Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko WFP wasaini mkataba kuinua wakulima wadogo nchini
Habari Mchanganyiko

WFP wasaini mkataba kuinua wakulima wadogo nchini

Spread the love

 

SHIRIKA la Chakula Duniani (WFP) kwa upande wa Tanzania limesaini makubaliano ya awali na Taasisi ya International Crop Research Institute for the Semi-Arid Tropics (ICRISAT), kwa lengo la kuwezesha wakulima wadogo nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) Tanzania, Sarah Gordon – Gibson (Kushoto), akisaini makubaliano ya awali na Mwakilishi Mkazi wa International Crop Research Institute for the Semi-Arid Tropics (ICRISAT), Dk. Rebbie Harawa (Kulia), ili kuwezesha wakulima wadogo nchini.

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) Tanzania, Sarah Gordon – Gibson (Kushoto), akikabidhiana makubaliano ya awali na Mwakilishi Mkazi wa International Crop Research Institute for the Semi-Arid Tropics (ICRISAT), Dk. Rebbie Harawa (Kulia), ili kuwezesha wakulima wadogo nchini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

Spread the loveSERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000...

error: Content is protected !!