HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Rais Samia aongoza waombolezaji ibada ya mazishi ya Jenesta December 13, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kushiriki ibada ya mazishi ya mbunge wa Peramiho (CCM) Jenista Mhagama. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ibada…
HABARI MCHANGANYIKO Dawasa yawapa matumaini wakazi wa Dar suala la maji December 12, 2025 Erasto Masalu WAKATI wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakilalamika shida ya maji, afisa mtendaji mkuu wa mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Mhandisi Mkama Bwire,…
HABARI MCHANGANYIKO MAKALA & UCHAMBUZI SIASA TANGULIZI GEN Z ni kina nani, mbona mnatutesa hivi? December 12, 2025 Erasto Masalu GEN Z, GEN Z, GEN Z, ninawaita mara tatu kama vile Petro alivyomkana Bwana Yesu Kristo kabla ya jogoo halijawika. Kwa nini mnatutesa hivi? Anaandika Zakia Nanga, Dar es Salaam…
HABARI MCHANGANYIKO Jenesta Mhagama kuzikwa desemba 16, Mbinga December 12, 2025 Erasto Masalu MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya 16 Desemba 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani Ruvuma. Anaripoti Zakia Nanga, Dar es Salaam ……
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Taifa limepata pengo kuondokewa na Jenesta – Nchimbi December 11, 2025 Erasto Masalu MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Balozi Emmanuel Nchimbi amesema, taifa limepata pengo kuondokewa na aliyekuwa Mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, Jenista Mhagama. Amesema, Jenesta alikuwa kiongozi aliyeheshimika na kutumikia nchi…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Buriani Jenesta Mhagama December 11, 2025 Erasto Masalu JENESTA Mhagama, mbunge wa Peramiho, mkoani Ruvuma (CCM), amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa iliyotolewa na ofisi ya Bunge imeeleza kuwa Jenesta amekutwa na umauti…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Kesi kupinga uchaguzi Zbar zaanza December 10, 2025 Erasto Masalu WANACHAMA 17 wa ACT Wazalendo waliogombea uwakilishi kwenye Uchaguzi Mkuu Zanzibar wamewasilisha maombi rasmi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyowatangaza washindani wao kutoka Chama Cha Mapinduzi kuwa ndio washindi. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO Hakuna tishio la kuzima mtandao nchini – Simbachawene December 8, 2025 Erasto Masalu SIMBACHAWENE- HAKUNA TISHIO LA KUZIMA MTANDAO WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema uamuzi wa kuzima mtandao (internet) ni chaguo la mwisho kabisa pale hali ya kiusalama inapokuwa mbaya.…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Desemba 9, kutoka kushuhudia gwaride hadi kubaki nyumbani December 8, 2025 Erasto Masalu TANGU Desemba 9, 1961 Tanganyika ilipopata uhuru wake, siku hiyo imekuwa ni ya kipekee kwa wananchi ambapo hukumbuka uhuru wa taifa lao. Anaripoto Joyce Ndeki, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Jaribio la Mapinduzi Benin lazimwa December 7, 2025 Erasto Masalu WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Benin, Alassane Seidou, ametangaza kuwa jaribio la mapinduzi lililofanywa na “kikundi kidogo cha wanajeshi” limezimwa na jeshi la nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…