CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimevitaka vyama vya siasa kushirikiana katika madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2023IMEELEZWA kuwa jumla ya Sh bilioni 1.5 zimetumika kujenga soko la kisasa la kuuzia samaki na dagaa litakalosaidia kuongeza mapato na kudhibiti upotevu...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2023WANAJESHI saba wa DR Congo wamehukumiwa kifo kwa kuonyesha uoga mbele ya wapiganaji wa kikundi cha waasi wa M23 na kukimbia hali inayodaiwa...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2023JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeahidi kushirikiana katika sekta za kimkakati hususani kilimo, biashara na uwekezaji kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2023MJUMBE wa Kamati kuu CCM ambaye pia ni Mlezi wa vyuo na vyuo vikuu Tanzania, Dk. Frank Hawassi amewataka vijana kuheshimu agizo la...
By Mwandishi WetuFebruary 11, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mwenendo wa ujazaji maji kwenye Bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere, ifikapo katikati yam waka...
By Mwandishi WetuFebruary 11, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi Jumuiya wa Wanafunzi wa Elimu ya juu (TAHLISO) la kuongeza fedha za kujikimu kutoka Sh 8,000 hadi...
By Mwandishi WetuFebruary 11, 2023MUSWADA wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, umesomwa kwa mara ya kwanza bungeni jijini Dodoma, kupitia Muswada wa Sheria...
By Regina MkondeFebruary 10, 2023WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax, amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Uturuki Jijini Dar es...
By Mwandishi WetuFebruary 10, 2023SHIRIKA la Legal Services Facility (LSF), linaendesha kikao cha kuzijengea uwezo mashirika takribani 92 yanayosimamia wasaidizi wa kisheria kwenye kanda zake sita nchini....
By Mwandishi WetuFebruary 10, 2023MKUU wa mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba ameongoza zoezi la ugawaji wa bidhaa zenye thamani ya Sh Milioni 12.4 zilizokamatwa wakati zikiingizwa...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2023KUTOKANA na kukua kwa kasi ya Teknologia nchini na duniani kwa ujumla, Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kinatarajia kuboresha karakana...
By Danson KaijageFebruary 9, 2023WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016,...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2023TANZANIA inakabiliwa na uhaba wa nyumba zipatazo milioni tatu licha ya kuwa watanzania ni zaidi ya milioni sitini ambapo jiji la Dar...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewataka waandishi wa habari na wadau wengine wa tasnia hiyo, kupaza sauti zao ili Muswada wa Marekebisho ya Sheria...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2023MCHAKATO wa elimu ya bima na uhamasishaji wa matumizi yake umezidi kunoga baada ya Benki ya NMB kuzindua tena kampeni ya Umebima Zanzibar...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2023MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema utapunguza uhaba wa sukari kufikia Julai mosi mwaka huu kwa kuzalisha sukari kupitia kiwanda...
By Danson KaijageFebruary 9, 2023JESHI la Polisi mkoani Mwanza, linawashikiliwa watu wawili kwa tuhuma za kuongoza vurugu zinazodaiwa kufanywa na baadhi ya wafanyabiashara wadogo (wamachinga), dhidi...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2023KUNDI la wahandisi 40 kutoka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wametembelea daraja la Kigongo-Busisi linalounganisha mikoa ya Mwanza na Geita kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2023WAKILI Hekima Mwasipu na wenzake wawili, wamefungua kesi katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, kupinga masharti mapya yanayowalazimisha mawakili...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2023SERIKALI imesema uvuvi wa bahari kuu umeliingizia Taifa pato la kiasi cha Sh 4.1 bilioni katika kipindi cha mwaka 2022 hadi kufikia...
By Danson KaijageFebruary 8, 2023MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), ameweka pingamizi dhidi ya kesi ya jinai iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Luqman Maloto, kuhoji ukimya wa...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2023KAMPENI ya kuhamasisha matumizi ya Mastercard na QR Code ‘Lipa Mkononi’ iitwayo NMB MastaBata ‘Kote Kote’, imefikia ukomo jana Jumanne tarehe 7 Februari...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2023BODI ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya tatizo la maji katika mikoa ya Dar...
