Sunday , 19 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Polisi wamuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro

JESHI la Polisi Tanzania, limemuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro leo tarehe 10 Mei  2023 baada ya kustaafu Utumishi ndani ya Jeshi...

Habari Mchanganyiko

NMB, ZIPA zasaini makubaliano kukuza uwekezaji Zanzibar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kuharakisha maendeleo ya kiuchumi, Benki ya NMB na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji...

Habari Mchanganyiko

Maji yaendelea kusambazwa Musoma Vijijini

  WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umeendelea kusambaza maji katika vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango akemea viongozi wa dini kuburuzana mahakamani

MAKAMU wa Rais  Dk. Philip Mpango amewataka viongozi wa dini nchini kuwa na utaratibu wa kusuluhisha migogoro yao wenyewe badala ya kuipeleka mahakamani....

Habari Mchanganyiko

Polisi wachunguza kifo cha mwanamke anayehusishwa katika ajali ya Naibu Waziri

JESHI la Polisi nchini limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafuzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom),  Nusura Hassan Abdallah kinachodaiwa kutokana na kipigo...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kiruswa atoa wiki moja kuweka ‘bicon’ eneo la wawekezaji Kilimanjaro

NAIBU Waziri wa Madin Dk. Steven Kiruswa ametoa wiki moja kuweka alama (bicon) kwenye mipaka baina ya wawekezaji wawili wa uchimbaji wa madini...

Habari Mchanganyiko

CWT Igunga: Rais Samia amerejesha ari ya walimu kufanya kazi

CHAMA cha Walimu (CWT) Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, kimesema juhudi za  Rais Samia Suluhu Hassan zinatoa muelekeo chanya wa ukuaji wa sekta...

Habari Mchanganyiko

NMB yakarabati wodi ya uzazi Muhimbili

BENKI ya NMB imekarabati na kukabidhi wodi ya wazazi pamoja na vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati huo uliogharimu zaidi...

Habari Mchanganyiko

Wachafuzi wa mazingira Dodoma ‘kukiona cha moto’

AFISA  Mazingira wa Jiji la Dodoma Dickson Kimaro amewaagiza watendaji wote wa kata na mitaa ndani ya jiji la Dodoma kuwakamata watu ambao...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa mazingira watakiwa kuunga mkono utunzaji wa mazingira

  WADAU wa mazingira mkoani hapa wametakiwa kuunga mkono utunzaji wa mazingira hasa suala la upandaji miti sababu utunzaji wa mazingira ni sawa...

Habari Mchanganyiko

UNICEF wateta na TEF, “Tz ina mazingira mazuri kulinda watoto”

MKURUGENZI Mkuu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Naysan Sahba amesema Tanzania ina mazingira mazuri ya kulinda...

Habari Mchanganyiko

RC Mwanza ataka FEMATA kuwa kinara wa utunzaji mazingira

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima ameliomba Shirikisho la vyama vya wachimbaji Tanzania (FEMATA) kusimamia suala la utunzaji wa mazingira kwa wachimbaji...

Habari Mchanganyiko

Infinix, Vodacom kuwanufaisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupitia Hot 30

KAMPUNI ya Vodacom kwa kushirikiana na Infinix leo wametangaza uzinduzi wa simu mpya ya Infinix toleo la HOT  30 pamoja na kampeni ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa alitaka baraza la michezo AU kukuza michezo, “tusikubali kushika mkia”

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Mawaziri wa michezo wa Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika Kanda ya Nne kuweka nguvu katika kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo aipa Serikali mbinu ya kumaliza umasikini

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, ameishauri Serikali kupandisha ukuaji wa uchumi wa nchi ili kuondoa umasikini unaowakabili wananchi....

