Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko UNICEF wateta na TEF, “Tz ina mazingira mazuri kulinda watoto”
Habari Mchanganyiko

UNICEF wateta na TEF, “Tz ina mazingira mazuri kulinda watoto”

Spread the love

MKURUGENZI Mkuu wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Naysan Sahba amesema Tanzania ina mazingira mazuri ya kulinda haki za watoto. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)


Sahba ametoa kauli hiyo leo tarehe 5 Mei 2023 alipokutana na baadhi ya wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na kufanya mazungumzo kuhusu majukumu yanayofanywa na shirika hilo pia miradi ya UNICEF na TEF.

“Amani iliyopo Tanzania imeweka mazingira mazuri ya utekelezaji na ulinzi wa haki za watoto, ni tofauti na nchi kama Syria, Yemen, Sudan na kwingine.


“Naona mazingira mazuri katika ulinzi wa haki za watoto katika utawala wa Rais Samia (Suluhu Hassan),” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!