HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Katibu wa Nyerere akosoa mkutano wa Samia na Wazee wa Dar es Salaam December 1, 2025 Erasto Masalu ALIYEWAHI kuwa Katibu wa Mwalimu Nyerere, Mzee Kasori, amekosoa kufanyika kwa mkutano kati ya Rais Samia na wanaoitwa, “Wazee wa Dar es Salaam.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam ……
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Dk. Kitima afunguka mazito, aeleza alivyovamiwa December 1, 2025 Erasto Masalu KATIBU Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEF), Padri Charles Kitima, amesema kuwa siku aliyovamiwa na kushambuliwa katika makao makuu ya baraza hilo, Kurasini jijini Dar es Salaam umeme ulikatwa.…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Vijana wa kike wanachangia asilimia 80 ya maambukizi ya vvu December 1, 2025 Erasto Masalu KILA tarehe 1 Desemba ya kila mwaka, dunia hukumbuka vita ambavyo havisikiki kwa sauti; lakini vinaathiri maisha ya mamilioni ya watu. Vita dhidi ya VVU na Ukimwi. Anaripoti Mwandishi Wetu,…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Tujihadhari na vurugu, tupate maendeleo – Mwigulu November 30, 2025 Erasto Masalu WAZIRI mkuu wa Jamhuri, Mwigulu Nchemba, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ameliagiza jeshi la polisi kuacha kumtafuta Josephat Gwajima, Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, kama walivyokuwa wametangaza.…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA Rais Museven agomea mdahalo wa Urais Uganda November 30, 2025 Erasto Masalu RAIS wa muda mrefu wa Uganda, Yower Kaguta Museveni, hatahudhuria mdahalo wa wagombea urais, uliotarajiwa kumkutanisha na mpinzani wake mkuu, Robert Kyagulanyi, almaarufu Bobi Wine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Kuna la kujifunza kutoka Guinea-Bisau? November 29, 2025 Erasto Masalu RAIS aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, amewasili Senegal, baada ya kuachiliwa huru na maofisa wa jeshi, kufuatia mazungumzo na Jumuia ya Kiuchumi ya Nchi…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Joto la 9 Desemba lafukuta November 29, 2025 Erasto Masalu KIWEWE cha kuwapo maandamano ya tarehe 9 Desemba mwaka huu na ambayo yamepewa jina la ‘D9,’ kinazidi kupamba moto nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kiwewe…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Niko tayari kuhojiwa mali zangu – Ridhiwani Kikwete November 28, 2025 Erasto Masalu RIDHIWANI Jakaya Kikwete, waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, amesema yupo tayari kuhojiwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, juu…
HABARI MCHANGANYIKO Mwabukusi akemea wanasheria kutishwa asema ni kuunajisi mfumo wa haki November 27, 2025 Erasto Masalu BONICFACE Mwabukusi, Rais wa chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema vitisho kwa mawakili waliojitoa kusaidia wananchi katika kuwapatia msaada wa kisheria ni sawa na kubaka na kunajisi Mfumo wa…
HABARI MCHANGANYIKO Waziri Kikwete akutana na watumishi wa e-GA November 27, 2025 Erasto Masalu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amekutana na Watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), na kuwakumbusha wajibu wao wa…