Habari Mchanganyiko

TRA yataja viwango vipya kodi ya majengo inayotozwa kupitia luku

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetangaza viwango vipya vya kodi ya majengo vinavyokusanywa kwa kutumia njia ya ununuzi wa umeme kwa wamiliki. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo yaitaka jamii kulinda watoto

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetoa wito kwa jamii kuhakikisha watoto wanalindwa ili kufikia malengo yao ikiwamo kutimiza ndoto ya kuwa viongozi imara kwa maslahi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi kuhakikisha tasnia ya habari inasonga mbele

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amesema Serikali imeahidi kuhakikisha tasnia ya habari inasonga mbele kwa kutatua...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi: Tanzania inatambua umuhimu wa vyombo vya habari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua umuhimu...

Habari Mchanganyiko

UN yaipongeza Tanzania kuimarisha uhuru vyombo vya habari

UMOJA wa Mataifa umeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini licha ya kukosolewa vikali...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua tawi la 229 Arusha, BoT yatoa neno

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imeipongeza Benki ya NMB kwa kuwa kinara miongoni mwa mabenki 44 nchini kwa ubunifu wa kuchagiza ukuaji wa...

Habari Mchanganyiko

Abdul Kambaya ang’atuka Chadema,”mimi sio wa kwanza kuondoka”

MWANASIASA maarufu nchini Abdul Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiwa zimepita siku 52 tangu alipojiunga na...

Habari Mchanganyiko

Madiwani Songwe wachachamaa mradi wa milioni 600 kukwama

MADIWANI katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe, wamemjia juu meneja wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (RUWASA)...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Mchakato wa kuandaa muswada wa sheria ya habari umefikia 80%

SERIKALI za Tanzania Bara na Zanzibar zimesema mchakato wa kupatikana kwa Sheria ya Habari yenye kukidhi mahitaji ya wadau upo katika hatua za...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri aipongeza GGML kwa kutoa fursa za ajira, zabuni kwa Watanzania

NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu, Patrobas Katambi ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

Habari Mchanganyiko

SDGCA yazifunda asasi za  kirai kuhusu fursa za SADC

ASASI za Kirai (CSOs) na sekta binafsi nchini zimeshauriwa kushiriki kikamilifu fursa zilizopo kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...

Habari Mchanganyiko

DC Mgeni ataka usimamizi  wa miradi ya maendeleo

MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka watendaji Serikali kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo ya maji, ili iweze...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amerejesha matumaini ya Watanzania – NGOs

  MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali nchini (NGOs) yamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wa kimageuzi tangu aliposhika madaraka miaka miwili iliyopita, yakisema...

Habari Mchanganyiko

Ulega atangaza mabadiliko mifugo na uvuvi, nyama ya Tanzania dili Uarabuni

WAZIRI wa Mifugo na uvuvi, Abdallah Ulega ameomba kuidhinishiwa jumla ya Sh. 296 bilioni kwa ajili ya matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka...

Habari Mchanganyiko

WEMA: Kutenganisha taka ndio njia rahisi ya utunzaji mazingira

  IMEELEZWA kuwa kutenganisha takataka wakati wa kuzitupa ndio njia rahisi itakayosaidia kuhifadhi mazingira na kuleta manufaa kwa jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro...

Habari Mchanganyiko

GGML yaibuka kampuni kinara inayozingatia malengo ya SDGs

KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML) imeibuka mshindi wa jumla katika tuzo za kampuni za kibiashara zilizoonesha kwa vitendo...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda atia mguu sakata la mali za BAKWATA

  KATIBU wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema wanajipanga kuishauri Serikali namna bora ya kupata suluhu dhidi ya mali za...

Habari Mchanganyiko

NMB ‘yawapiga msasa’ wanawake wa TUICO Morogoro

WANAWAKE wa Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri Tanzania (TUICO), wametakiwa kuvutiwa na mafanikio kitaifa na kimataifa...

HabariHabari Mchanganyiko

Sekta ya Mawasiliano imekuwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi nchini-Mohamed

Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serikali Mapinduzi Zanzibar Khalid Salum Mohamed miaka ya hivi karibuni kumekuwa na maendeleo makubwa katika sekta ya...

Habari Mchanganyiko

St. Mary Goreti yaonesha njia, yazindua harambee kubwa kuelekea Jubilee

  SERIKALI mkoani Kilimanjaro imeupongeza uongozi wa shule ya sekondari ya St Maria Goreti iliyoko Moshi, kwa ubunifu na juhudi katika kuboresha na...

