanya maoni ya wadau juu ya namna ya kuboresha taasisi ya...

Habari Mchanganyiko

UWT Kivukoni Dar waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kupima afya bure

UMOJA wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Kata ya Kivukoni jijini Dar es Salaam umeadhimisha Siku ya Wanawake duniani kwa kuendesha kampeni...

Habari Mchanganyiko

TLS yatakiwa kuwajengea uwezo wanacha wake

  WAKILI Mkuu wa Serikali amekitaka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kuendelea kuwajengea uwezo wanachama wake ili waweze kufanya kazi kwa weledi...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Zanzibar inahitaji sheria kumaliza udhalilishaji na ukatili wa kijinsia

  DAKTARI Sikujua Omar Hamdan anaamini Zanzibar inahitaji “sheria za pamoja” za kushughulikia tatizo linalokua la udhalilishaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya...

Habari Mchanganyiko

Majaji wanawake waongezeka, Jaji Mkuu awapa changamoto

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amewataka majaji na mahakimu wanawake nchini, kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi watumia mikokote ya ng’ombe kujenga barabara Songwe

IMEELEZWA kuwa kutelekezwa kwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja katika mkoa wa Songwe imetokana na baadhi ya wakandarasi waliopewa...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataka TEHAMA isiwaache nyuma wenye ulemavu

WADAU wa masuala ya haki za binadamu Tanzania, wameiomba Serikali iweke mikakati itakayohakikisha matumizi ya Teknokojia ya Habari na Mawasiliano, haiwaachi nyuma watu...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Equity yaadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake kidigitali

BENKI ya Equity imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kubainisha vipaumbele vya vinavyotoa suluhisho kidigitali katika utoaji huduma za benki kwa wanawake....

Habari Mchanganyiko

Kesi kina Mdee: Serikali yaomba kuwahoji mahakamani vigogo wa Chadema

  UPANDE wa Serikali, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, kupata kibali cha kuwauliza maswali ya dodoso wajumbe wa Bodi...

Habari Mchanganyiko

Barrick yawataka wanawake kuchangamkia fulsa katika sekta ya madini

MENEJA Mkuu wa Barrick Tanzania, Dk. Melkiory Ngido amewataka Wanawake kijiamini na kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya uchimbaji wa madini. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Akiba wazindua waridi akaunti kwa wanawake wajasiriamali

BENKI ya Akiba Commercial Bank (ACB) imezindua akaunti mpya iliyopewa jina la WARIDI ambayo ni maalumu kwa wafanyabiashara wanawake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

JUAMBACHI yalia na wanasiasa uharibifu wa vyanzo vya maji

MSUKUMO wa kisiasa na kipato vimetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia ongezeko la uharibufu wa vyanzo vya maji na mazingira kwenye Mto Mbarali Chini...

Habari Mchanganyiko

Vodacom waadhimisha siku ya Wanawake kwa jukwaa la Women’s Network Forum

Mkurugenzi wa Fedha Vodacom Tanzania Plc, Hilda Bujiku (mwenye kipaza sauti) akizungumza wakati wa jukwaa la Women’s Network Forum lililoandaliwa na kampuni hiyo...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wa kike GGML watoa msaada wa vifaa tiba katika halmashauri ya Geita

KIKUNDI cha wafanyakazi wa kike wanaofanya kazi katika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML ladies) wanaofanya kazi mjini Geita, wametoa msaada wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yaweka historia mpya, yaorodhesha hatifungani soko la mitaji Ulaya

Tukiwa tunaadhimisha siku ya wanawake duniani, NMB imeandika historia mpya kwa kuwa Benki ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kuorodhesha hatifungani ya...

Habari Mchanganyiko

Bayport yatoa milioni 15 kusaidia watoto 300 Muhimbili

  TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo kwa watumishi wa umma, imejitolea Sh milioni 15 kusaidia gharama ya matibabu...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 1.7 yamaliza kero ya maji Masaka

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB), imetumia Sh bilioni 1.7 kujenga Bwawa la Maji kata ya Masaka mkoani Iringa, hali ambayo inaenda...

Habari Mchanganyiko

Ukatili kwa wanawake, watoto tishio Ileje

  WAKATI wanawake wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe wakiadhimisha siku ya wanawake duniani imeelezwa kuwa katika kipindi cha mwaka 2022 na 2023...

Habari Mchanganyiko

LSF yatatua migogoro 315 ya kifamilia mtandaoni

  SHIRIKA linaloshughulika na masuala ya msaada wa kisheria, Legal Services Facility (LSF), limetatua migogoro ya kifamilia 315, kupitia huduma yao ya mtandaoni...

Habari Mchanganyiko

Bawacha wamtwisha Samia zigo la akina Mdee, Mbowe agongelea msumari

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aangilie kwa jicho la tatu sakata la...

Habari Mchanganyiko

Ado: Rais Samia ameitoa gizani tasnia ya habari

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameitoa nchi gizani katika masuala ya uhuru wa habari...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa habari afariki dunia katika ajali Geita

MWANDISHI wa Habari mwandamizi wa gazeti la Nipashe kutoka kampuni ya IPP Media, Richard Makore amefariki dunia katika ajali iliyoua watu saba eneo...

error: Content is protected !!