By Danson KaijageFebruary 7, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetanganza msimu wa nne wa mbio za NBC Dodoma International Marathon 2023 zinazotarajiwa kufanyika Julai 23 mwaka...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2023BENKI ya NMB ni miongoni mwa wadhamini wa Wiki ya Usalama Barabarani nchini Tanzania iliyozinduliwa wiki iliyopita. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2023KATIKA kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha elimu na kulea kizazi kijacho ambacho kitasaidia Taifa kufikia malengo ya kiuchumi na kimaendeleo, Kampuni...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2023SHIRIKA la Chakula Duniani (WFP) kwa upande wa Tanzania limesaini makubaliano ya awali na Taasisi ya International Crop Research Institute for the...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2023UAMUZI wa Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kuhifadhi Pori la Akiba la Pololeti lenye ukubwa wa kilomita 1,500 umewezesha kuongeza...
By Gabriel MushiFebruary 6, 2023MBUNGE wa jimbo la Kilosa mkoani Morogoro, Profesa Palamagamba Kabudi, ameomba mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo kuupandisha...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2023MKUU wa mkoa wa Tanga, Omary Mgumba amesema Serikali haikumsimamisha Mganga Mfawidhi Halmashauri ya Mji Korogwe na daktari mteule wa hospitali ya wilaya...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2023MKUU wa mkoa wa Tanga, Omar Mgumba leo Jumapili amesema majeruhi watatu katika ajali iliyotokea juzi Korogwe mkoani Tanga, wamefariki dunia na kuongezeka...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2023MKUU wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema katika kuhakikisha wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba 2022 wanaendelea kidato cha kwanza 2023,...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2023WAKATI Chama Cha Mapinduzi leo tarehe 5 Februari 2023 kikitimiza miaka 46 tangu kuasisiwa kwake, Rais Samia Suluhu Hassan ametumia ukurasa wake wa...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2023MAJINA 12 kati ya 17 ya waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo, Jumamosi tarehe 4 Februari, mkoani...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza watu 17 waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea mkoani Tanga,...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2023ZAIDI wakazi 2,000 wa kijiji cha Nyamishiga Kata ya Lunguya Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameondokana na adha ya kutembea...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2023TAIFA la Somalia liko mbioni kuwa mwanachama rasmi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya timu iliyoundwa na taasisi hiyo kutathmini...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2023WATU 14 ni wa familia moja kati ya 17, wamefariki dunia na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Magira...
By Gabriel MushiFebruary 4, 2023BENKI ya NMB imefadhili ziara ya siku nne ya mafunzo kwa Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Wafanyabiashara Wadogo (Machinga) na Waendesha Bodaboda...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2023WANAFUNZI wa shule ya St Anne Marie Academy waliofanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne wanaandaliwa ziara ya kutembelea mbuga za wanyama...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2023WADAU wa tasnia ya habari wametakiwa kuongeza juhudi katika kupaza sauti kutaka mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limewataka wadau wa habari nchini kuwa na subira kwa kuwa muswada wa mabadiliko ya Sheria ya Huduma...
By Regina MkondeFebruary 3, 2023NDEGE ya Shirika la Precision Air imeshindwa kufanya safari yake kama kawaida baada ya kupata hitilafu ya kiufundi huku nyingine ikilazimika kutua...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2023BENKI ya NMB Kanda ya Kusini imetoa msaada wa vifaa tiba kwa hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Benedict ya Ndanda iliyopo Wilayani Masasi...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2023MKUU mpya wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewaomba watumishi wa umma wilayani hapo kudumisha umoja na ushirikiano ili kuchochea...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2023SAA chache baada ya kuteuliwa kukaimu nafasi ya aliyekuwa Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, Sheikh mpya wa mkoa...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2023BARAZA la Ulamaa la Bakwata katika kikao kilichofanyika tarehe 1 Februari 2023 chini Mwenyekiti Mufti Abubakar Zubeir limetengeua uteuzi wa Sheikh Alhad Mussa...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2023JUMLA ya Sh bilioni 120.7 zimetumiwa na Halmshauri ya Jiji Ilala katika uboreshaji wa miundombinu ikiwamo ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilometa...
By Gabriel MushiFebruary 2, 2023ADHA ya mafuriko kwa wakazi wa Manispaa ya Kinondoni na Ubungo sasa imebaki kuwa historia baada ya jumla ya Sh bilioni 215.9 kutumika...
By Mwandishi WetuFebruary 2, 2023