HabariHabari Mchanganyiko

TCRA yawataka wasafirishaji wa vipeto kujisajili na wengine kuhuisha leseni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa wito kwa wadau wa posta wenye leseni kuhakikisha kuwa wanafuata taratibu, kanuni na sheria...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa akagua maandalizi sherehe Mei Mosi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maandalizi kuelekea sherehe za siku ya wafanyakazi duniani zitakazofanyika kesho Mei 1, 2023 kitaifa Mkoani Morogoro...

Habari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho ya OSHA, yaibuka benki kinara yenye sera bora ya usalama, afya mahali pa kazi

KATIKA maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi duniani yanayoratibiwa kitaifa na Wakala wa Afya na Usalama Mahali pa kazi...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Mwanga wazindua tawi jipya Arusha

BENKI ya Mwanga Hakika (MHB) imezindua tawi jipya na la kisasa jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kutanua mtandao wake wa...

Habari Mchanganyiko

Watoto 37 wafariki kwa kusombwa na maji, Polisi watoa onyo

  JESHI la Jeshi la Polisi Tanzania limetanga kuwa watoto 37 wamepoteza maisha katika matukio ya kusombwa na maji katika maeneo mbalimbali nchini...

Habari Mchanganyiko

Tamisemi yafunguka usiri ajali ya Naibu Waziri, Dk. Mpango amjulia hali

  HATIMAYE Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetoa taarifa rasmi kuhusu hali ya kiafya ya Naibu Waziri wake, Dk. Festo Dugange, aliyepata ajali jijini...

Habari Mchanganyiko

Barrick yang’ara maonesho ya OSHA- 2023, yatwaa tuzo 6, mshindi wa jumla

KAMPUNI ya Barrick Tanzania imenyakua tuzo sita katika kilele cha maadhimisho ya siku ya afya na usalama mahali pa kazi yanayofanyika katika Viwanja...

Habari Mchanganyiko

NMB yajitosa sherehe za Mei Mosi, yatoa milioni 50

WAKATI Watanzania wakiungana na wafanyakazi wengine duniani kusherekea sikukuu ya wafanyakazi maarufu ‘Mei Mosi,’ Benki ya NMB imejitosa kufadhili sherehe hizo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu matatani tuhuma za ubakaji mwanafunzi

  MWALIMU Tunu Broun (37) wa shule ya msingi Senjele wilayani Mbozi mkoani Songwe amedaiwa kutokomea kusikojulikana akikwepa mkono wa sheria baada ya ...

Habari Mchanganyiko

DC Momba awataka madiwani kubuni mbinu za ukusanyaji mapato

  MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe, Fakii Lulandala amewataka watendaji na madiwani kupanga mbinu mpya za kuhakikisha wanabuni vyanzo vipya vitakavyoongeza...

Habari Mchanganyiko

Halmashauri Dodoma yadaiwa kuwaliza bilioni 2 wafanyabiashara soko la Majengo

  KWA kipindi cha miezi 16 mpaka sasa wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo Jijini Dodoma wamedai kupata hasara ya zaidi ya Sh...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo aitahadharisha serikali utoaji leseni za uchimbaji madini mapya

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amezitaka Serikali kuwa makini katika utoaji leseni za uchimbaji madini mapya ya kimkakati, ili yanufaishe...

Habari Mchanganyiko

11,580 wasota mahabusu kusubiri kesi zao kusikilizwa

  MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu amesema kuwa mpaka kufikia Aprili mwaka huu, takwimu...

Habari Mchanganyiko

DC Uyui awataka wananchi kutoa ushirikiano zoezi utwaaji ardhi

  MKUU wa Wilaya ya Uyui,  Zakaria Mwansasu amewataka wananchi wa kijiji cha Malongwe kutoa ushirikiano kwa timu kutoka Shirika la Reli Tanzania...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa azindua kampeni ya Mama Samia, atembelea banda la NMB

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu...

error: Content is protected !!